Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Major finals, plus Copa America and more, in SuperSport’s never-ending football offering



As the football season nears its conclusion, SuperSport viewers will find themselves in the unique position of having the luxury of watching three major finals - the FA Cup, the German Cup and Copa del Rey - this weekend. No other broadcaster in the world can rival this feast of football.
Arsenal, playing a record 19th FA Cup final, will be looking to successfully defend their title when they take on Aston Villa at the iconic Wembley Stadium (live on SS3 HD from 5.30pm).
Borussia...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

TheCitizen

Preparations for Copa finals gather pace

Coca-Cola Tanzania handed over sports kits yesterday for 16 football regions that qualified for the national finals of the U-15 talent scouting tournament – Copa Coca-Cola.

 

10 years ago

BBCSwahili

Copa America:Paraguay yaiondoa Brazil

Paraguay imejikatia tikiti ya nusu fainali ya mchuano wa Copa America baada ya kuilaza Brazil katika hatua ya robo fainali.

 

10 years ago

Michuzi

10 years ago

BBCSwahili

Chile ndio mabingwa wa Copa America

Chile imewashinda Argentina kupitia kwa mikwaju ya penalti na kushinda kombe kubwa zaidi kati ya nchi za Marekani ya kusini la Copa Amerika.

 

10 years ago

BBCSwahili

Chile yafuzu fainali za Copa America

Hii ndio mara ya kwanza Chile imefuzu kuingia fainali kwa miaka 28. Iliweza kuinyuka Peru mabao mawili kwa moja.

 

10 years ago

BBCSwahili

Brazil yaingia robo fainali Copa America

Thiago na Firmino wafunga bao kila mmoja na kuisaidia Brazil kujikatia nafasi ya kuingia katika robo fainali ya Copa America

 

10 years ago

Africanjam.Com

CHILE WATINGA FAINALI COPA AMERICA 2015

Wenyeji Chile wametinga hatua ya fainali ya Copa America baada ya kuifunga timu pungufu ya Peru magoli 2-1 katika mechi ya nusu fainali iliyopigwa usiku wa kuamkia leo mjini Santiago.
Chile vs PeruEduardo Vargas ameifungia Chile magoli mawili katika dakika ya 42′ na 64′, lakini dakika ya 60′ Mlinzi Gary Medel alijifunga bao na kuwapa angalau ahueni Peru.Carlos Zambrano caught Chile midfielder Charles Aranguiz on the back with his studs in the first half in SantiagoMapema dakika 20′ Mwamuzi wa mechi, Jorge Argote alimuonesha kadi nyekundu (Umeme) Carlos Zambrano kwa kosa la kumkanyaga mgongoni kiungo wa Chile,Charles...

 

10 years ago

Africanjam.Com

BRAZIL YAAGA COPA AMERICA KWA MIKWAJU YA PENATI


Brazil imetupwa nje ya michuano ya michuano ya Copa America kwa mikwaju ya penati kufuatia kwenda sare ya kufungana goli 1-1 dhidi ya Paraguay kwenye dakika 90 za mchezo na kuufanya mchezo huo kuamuliwa kwa matuta ndipo Brazil walipotupwa nje ya mashindano kwa penati 4-3 kwenye mchezo wa robo fainali uliopigwa kwenye dimba la Ester Roa Rebolledo huko Chile.
Brazil ndio walikuwa wa kwanza kupata goli kwenye dakika za kawaida (90’) kupitia kwa Robinho aliyeifungia timu yake dakika ya 15 kipindi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani