Moto majimbo mpya
Veronica Romwald na Shabani Matutu, Dar es Salaam
MVUTANO mpya unarajiwa kuibuka katika ugawaji wa majimbo mapya kati ya vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) na Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Hatua hiyo inatokana na uamuzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kutangaza ugawaji wa majimbo ya uchaguzi huku mapya yakitarajiwa kuongezeka.
Mchakato huo wa kugawa majimbo ya uchaguzi unatarajiwa kuanza leo kwa kutoa tangazo katika Gazeti la Serikali kwa mujibu wa Sheria ya...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi18 Aug
Majimbo Ukawa hadharani, 12 bado moto
9 years ago
Vijimambo03 Oct
MOTO WA MWIGULU NCHEMBA WATUA MAJIMBO 5 YA MOROGORO,HAKIKA MORO NI NGOME YA CCM
![](https://scontent-vie1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xpt1/v/t1.0-9/12143087_431153853753515_7192278714545686298_n.jpg?oh=2db006c15369b706e87f1192bb879ccd&oe=56D2789C)
![](https://scontent-vie1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xtp1/v/t1.0-9/12088253_431155910419976_5298678382071065635_n.jpg?oh=1bf59f7d6fe807368970ebcf1572e871&oe=56A0ECE4)
![](https://scontent-vie1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xat1/v/t1.0-9/12115440_431155737086660_873873782742326174_n.jpg?oh=b04e5ad8a977e5389e002bd4cf4e457a&oe=56954BBE)
![](https://scontent-vie1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xpa1/v/t1.0-9/12141774_431153923753508_3468242875379938693_n.jpg?oh=57aaccd8c0013205fbd6f993848b4f84&oe=568E7511)
9 years ago
Vijimambo14 Oct
MOTO WA MWIGULU NCHEMBA WATUA MKOA WA MARA,APIGA MAJIMBO 5 KWA SIKU.
![](https://scontent-mxp1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xat1/v/t1.0-9/12122477_894951330558692_2281613078061431679_n.jpg?oh=6fad9a18a4b97a53f8cf05e655572809&oe=569C0893)
![](https://scontent-mxp1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xat1/v/t1.0-9/12107923_894951117225380_282384782386055919_n.jpg?oh=a1b8e1b045b361527384ea09f5d2b094&oe=568D04B3)
![](https://scontent-mxp1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xap1/v/t1.0-9/12088216_894951283892030_3014173125799471068_n.jpg?oh=5f5b21ce9d8b6845ef9bd5c6c68b84ce&oe=569B3411)
![](https://scontent-mxp1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xat1/v/t1.0-9/12088434_894951430558682_8718329848300055026_n.jpg?oh=24e5ce3e9942f555531cea91cdadb75f&oe=56954488)
![](https://scontent-mxp1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xta1/v/t1.0-9/12107124_894951027225389_7896354019542411576_n.jpg?oh=10840efbb8e489d16aea0dd484d01b03&oe=56896338)
Wananchi wa...
9 years ago
Dewji Blog26 Oct
Taarifa ya CCM kunyakua majimbo 176 kati ya majimbo 264 na mengineyo soma hapa
Mjumbe wa Kamati ya Kampeni ya CCM, January Makamba.
CCM inapenda kutoa taarifa ifuatayo kwa wanachama, wapenzi na washabiki wake na kwa umma Watanzania.
Tathmini ya Upigaji Kura
Kama tulivyoeleza jana, tumeridhishwa na amani na utulivu uliotawala katika sehemu kubwa ya nchi yetu wakati wa zoezi la upigaji kura. Licha ya changamoto zilizojitokeza, ambazo baadhi zimeshughulikiwa, kwa jinsi zoezi la kupiga na kuhesabu kura lilivyoendeshwa kwa uwazi, matokeo ya uchaguzi huu yatakuwa ni...
9 years ago
Habarileo29 Oct
CCM yashinda majimbo 159, Chadema majimbo 35
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeongoza kwa kunyakua majimbo ya uchaguzi 159, ambayo hadi jana yamethibitishwa na wasimamizi waliopewa mamlaka ya kutangaza matokeo hayo na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), huku Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kikifuatia kwa kupata majimbo 35.
11 years ago
Mwananchi20 Apr
Profesa Kabudi awasha moto Katiba Mpya
10 years ago
VijimamboJaji Warioba akoleza moto Katiba Mpya
9 years ago
Habarileo31 Oct
Maandalizi ya kumwapisha rais mpya yapamba moto
SERIKALI imeendelea kuandaa mazingira ya sehemu itakayotumika kwa ajili ya kumwapisha Rais mteule wa Awamu ya Tano, Dk John Magufuli. Maandalizi ya mazingira hayo yanaenda sambamba na mazoezi ya kijeshi kwa ajili ya gwaride maalumu, litakalofanyika wakati wa kuapishwa kwake katika Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.
10 years ago
KwanzaJamii18 Aug
MBOWE ASEMA MOTO WA KUDAI KATIBA MPYA HAUZIMIKI