Wataka hotuba ya Rais ifanyiwe kazi
NA RABIA BAKARI
HOTUBA ya Rais Jakaya Kikwete aliyotoa katika mkutano wa viongozi wa dini inapaswa kutumika kama dira na mwongozo hasa kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu.
Rais Kikwete alitoa hotuba hiyo hivi karibu na baadaye kuchapishwa katika vyombo vya habari. Alisisitiza umuhimu wa viongozi kusimamia amani na kutoa ufafanuzi wa kina kuhusu suala lililoibua hisia tofauti la Mahakama ya Kadhi.
Akizungumza na Uhuru jana, Mwenyekiti wa Kamati ya Haki na Amani ya viongozi wa dini mkoa wa...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi13 Oct
Tathmini ya Madola, ifanyiwe kazi
9 years ago
Mwananchi03 Jan
Kauli ya RC Tanga kuhusu njaa ifanyiwe kazi
10 years ago
Habarileo05 Oct
Mabaharia wataka kazi meli za utafiti wa mafuta
JUMUIYA ya Mabaharia Tanzania imeiomba Serikali kuajiri wanachama wake katika meli za utafiti na uchimbaji mafuta na gesi katika mikoa ya Lindi na Mtwara.
10 years ago
Mwananchi29 Jan
Masheikh wataka maaskofu waliache Bunge lifanye kazi
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ltz8IQUQkiJIhENFFjs-OLtqFTB6d-deS7gyDlYsk*aumlmxBREDWkMirshP-TZGJwJ*gSSWvvYbX5UsFWrmpTPqFaLDTQXD/PINDA.jpg)
HOTUBA YA WAZIRI MKUU KUHUSU MAPITIO NA MWELEKEO WA KAZI ZA SERIKALI NA MAKADIRIO YA MATUMIZI
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-qZ_taV7lQAc/VURfrlc_KXI/AAAAAAAAtDQ/HowY65av2gE/s72-c/shemeji.jpg)
Kikwete: "Nisingekuwa Rais Ningekuwa Msanii Mkali wa Bongo Fleva.".........HOTUBA Nzima ya Rais Kikwete Aliyoitoa Jana Mei Mosi Iko HAPA
![](http://2.bp.blogspot.com/-qZ_taV7lQAc/VURfrlc_KXI/AAAAAAAAtDQ/HowY65av2gE/s640/shemeji.jpg)
RAIS Dkt. Jakaya Kikwete, ametamba kuwa angakuwa msanii wa muziki wa kizazi kipya basi angelikuwa wa “BongoFleva” kutokana na kuwa na sauti nzuri yenye kumudu kuimba nyimbo kwa ufasaha zaidi.
Kauli hiyo aliitoa jana jijini Mwanza kwenye uwanja wa michezo wa CCM Kirumba wakati wa maadhimisho ya kilele cha sherehe za Mei mosi zilizofanyika Kitaifa jijini Mwanza kwa mwaka huu wa mwisho wa utawala wake.
Dkt. Kikwete aliimba wimbo wa Bendi ya OSS (Ochestra Safari Sound) wenye mashairi yasemayo...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-Y8DnqzINCoY/VZ6WhVXnW_I/AAAAAAAB07Q/GIsyH-eEtDo/s72-c/DSC_6020.jpg)
HOTUBA YA RAIS BUNGENI LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-Y8DnqzINCoY/VZ6WhVXnW_I/AAAAAAAB07Q/GIsyH-eEtDo/s640/DSC_6020.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-5i0UtV9NNBI/VZ6WiN_SvhI/AAAAAAAB07U/Pux0zZ0g3to/s640/DSC_6064.jpg)
9 years ago
BBCSwahili20 Nov
Hotuba ya rais Magufuli Bungeni