MAJALIWA:MKATABA UJENZI BARABARA NANGANGA-RUANGWA KUSAINIWA MACHI
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema mwishoni mwa mwezi Machi, 2020 Serikali inatarajia kusaini mkataba wa ujenzi wa barabara ya Nanganga-Ruangwa yenye urefu wa kilometa 50 kwa kiwango cha lami.
Hatua hiyo itawezesha kutatuliwa kwa kero ya changamoto ya miundombinu ya barabara inayowakabili wananchi wa wilaya ya Ruangwa kwa muda mrefu.
Waziri Mkuu alitoa kauli hiyo jana jioni (Jumamosi, Machi 14, 2020) wakati akizungumza na wananchi wa wilaya ya Ruangwa kwenye mkutano wa hadhara ...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziMKATABA UJENZI BARABARA NANGANGA-RUANGWA KUSAINIWA MACHI
9 years ago
Michuzi21 Dec
WAZIRI MKUU MAJALIWA, KASSIM MAJALIWA AHUTUBIA RUANGWA
![rua1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/rua1.jpg)
![rua2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/rua2.jpg)
![rua3](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/rua3.jpg)
5 years ago
MichuziMAJALIWA AKAGUA UJENZI WA BARABARA YA MUDA KATIKA ENEO LA KIYEGEYA WILAYANI KILOSA
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-JS8IbzFBwck/Vh-FXhgJvZI/AAAAAAADA8M/uTm0bVuWqnU/s72-c/IMG-20151015-WA0009.jpg)
TANROADS NA KAMPUNI YA SUMITON MITSUI CONSTRACTION CO. LTD WASAINI MKATABA KWAAJILI YA UJENZI WA BARABARA YA JUU ENEO LA TAZARA LEO JIJINI DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-JS8IbzFBwck/Vh-FXhgJvZI/AAAAAAADA8M/uTm0bVuWqnU/s640/IMG-20151015-WA0009.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-F8Zg2_nKNl8/Vh-LtVoQrMI/AAAAAAADA8k/nX0zBE9-wBs/s640/IMG-20151015-WA0015.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-E6u4GpY-2C8/UwDdJIt-yaI/AAAAAAAFNek/2lPIysMrtx4/s72-c/Waziri+Magufuli+katika+mtambo.jpg)
MIRADI MIKUBWA YA BARABARA KATIKA MIKOA YA RUVUMA NA MTWARA KUSAINIWA KESHO
![](http://3.bp.blogspot.com/-E6u4GpY-2C8/UwDdJIt-yaI/AAAAAAAFNek/2lPIysMrtx4/s1600/Waziri+Magufuli+katika+mtambo.jpg)
9 years ago
Dewji Blog21 Dec
Majaliwa ahutubia mkutano Ruangwa
Waziri Mkuu, Kassim Majliwa na Mkewe Mary wakisalimiana na wazee wa Ruangwa kabla ya mkutano wa hadhara uliohutubiwa na Waziri Mkuu mjini Ruangwa Desemba 20, 2015. (PIcha na Ofisi ysa Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akifurahia silaha za asili alizokabidhiwa na wazee wa Ruangwa kabla ya kuhutubia mkutano wa hadhara mjini hapo Desemba 20, 2015.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa alipokea zawadi ya rungu kutoka kwa Mzee Issa Juma Nangalapa ikiwa ni ishara ya kumtaka awaadhibu wote...
10 years ago
MichuziPROF. MBARAWA ASHUHUDIA KWA KUSAINIWA MKATABA WA KUPELEKA HUDUMA ZA MAWASILIANO YA SIMU VIJIJINI AWAMU YA 2B MJINI DODOMA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3g06S98B35E/XvNN9StPSJI/AAAAAAALvQk/WJtzRe9ToKkyazSLIe1fwa0FRl6_-Zt8gCLcBGAsYHQ/s72-c/31aeb92a-1257-4e31-80b3-0502404accef.jpg)
ZIARA YA WAZIRI MKUU MAJALIWA RUANGWA JUNI 24
![](https://1.bp.blogspot.com/-3g06S98B35E/XvNN9StPSJI/AAAAAAALvQk/WJtzRe9ToKkyazSLIe1fwa0FRl6_-Zt8gCLcBGAsYHQ/s640/31aeb92a-1257-4e31-80b3-0502404accef.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/43c5129d-67a1-41c7-baee-24c219bfe136.jpg)
9 years ago
Michuzi23 Dec
MAJALIWA ATEMBELEA WAPIGAKURA WAKE, AZUNGUMZA NA MADIWANI WA RUANGWA
![x35](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/x35.jpg)
![x36](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/x36.jpg)