Mambo mapya 2015, Watanzania Wanasemaje?
Wiki iliyopita niliweka hapa habari kuhusu simu mpya za Huawei aina ya Huawei Y360. Kama ulikosa habari ile, kwa kifupi ni kuwa makampuni makubwa ya simu za mkononi za Huawei na TIGO wameungana na kuleta simu nchini ambazo zinauzwa kwa bei nafuu ya shilingi 160,000 pekee kwenye maduka ya Tigo nchi nzima huku ukirusishiwa pesa uliynunulia kama vifurushi.
Wiki hii nisingependa kuzungumzia simu tena, ila ni maoni ya Watanzania wa kawaida watumiaje na wasio watumiaji wa simu kuhusu habari ile....
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi05 Jan
Mwaka mpya mambo mapya
11 years ago
Tanzania Daima26 Sep
Mambo mapya katika rasimu
BUNGE Maalum la Katiba, limeingiza mambo mapya 47 katika rasimu ya katiba inayopendekezwa, ambayo hayakuwemo kabisa katika rasimu ya iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba iliyowasilishwa na Mwenyekiti wake, Jaji...
11 years ago
Tanzania Daima08 Jan
Tumerudi upya mambo mapya mwaka mpya
WAPENDWA wasomaji wa safu hii, kabla ya kuwaletea nini ajenda na mjadala wa kijiwe cha leo, tunaomba kwa niaba ya wazee wa kijiwe na kwa unyenyekevu msamaha kwa kutokuwa hewani...
5 years ago
Michuzi
Majanga na mitihani inatoa fursa ya kujifunza mambo mapya.

Nimetumia janga la Ugonjwa wa Virusi vya Korona [COVID19] kujifunza masuala kadhaa (hasa ya virusi na maambukizi) kutoka kwenye maandiko ya kitaaluma na mazungumzo na wataalam. Napenda kuchangia niliyojifunza.
1. Kwanza neno Corona. Corona ni neno la Kilatini. Tafsiri yake kwa Kiswahili ni taji. Corona hutumika zaidi kuelezea “taji la mwanga” linalovika au linalotokana na nyota, jua au mwezi. Jua linapozama, unaona jua na duara la mwanga linalozunguka jua. Hilo duara ndio Corona.
2. Kwanini...
5 years ago
Michuzi30 May
Rais Unafanya Mambo Mapya na Makubwa: Mwinyi Amwambia Magufuli
Raisi mstaafu wa awamu ya pili Ali Hassan Mwinyi amempongeza sana Raisi John Magufuli kwa kufanya mambo mengi, mapya na mazuri.
Akisalimia wananchi wakati wa hafla ya uzinduzi wa ofisi za ikulu Dodoma, mzee Mwinyi amesema Rais Magufuli anatumia fikra za ujana kufanya mambo makubwa nchini.
Baadhi ya mambo mapya na makubwa aliyofanya Raisi Magufuli ni kuhamishia serikali na wizara zote Dodoma na kujenga ikulu mpya Dodoma.
Raisi Magufuli pia anajenga mradi mkubwa wa umeme unaoitwa Mwalimu Nyerere...
10 years ago
Mwananchi06 Jul
Tido: Ni wakati wa matumaini mapya kwa Watanzania
10 years ago
GPLSHEIKH SHARIF AZUA MAPYA YA URAIS 2015
10 years ago
GPL
MASTAA WANASEMAJE KUHUSU SHERIA YA MAKOSA YA MTANDAO ?