Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Majipu kwenye halmashauri ni sawa na embe ng’ong’o

Moja kati ya maeneo yanayopokea fedha nyingi za bajeti ya maendeleo ni Mamlaka za Serikali za mitaa 163 za majiji na miji. Huko ndiko kwenye majipu makubwa kama embe ng’ong’o yanayotakiwa kutumbuliwa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Listen and Download New Audio from Linex — Onga Onga

linex

Linex ametoa wimbo mpya kabisa ambao yeye mwenyewe anasema kuwa wimbo huu ndio official (yaani rasmi) kwa mwaka huu. Mwezi mmoja nyuma zilitoka nyimbo zake ambazo yeye mwenyewe linex amesema hakuzitoa ila zilivuja kwa bahati mbaya, kwahiyo kwa mwaka huu wimbo huu “onga onga” ndio wimbo wake wa kwanza kutoa. Wimbo umefanyikia pale Sharobaro records chini ya usimamizi wa producer ambaye huwa anafanya kazi zake kwa umakini mkubwa huyu si mwingine ni bob junior. Ebu sikiliza huu wimbo...

 

9 years ago

Mwananchi

Chadema yataka Rais atumbue majipu dosari za halmashauri

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimemtaka Rais John Magufuli atumbue majibu yaliyosababisha dosari kujitokeza kwenye chaguzi za viongozi wa halmashauri na manispaa nchini.     

 

9 years ago

Global Publishers

Majipu hadi kwenye ndoa?

Sasa mambo yamepamba moto, hii ishu ya kutumbua majipu imefika mahala pake dahh. Juzi nilipata kazi ya kuwa mshenga. Rafiki yangu f’lani ambaye mambo ya fedha kwake si tatizo, ila tatizo ni namna ya kuzitumia, kaniomba niwe mshenga wake.

Alikuwa anataka kupeleka posa kwa binti mmoja ambaye ni kabila langu hivyo mimi nilitegemewa kuwa najua mila na taratibu za kutoa posa. Basi kama tulivyokuwa tumepangiwa na wakwe watarajiwa, juzi saa kumi jioni tukawasili kwa wakwe watarajiwa.

Tulichelewa...

 

10 years ago

Mwananchi

Elimu yetu sawa na kuchuma papai kwenye mwembe - 2

Hoja yangu tangu wiki iliyopita ni umuhimu wa kuelimisha watu kwa usahihi. Nilisema kuwa kuelimisha watu siyo suala la hiari, siyo suala la kubahatisha, siyo suala la miujiza wala kuhadaa watu. Ni hatua za kifikra na vitendo sahihi. Ni kipaumbele namba moja kwa nchi yoyote.

 

11 years ago

Michuzi

KUWE NA MGAWANYO SAWA KWENYE MIRADI YA MAJI - TUNDU LISSU

Serikali imeshauriwa kuweka mgawanyo sawa ya utekelezaji katika miraji ya Maji nchini ili kuondoa tatizo sugu la Maji kwa maeneo yenye ukame na upungufu mkubwa wa Maji.
Akichangia wakati  wa bajeti ya Wizara ya Maji, mbunge wa Singida Mashariki Mh Tundu Lissu alisema imefika wakati serikali lazima iweke uwiano sawa wa mgawanyo wa fedha za miradi ya maji kwenye mikoa na sehemu zenye upungufu mkubwa wa Maji hapa nchini.
Akitolea mfano jimboni kwake alisema bajeti ya mwaka huu kwa jimbo lake...

 

10 years ago

Mtanzania

‘Wabunge hudhurieni vikao kwenye halmashauri’

majaliwaSERIKALI imesema ni wajibu wa wabunge wote wenye majimbo na wale wa viti maalumu kuhudhuria vikao vya mabaraza ya madiwani kwenye halmashauri zao.
Kauli hiyo ilitolewa bungeni jana na Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Kassim Majaliwa, wakati akijibu swali la Mbunge wa Meatu, Meshack Opulukwa (Chadema).
Katika swali lake, Opulukwa alitaka kujua kauli ya Serikali kuhusu baadhi ya wakurugenzi wa halmashauri kuwazuia wabunge kuhudhuria baadhi ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Halmashauri ziondoe usiri kwenye mapato’

HALMASHAURI za wilaya nchini na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) zimetakiwa kuondoa usiri kwenye mapato wanayokusanya hasa katika kodi za majengo. Wito huo ulitolewa mjini hapa juzi na Makamu Mwenyekiti...

 

10 years ago

Bongo5

Mashabiki walumbana kuhusu video ya Alikiba ‘Mwana’, kama ni sawa au si sawa kwa video kutofuata maudhui ya wimbo

Wiki moja baada ya video ya Alikiba ‘Mwana’ iliyofanyiika Afrika Kusini na kuongozwa na Godfather, itoke, kumekuwa na maoni tofauti kuhusiana na video hiyo. Baadhi yao wameonekana kuifurahia na wengine wameonekana kutoridhishwa na baadhi ya vitu. Baadhi ya waliotoa maoni wamesema kuwa walitegemea kuona video yenye script inayoendana na maudhui ya wimbo ili kumuwezesha hata […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani