MAJENGO YABOMOKA MENGINE HATARINI KUWAANGUKIA WATOTO, MH. RIDHIWANI ASIKITISHWA
Diwani wa kata ya Kibindu Mawazo Mkufya aliyenyanyua mikono juu akitoa maelezo kwa Mbunge wa Jimbo la Chalinze Ridhiwani Kikwete kulia aliyevaa kofia ya kijani kufuatia mvua kubwa kubomoa madarasa ya shule ya Msingi Kibindu. Moja ya darasa la shule ya msingi Kibindu likiwa limebomoka kufuatia mvua kubwa…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziMAJENGO YABOMOKA MENGINE HATARINI KUWAANGUKIA WATOTO,MH. RIDHIWANI ASIKITISHWA
WANAFUNZI wa shule ya Msingi Kibindu wilayani Bagamoyo mkoani Pwani wako hatarini kuangukiwa na vyumba vya madarasa wanayosomea kutokana na ubovu wa vyumba hivyo ambavyo vimejengwa miaka ya 50.
Mwishoni mwa mwaka jana vyumba vya madarasa mawili na ofisi ya mwalimu vilianguka na kuezua mapaa ya vyumba vine vya madarasa na ofisi ya mwalimu mkuu baada ya kutokea mvua kubwa amabyo iliambatana na kimbunga.
Shule hiyo ambayo ina wanafunzi 970 hawakuwepo shuleni kwani...
9 years ago
VijimamboMaalim Seif asikitishwa na ajira za watoto Wilaya ya Micheweni
10 years ago
Bongo Movies27 Feb
Bond asikitishwa na tuhuma za kuwa na watoto wanne na kumsababishia Wastara kuzimia
Mtangazaji, Mwigizaji na muongozaji wa filamu Bond Bin Sinnan ambae pia ni meneja wa mwigizaji Wastara Juma amejitoteza mtandaoni na kuonesha kupinga kile ambacho kilandikwa na magezi ya udaku kuwa ana watoto watatuna na mmoja amezaliwa majuzi na baada ya Wastara kupigiwa simu mpenzi wazamani wa Bond, Lulu Semagongo ‘Aunty Lulu’ kujulishwa kuwa “demu” wa Bond amezaa na inadaiwa Wastara alizimia baada ya kusikia taarifa hizo.
Sasa jana Bond ameibuka na kubandika haya mtandaoni.
"Binadamu...
11 years ago
Mwananchi17 Jul
Asilimia 51 ya watoto nchini hatarini kufa
10 years ago
Mwananchi01 Apr
Wajawazito, watoto walivyo hatarini katika migodi Geita
10 years ago
Mwananchi30 Nov
Wanawake, watoto hatarini mgodini Geita maisha wawatesa waishio
9 years ago
Michuzi
WAFUGAJI CHALINZE SOMESHENI WATOTO, WASICHUNGE MIFUGO - RIDHIWANI
11 years ago
Michuzi
RIDHIWANI KIKWETE AHANI MSIBA WA WATOTO WAWILI WALIOPOTEZA MAISHA BAADA YA KUTUMBUKIA KWENYE KISIMA CHA MAJI,KIWANGWA
