Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Majengo yenye asbestos yafanyiwa tathmini

Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Kebwe Stephen SERIKALI inafanya tathmini ya majengo yenye asbestos nchini ili kubaini aina iliyopo katika mabati kabla ya kuweka makubaliano na kampuni zenye mitambo ya kuyateketeza.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Majengo ya Iran yenye mvuto

Mwanafunzi Mohammad Domiri ana umri wa miaka 23 na picha hizi alizipiga ndani ya majengo ya Iran

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Ibuprofen yafanyiwa majaribio kutibu ugonjwa huo

Wanasayansi wanafanya majaribio kuona iwapo dawa ya maumivu ya Ibruprofen inaweza kutumika katika hospitali kuwasaidia wagonjwa wa corona.

 

10 years ago

Vijimambo

GWAJIMA ATOA VIDEO YENYE MANENO YENYE UTATA, ANGALIA VIDEO HAPA


Gwajima Akiwa kwenye Kitu cha Wagonjwa Anaonekana Kwenye Video Akitoa Maneno yenye utata kumsema mtu kwa Mafumbo ..embu angalia hapa chini kwenye Video:

 

10 years ago

BBCSwahili

Tathmini:Mchakato wa katiba ya TZ

Mchakato umevuka hatua kuu mbili, kinachofuata baada ya Rais Kikwete kukabidhiwa itakuwa ni kupigiwa kura ya maoni na wananchi

 

9 years ago

Michuzi

TATHMINI YA SHERIA MTANDAO - RADIO ONE

SERIKALI imeshauriwa kuutumia vema mwezi Oktoba, mwaka huu kukuza uelewa  kwa wananchi juu ya masuala ya mitandao ili kupunguza kama si kuondoa kabisa uhalifu mitandaoni.Rai hiyo ilitolewa jana jijini Dar es Salaam na Mtaalamu wa Usalama wa Mitandao na Uchunguzi wa Makosa ya Kidijitali, Yusuph Kileo wakati akizungumza na Majira.

"Nichukue nafasi hii kutambua na kuhamasisha tukio la kipekee katika anga ya usalama katika mitandao jambo ambalo limekuwa likiadhimishwa kila mwaka katika...

 

10 years ago

BBCSwahili

Tathmini ya Kombe la Mataifa ya Afrika

Baada ya Ivory Coast kuibuka bingwa wa mwaka huu wa Kombe la mataifa ya Afrika

 

10 years ago

Dewji Blog

Kikwete mwenyeji tathmini BRN

Jakaya-Kikwete

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dr. Jakaya Mrisho Kikwete.

Irp-Press-Release-kiswahili.docx by moblog

 

10 years ago

Mwananchi

Tathmini ya Madola, ifanyiwe kazi

Kwa mara ya kwanza katika historia ya Tanzania, Serikali ilikutana na wanamichezo kwa ajili ya kufanya tathmini ya ushiriki wa taifa kwenye michezo ya Jumuiya ya Madola ya 2014 ambayo Tanzania ilitoka kapa kwa mara ya pili mfululizo.

 

10 years ago

Mwananchi

Waliovamia maeneo kufanyiwa tathmini

Katika kupambana na janga la mafuriko ya mvua yanayolikumba Jiji la Dar es Salaam mara kwa mara, Mkuu wa Mkoa huo, Saidi Meck Sadiki ameziagiza halmashauri za jiji hilo kuorodhesha watu waliovamia maeneo ya mikondo ya maji ili hatua stahiki ziweze kuchukuliwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani