Makosa yanakunyima fursa ya kujifunza
Watu wengi hupenda kujitetea na dhana ya kujifunza kutokana na makosa. Wanaamini, unapokosea jambo fulani au yanapotokea makosa katika jambo fulani, pia unapata fursa ya kujifunza.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo23 May
Wadau kujifunza fursa BRT
WAMILIKI wa mabasi ya abiria Dar es Salaam na wadau wengine watakutana jijini humo kujifunza fursa na kufahamu namna ya kushiriki katika mradi wa mabasi yaendayo haraka (BRT) unaotarajiwa kuanza baadaye mwaka huu.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-GnXdgKJegMc/XowN8HJ8gQI/AAAAAAALmUM/pdYB_hT97RE_IPbAImHlrtbmE18fH_XAgCLcBGAsYHQ/s72-c/JtVH5Khvihib7dBDFY9ZDR.jpg)
Majanga na mitihani inatoa fursa ya kujifunza mambo mapya.
![](https://1.bp.blogspot.com/-GnXdgKJegMc/XowN8HJ8gQI/AAAAAAALmUM/pdYB_hT97RE_IPbAImHlrtbmE18fH_XAgCLcBGAsYHQ/s640/JtVH5Khvihib7dBDFY9ZDR.jpg)
Nimetumia janga la Ugonjwa wa Virusi vya Korona [COVID19] kujifunza masuala kadhaa (hasa ya virusi na maambukizi) kutoka kwenye maandiko ya kitaaluma na mazungumzo na wataalam. Napenda kuchangia niliyojifunza.
1. Kwanza neno Corona. Corona ni neno la Kilatini. Tafsiri yake kwa Kiswahili ni taji. Corona hutumika zaidi kuelezea “taji la mwanga” linalovika au linalotokana na nyota, jua au mwezi. Jua linapozama, unaona jua na duara la mwanga linalozunguka jua. Hilo duara ndio Corona.
2. Kwanini...
10 years ago
MichuziKitwanga awataka Watanzania kujifunza fursa Sekta ya Madini
![](http://3.bp.blogspot.com/-lspJs-C0ORE/VQbxfB4YjVI/AAAAAAAHKv4/8nk5qHsg98s/s1600/2B.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-FPFrZV1_pL8/VQbxfJM3IoI/AAAAAAAHKv0/lryK3dJb7VM/s1600/3.jpg)
10 years ago
Dewji Blog02 Jul
Boss wa UN, Alvaro Rodriguez atembelea Sabasaba, asema maonyesho ni fursa ya kujifunza
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade), Jacqueline Mneney Maleko (wa tatu kushoto) akiongozana na Mratibu Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez (wa pili kushoto) mara baada ya kuwasili katika viwanja vya maonyesho ya 39 ya kimataifa ya biashara ‘Sabasaba’, barabara ya Kilwa, jijini Dar.(Picha zote na Zainul Mzige wa Modewjiblog).
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--I0FqnOl0i8/VZOU1dM2D8I/AAAAAAAHmHQ/4EMmq8jci-0/s72-c/unnamed%2B%252834%2529.jpg)
Airtel Fursa Yatumia zaidi ya milioni 3 kumpiga tafu mjasiliamali mwingine - Airtel Fursa wiki hii kuwafaidisha mamia ya vijana Mwanza
![](http://4.bp.blogspot.com/--I0FqnOl0i8/VZOU1dM2D8I/AAAAAAAHmHQ/4EMmq8jci-0/s640/unnamed%2B%252834%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-NLAxHtDkgT4/VZOU4trpdDI/AAAAAAAHmHg/UKCqdnXBI8o/s640/unnamed%2B%252835%2529.jpg)
9 years ago
MichuziAIRTEL FURSA YAENDELEA KUKWAMUA VIJANA HAPA NCHINI: Vijana wa Tanga wanufaika na mafunzo ya ujasiriamali kupitia Airtel Fursa
11 years ago
Habarileo22 Jun
Watanzania kujifunza ufundi China
MJUMBE wa Baraza la Ushauri wa Kisiasa la China (CPPCC), Dk Annie Wu amesema atatoa ufadhili wa nafasi za masomo kwa wanafunzi wa Tanzania kwenda kusoma elimu ya ufundi nchini China.
9 years ago
Mwananchi28 Oct
Wachina na harakati za kujifunza Kiswahili
10 years ago
Mwananchi10 Oct
Wanahabari kujifunza nishati Ufaransa