Majanga na mitihani inatoa fursa ya kujifunza mambo mapya.
![](https://1.bp.blogspot.com/-GnXdgKJegMc/XowN8HJ8gQI/AAAAAAALmUM/pdYB_hT97RE_IPbAImHlrtbmE18fH_XAgCLcBGAsYHQ/s72-c/JtVH5Khvihib7dBDFY9ZDR.jpg)
Nimetumia janga la Ugonjwa wa Virusi vya Korona [COVID19] kujifunza masuala kadhaa (hasa ya virusi na maambukizi) kutoka kwenye maandiko ya kitaaluma na mazungumzo na wataalam. Napenda kuchangia niliyojifunza.
1. Kwanza neno Corona. Corona ni neno la Kilatini. Tafsiri yake kwa Kiswahili ni taji. Corona hutumika zaidi kuelezea “taji la mwanga” linalovika au linalotokana na nyota, jua au mwezi. Jua linapozama, unaona jua na duara la mwanga linalozunguka jua. Hilo duara ndio Corona.
2. Kwanini...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi08 Sep
Makosa yanakunyima fursa ya kujifunza
11 years ago
Habarileo23 May
Wadau kujifunza fursa BRT
WAMILIKI wa mabasi ya abiria Dar es Salaam na wadau wengine watakutana jijini humo kujifunza fursa na kufahamu namna ya kushiriki katika mradi wa mabasi yaendayo haraka (BRT) unaotarajiwa kuanza baadaye mwaka huu.
10 years ago
MichuziKitwanga awataka Watanzania kujifunza fursa Sekta ya Madini
![](http://3.bp.blogspot.com/-lspJs-C0ORE/VQbxfB4YjVI/AAAAAAAHKv4/8nk5qHsg98s/s1600/2B.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-FPFrZV1_pL8/VQbxfJM3IoI/AAAAAAAHKv0/lryK3dJb7VM/s1600/3.jpg)
10 years ago
Dewji Blog02 Jul
Boss wa UN, Alvaro Rodriguez atembelea Sabasaba, asema maonyesho ni fursa ya kujifunza
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade), Jacqueline Mneney Maleko (wa tatu kushoto) akiongozana na Mratibu Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez (wa pili kushoto) mara baada ya kuwasili katika viwanja vya maonyesho ya 39 ya kimataifa ya biashara ‘Sabasaba’, barabara ya Kilwa, jijini Dar.(Picha zote na Zainul Mzige wa Modewjiblog).
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania...
10 years ago
Mwananchi16 Sep
Dk Msonde: Naahidi mambo matatu Baraza la Mitihani
10 years ago
Tanzania Daima26 Sep
Mambo mapya katika rasimu
BUNGE Maalum la Katiba, limeingiza mambo mapya 47 katika rasimu ya katiba inayopendekezwa, ambayo hayakuwemo kabisa katika rasimu ya iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba iliyowasilishwa na Mwenyekiti wake, Jaji...
11 years ago
Mwananchi05 Jan
Mwaka mpya mambo mapya
9 years ago
Bongo Movies29 Sep
Mambo mapya 2015, Watanzania Wanasemaje?
Wiki iliyopita niliweka hapa habari kuhusu simu mpya za Huawei aina ya Huawei Y360. Kama ulikosa habari ile, kwa kifupi ni kuwa makampuni makubwa ya simu za mkononi za Huawei na TIGO wameungana na kuleta simu nchini ambazo zinauzwa kwa bei nafuu ya shilingi 160,000 pekee kwenye maduka ya Tigo nchi nzima huku ukirusishiwa pesa uliynunulia kama vifurushi.
Wiki hii nisingependa kuzungumzia simu tena, ila ni maoni ya Watanzania wa kawaida watumiaje na wasio watumiaji wa simu kuhusu habari ile....
11 years ago
Tanzania Daima08 Jan
Tumerudi upya mambo mapya mwaka mpya
WAPENDWA wasomaji wa safu hii, kabla ya kuwaletea nini ajenda na mjadala wa kijiwe cha leo, tunaomba kwa niaba ya wazee wa kijiwe na kwa unyenyekevu msamaha kwa kutokuwa hewani...