Majipu hadi kwenye ndoa?
Sasa mambo yamepamba moto, hii ishu ya kutumbua majipu imefika mahala pake dahh. Juzi nilipata kazi ya kuwa mshenga. Rafiki yangu f’lani ambaye mambo ya fedha kwake si tatizo, ila tatizo ni namna ya kuzitumia, kaniomba niwe mshenga wake.
Alikuwa anataka kupeleka posa kwa binti mmoja ambaye ni kabila langu hivyo mimi nilitegemewa kuwa najua mila na taratibu za kutoa posa. Basi kama tulivyokuwa tumepangiwa na wakwe watarajiwa, juzi saa kumi jioni tukawasili kwa wakwe watarajiwa.
Tulichelewa...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi30 Dec
Majipu kwenye halmashauri ni sawa na embe ng’ong’o
11 years ago
Bongo516 Aug
Tunda Man aahirisha kufunga ndoa hadi mwakani baada kuuguliwa na mama yake
11 years ago
Mwananchi19 Feb
DIRA: Yaleyale ya Rais Kikwete hadi kwenye ujangili
9 years ago
Bongo521 Oct
Roma asimulia ilivyokuwa hadi kumshirikisha Stamina kwenye ‘Mwanakondoo’
11 years ago
GPL
CATHY: USTAA KWENYE NDOA NI TATIZO
11 years ago
GPL
NORA AFUNGUKA KUACHIKA KWENYE NDOA
11 years ago
Tanzania Daima12 Mar
Sumaye awaasa waliomo kwenye ndoa
ALIYEKUWA Waziri Mkuu katika Serikali ya Awamu ya Tatu, Frederick Sumaye, amewashauri waliomo kwenye ndoa kuvumiliana katika mambo mbalimbali ili kuepuka chuki inayoweza kusababisha mauaji. Sumaye alisema hayo juzi mjini...
11 years ago
GPL
NATASHA: USTAA KWENYE NDOA NI TATIZO