Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAJUTO, MSANII WAMIMINIANA MABUSU

Stori: IMELDA MTEMA
MH! Mchekeshaji maarufu Bongo, Amri Athuman ‘King Majuto’ ameibua utata wa aina yake baada ya kunaswa na msanii wa filamu aitwaye Sabrina Omary ‘Sabby Angel’ wakimiminiana mabusu motomoto. Mchekeshaji maarufu Bongo, Amri Athuman ‘King Majuto’ akipokea busu tata kutoka kwa msanii wa filamu Sabrina Omary ‘Sabby Angel’. Akizungumza na paparazi wetu mara...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

MSANII KING MAJUTO,LUFINGO,MUHOGOMCHUNGU WATOKA NA XDENT


MKURUGENZI Mkuu wa Kampuni ya usambazaji wa filamu za kiswahili Lufingo Exaud amesema kuwa wameingiza mtaani filamu yao mpya ijulikanayo kwa jina la xdent ambayo imeshilikisha wasanii mbalimbali wenye majina katika tasnia  hiyo
utakutana na King Majuto, Muhogo Mchungu, Lufingo, Mzee Pembe na wasanii mbalimbali walio bobea katika sanaa hii ya filamu nchini
filamu hiyo iliyorekodiwa kwa ubora wa hali ya juu na umakini mkubwa yenye mafundisho ndani yake itakuwa chachu kwa jamii...

 

10 years ago

GPL

VIKONGWE WAMWAGIANA MABUSU KWAUPEE!

Na Dustan Shekidele, MOROGORO/Amani
MAPENZI bwana! Mohamed Khalfan ambaye ni kikongwe wa miaka 78 mwenye ulemavu wa ukoma na mkewe, Habiba Shomari (68) hivi karibuni waliwashangaza watu baada ya kuamua kumwagiana mabusu hadharani. Bw. Mohamed Khalfan(78) akimchumu mkewe, Bi. Habiba Shomari(68). Tukio hilo lilijiri kwenye Kambi ya Walemavu wa Ukoma ya Chazi iliyopo Kata ya Chazi wilayani Mvomero mkoani hapa ambapo kulikuwa na...

 

11 years ago

GPL

SHARAPOVA, MWENZAKE WAMMIMINIA MABUSU NYAMWELE

Stori: Mwandishi Wetu
MAHABA? Mnenguaji grade one Bongo, Asha Sharapova na mwenzake, Titi Mwinyi wamenaswa wakimmiminia mabusu motomoto, mnenguaji mwenzao wa Bendi ya Extra Bongo, Super Nyamwela. Mnenguaji mpya wa Bendi ya Extra Bongo ‘Wazee wa Kizigo’, Asha Said ‘Sharapova’. Tukio hilo lililogusa hisia za ‘wataalam wa mambo’, lilitokea hivi karibuni pande za Sinza-Afrika Sana jijini...

 

11 years ago

GPL

BAADA YA KADINDA, WEMA AMSHUSHIA MABUSU MTANGAZAJI

Stori: Mwandishi Wetu
UTAMU kolea! Beautiful Onyinye, Wema Isaac Sepetu ametengeneza kichwa cha habari kwa mara nyingine baada ya picha inayomuonesha akimshushia mabusu Mtangazaji wa East Africa Television ‘EATV’, Tonny Albert ‘T-bway 260’ kunaswa. Beautiful Onyinye, Wema Isaac Sepetu akimshushia mabusu Mtangazaji wa East Africa Television ‘EATV’, Tonny Albert ‘T-bway 260’...

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Rais Magufuli atoa angalizo la utamaduni wa salamu za mikono na mabusu

Rais wa Tanzania, John Magufuli ametoa tahadhari kuhusu ugonjwa unaotokana na virusi vya corona, akiwataka kutopuuza kwani mpaka sasa umegharimu maisha ya watu wengi duniani.

 

10 years ago

Raia Tanzania

Watanzania, majuto ni mjukuu!

UKIWAANGALIA Watanzania wa leo utaona kwenye fikra zao, nyuso zao na hisia zao utaona wazi kabisa kuwa iko kiu ya mabadiliko. Watu wanataka mabadiliko wamechoka na mazoea waliokuwa nayo na ambayo yanaendelea kuwafanya wawe dhalili.

Kila mtu anatamani mambo yaache kuwa na hali ilivyo sasa, anatamani yachukue mkondo mpya na njia mbadala ambayo inaweza kuwa na matumaini. Katika hali hii unatarajia kuwa wao ndiyo wawe chemichemi na chachu ya mbadiliko.

Bahati mbaya kwetu ni kwamba,...

 

10 years ago

Bongo Movies

King Majuto Agutuka

Staa mkongwe wa filamu za vichekesho King Majuto ameamua  kufanya  filamu zake mwenyewe na si zakushirikishwa kama kipindi cha nyuma.

Akizungumza na gazeti la Nipasge wiki hii, Majuto alisema ameamua kuwa anatoa filamu zake baada ya kuona  vijana wadogo ambao wameanza kazi za uigizaji hivi karibuni wanafanya kazi za  kutengeneza  filamu zao wenyewe katika kampuni zao.

Majuto alisema anatafakari mbinu za kujiekea mazingira mazuri kwa ajili ya kutengeneza filamu zake.

“Nimechoka kucheza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani