Tathmini ya Madola, ifanyiwe kazi
Kwa mara ya kwanza katika historia ya Tanzania, Serikali ilikutana na wanamichezo kwa ajili ya kufanya tathmini ya ushiriki wa taifa kwenye michezo ya Jumuiya ya Madola ya 2014 ambayo Tanzania ilitoka kapa kwa mara ya pili mfululizo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Uhuru Newspaper14 Apr
Wataka hotuba ya Rais ifanyiwe kazi
NA RABIA BAKARI
HOTUBA ya Rais Jakaya Kikwete aliyotoa katika mkutano wa viongozi wa dini inapaswa kutumika kama dira na mwongozo hasa kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu.
Rais Kikwete alitoa hotuba hiyo hivi karibu na baadaye kuchapishwa katika vyombo vya habari. Alisisitiza umuhimu wa viongozi kusimamia amani na kutoa ufafanuzi wa kina kuhusu suala lililoibua hisia tofauti la Mahakama ya Kadhi.
Akizungumza na Uhuru jana, Mwenyekiti wa Kamati ya Haki na Amani ya viongozi wa dini mkoa wa...
9 years ago
Mwananchi03 Jan
Kauli ya RC Tanga kuhusu njaa ifanyiwe kazi
Katika toleo la gazeti hili la jana, ukurasa wa 12 kulikuwa na habari iliyokuwa na kichwa kisemacho “wilaya tatu hatarini kukumbwa na njaaâ€. Wilaya hizo ni za mkoani Tanga ambazo ni Korogwe, Handeni na Kilindi.
11 years ago
Tanzania Daima02 May
Wachezaji Madola wafanyie kazi wito wa Waziri Membe
JUMANNE wiki hii, wachezaji wa timu za taifa watakaoiwakilisha nchi katika michuano ya Jumuiya ya Madola yatakayofanyika Julai mjini Glasgow, Scotland, walikabidhiwa bendera ya taifa ikiwa ni ishara ya kuwatakia...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-sRcvzUBo_Dw/XuO3RxYVcaI/AAAAAAAEHys/tob-OR1aTOkVwqj0aqm1vPXacoii3kRnQCLcBGAsYHQ/s72-c/Tangazo%2Bla%2Bkazi%2B-%2BCommon%2BWealth.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-6YLDrY9BtwA/VgVCHBrKLLI/AAAAAAAAifs/aDfVnu0btXQ/s72-c/NY%2BCWM%2B5.jpg)
Tanzania yapongezwa kwa uongozi bora wa Kikundi Kazi cha Mawaziri Jumuiya ya Madola
![](http://4.bp.blogspot.com/-6YLDrY9BtwA/VgVCHBrKLLI/AAAAAAAAifs/aDfVnu0btXQ/s640/NY%2BCWM%2B5.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-cRpsY-bVow0/VJijru4Q_PI/AAAAAAAG5LE/OB2ZXDBallw/s72-c/CMAG-Meeting-3-1024x683.jpg)
Membe aongoza mkutano wa Kikosi Kazi cha Mawaziri wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Madola jijini London
![](http://2.bp.blogspot.com/-cRpsY-bVow0/VJijru4Q_PI/AAAAAAAG5LE/OB2ZXDBallw/s1600/CMAG-Meeting-3-1024x683.jpg)
11 years ago
MichuziMAMLAKA YA MAJI SAFI NA MAJI TAKA MJINI MOSHI (MUWSA) YAFANYA TATHMINI YA UTENDAJI KAZI KATIKA SIKU 360
10 years ago
BBCSwahili08 Oct
Tathmini:Mchakato wa katiba ya TZ
Mchakato umevuka hatua kuu mbili, kinachofuata baada ya Rais Kikwete kukabidhiwa itakuwa ni kupigiwa kura ya maoni na wananchi
10 years ago
Mwananchi17 Dec
Waliovamia maeneo kufanyiwa tathmini
Katika kupambana na janga la mafuriko ya mvua yanayolikumba Jiji la Dar es Salaam mara kwa mara, Mkuu wa Mkoa huo, Saidi Meck Sadiki ameziagiza halmashauri za jiji hilo kuorodhesha watu waliovamia maeneo ya mikondo ya maji ili hatua stahiki ziweze kuchukuliwa.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania