Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Majimbo Ukawa hadharani, 12 bado moto

Vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) vimetangaza mgawanyo wa majimbo 253 kati ya 265 ya ubunge huku 12 yaliyokuwa kwenye mvutano yakibaki kiporo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Majimbo mapya hadharani Juni 31

 Kaimu Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Kailima RamadhaniMAJIMBO mapya ya uchaguzi yanatarajiwa kutangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) mwishoni mwa Juni, ili kuwezesha majimbo hayo kupata wabunge watakaowakilisha wananchi hao.

 

9 years ago

Mwananchi

CCM yamaliza majimbo tisa, bado mawili

Chama cha Mapinduzi(CCM), kimepitisha majina ya wagombea katika majimbo tisa kati ya kumi na moja yaliyokuwa yamebaki kutokana na mvutano uliokuwa umeibuka baada ya kura za maoni wiki mbili zilizopita.

 

10 years ago

Mtanzania

Moto majimbo mpya

Veronica Romwald na Shabani Matutu, Dar es Salaam
MVUTANO mpya unarajiwa kuibuka katika ugawaji wa majimbo mapya kati ya vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) na Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Hatua hiyo inatokana na uamuzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kutangaza ugawaji wa majimbo ya uchaguzi huku mapya yakitarajiwa kuongezeka.
Mchakato huo wa kugawa majimbo ya uchaguzi unatarajiwa kuanza leo kwa kutoa tangazo katika Gazeti la Serikali kwa mujibu wa Sheria ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Mgombea urais Ukawa hadharani kesho

>Baada ya vikao mfululizo wiki hii, hatimaye Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) unatarajia kumtangaza mgombea urais wake kesho.

 

9 years ago

Mtanzania

Majimbo yawavuruga Ukawa

NA JONAS MUSHI NA AZIZA MASOUD, DAR ES SALAAM

HALI si shwari ndani ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) baada ya Chama cha NCCR-Mageuzi kuibuka na madai kuwa kuna vyama washirika vinavuruga umoja huo, na kwamba chama chao kinaweza kufa baada ya uchaguzi mkuu.

Ukawa ni umoja unaoundwa na vyama vya Chadema, CUF, NCCR-Mageuzi na NLD ambavyo vimekubaliana kuungana katika uchaguzi mkuu na kusimamisha mgombea mmoja kwenye urais, ubunge na udiwani.

Wakizungumza katika mkutano na waandishi wa...

 

9 years ago

Mwananchi

CCM, Ukawa waporana majimbo

Wakati matokeo ya ubunge yakiendelea kutangazwa, CCM na vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) vinazidi kunyang’anyana majimbo vilivyokuwa vinayashikilia, yakiwamo majimbo yaliyokuwa chini ya wabunge maarufu.

 

9 years ago

Mwananchi

Majimbo matano yavuruga Ukawa

Siku chache baada ya vyama vinavyounda Ukawa kutangaza mgawanyo wa majimbo, baadhi ya majimbo hayo yamekumbwa na sintofahamu baada ya wanachama kutokubaliana na uamuzi ya viongozi wa kuachiana majimbo.

 

9 years ago

Mtanzania

Majimbo matatu yawavuruga Ukawa

kahangwaNA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM

MAJIMBO matatu yameonekana kuvivuruga vyama vinavyonda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kutokana na vyama hivyo kushindwa kusimamisha mgombea mmoja kama yalivyo makubaliano yao.

Kutokana na hali hiyo, vyama hivyo vimejikuta vikisimamisha wagombea wawili katika jimbo moja na hivyo kuzua utata katika majimbo hayo.

Majimbo yaliyoleta mvutano katika umoja huo ni Jimbo la Serengeti mkoani Mara, Mtwara Mjini mkoani Mtwara na Jimbo la Mwanga mkoani...

 

9 years ago

Mwananchi

Ukawa ilivyoipa CCM majimbo

Licha ya makubaliano ya kusimamisha mgombea mmoja kila jimbo yaliyofikiwa na Ukawa, umoja huo wa Katiba ya Wananchi umepoteza majimbo mawili kwa sababu ya kushindwa kutekeleza makubaliano hayo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani