MAKALLA ATAKA TATHMINI MPYA BWAWA LA MWANJORO MEATU
![](http://1.bp.blogspot.com/-EXOrdndMG3g/U3cAvfPAGfI/AAAAAAAFiRc/qFl-sdLxoz8/s72-c/unnamed+(6).jpg)
Na Athumani Shariff Naibu Waziri wa Maji, Mh. Amos Makalla amewaagiza wataalamu wa maji kutoka Wizara ya Maji na Sekretarieti ya Mkoa wa Simiyu kufanya tathmini mpya ya bwawa la Mwanjoro lililopo katika kijiji cha Jinamo umbali wa kilometa 35 kutoka makao makuu ya Wilaya ya Meatu Mkoani Simiyu. Makalla alilazimika kutembelea bwawa hilo baada ya kupokea maombi ya Mkuu wa Wilaya ya Meatu Rosemary Kiring’ini kuja kujionea hali halisi ya bwawa la Mwanjoro. Kiring’ini alisema taarifa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-qNsjO9eUmyE/UyW-iwg4ckI/AAAAAAAFT_Q/DnzdVAEfPfA/s72-c/unnamed+(40).jpg)
TATHMINI YA ARDHI YA BANDARI MPYA YA MBEGANI, BAGAMOYO, YAKAMILIKA
10 years ago
Mwananchi30 Dec
Ni mwaka wa tathmini na fikra mpya kwenye elimu yetu
9 years ago
Dewji Blog24 Dec
Mradi wa maji wa sh Milioni 343 wazinduliwa kijiji cha Mabogini, RC Makalla ataka vyanzo vya maji vitunzwe
![](http://1.bp.blogspot.com/-sq8hYuBdAsQ/VnqQ4oM226I/AAAAAAAAJWU/RsmzTklLDGg/s640/1.jpg)
Mkuu wa Mkoa Kilimanjaro Amos Makalla mwenye miwani akizindua huduma ya maji katika kijiji cha Mabogini, mkoani Kilimanjaro wenye thamani ya Sh Milioni 343.
Na Mwandishi Wetu, Kilimanjaro
ZAIDI ya wananchi 3000 wa kijiji cha Mabogini, kitongoji cha Shabaha, mkoani Kilimanjaro, watanufaika na huduma ya maji safi na salama, baada ya kupelekewa mradi wenye thamani ya Sh Milioni 343. Mradi huo uliozinduliwa jana na Mkuu wa Mkoa Kilimanjaro, Amos Makalla, umesimamiwa na Mamlaka ya Maji Safi...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-iSHISPd2O7E/VXkwl7gFtQI/AAAAAAAHemY/rFIt7Co7-qk/s72-c/unnamed%2B%252824%2529.jpg)
Makalla akabidhi pikipiki 5 kwa kata mpya Mvomero
Akikambidhi pikipiki hizo, Mbunge wa Mvomero alimueleza mwenyekiti wa wilaya ya Mvomero ndg Abdalah Mtiga kuwa msaada huo ni muendelezo wa kukisaidia Chama wilaya ya Mvomero kwani awali alisaidia pikipiki 23 na hizo 5 inafanya jumla ya pikipiki alizosaidia Chama kuwa 28 zenye...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-SyvsjPhvFW0/U7gHHCHvgfI/AAAAAAAAPOs/TduACNfGZ7E/s72-c/5.jpg)
KONGAMANO LA TATHMINI YA MIAKA 13 YA UTEKELEZAJI WA SERA MPYA YA MAMBO YA NJE LAFANYIKA DAR ES SALAAM
![](http://3.bp.blogspot.com/-SyvsjPhvFW0/U7gHHCHvgfI/AAAAAAAAPOs/TduACNfGZ7E/s1600/5.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-bO7HwGUQ5to/U7gHS5-WZdI/AAAAAAAAPO0/kYva9vBIyFM/s1600/12.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima28 Apr
Kocha mpya Stars ataka muda
KOCHA Mkuu wa timu ya soka ya Tanzania ‘Taifa Stars’, Martinus Ignatus ‘Mart Nooij’, ameshindwa kuzungumzia kiwango alichokiona juzi dhidi ya Burundi na kudai kuwa anatakiwa kupewa muda ili afanye...
11 years ago
BBCSwahili20 Jun
Kiongozi ataka serikali mpya Uraq
11 years ago
Dewji Blog22 Apr
CCM Meatu yazoa viongozi wa CHADEMA
-Mwenezi wa Chadema Wilaya ya Meatu arudi CCM pamoja na viongozi wengine wa Chadema
-Lugaila Madama aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema kata ya Mwandoya arudi CCM
-Miyeye Robert aliyekuwa mwenyekiti wa Chadema kata ya Kisesa arudi CCM
Aliyekuwa Katibu Mwenezi wa Chadema wilaya ya Meatu Kimwaga Jackson Ndibo akirudisha vitu vya Chadema zikiwemo kadi, bendera na katiba kwa viongozi wa CCM baada ya kurudi rasmi.
Mwenyekiti wa Vijana mkoa wa Simiyu na MNEC wa Itilima Ndugu Njalu Silanga...
10 years ago
Daily News18 Jun
Search for missing Meatu herdsmen futile so far
Daily News
THE two-week long search for the two cattle grazers who went missing since May 29 in the wilderness of Meatu District in Simiyu Region have produced no new results and now the exercise may extend to as far as Karatu District in Arusha Region and Mbulu ...