Makanisa kufanya ibada jumamosi tarehe 24
Huku Tanzania ikijiandaa kwa uchaguzi mkuu, baadhi ya makanisa nchini Tanzania yametoa ruhusa maalum kwa viongozi wa kanisa kuendesha ibada Jumamosi tarehe 24
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo15 Oct
Moravian wabariki ibada kufanyika Jumamosi
KANISA la Moravian Jimbo la Mashariki na Pwani Tanzania (KMJ – MPT) limetoa kibali kwa shirika zote na vituo vyote katika jimbo hilo kufanya ibada Jumamosi Oktoba 24 ili waumini wake wawe huru kupiga kura Jumapili ya Oktoba 25.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-5UkdbfdN2Bg/VFiYA2rzaGI/AAAAAAAGvYQ/u8GnzalDNHs/s72-c/unnamed%2B(91).jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-4Wgg-l_LesY/VkpA6iFuPHI/AAAAAAAAAyw/IxYjRJMaUrs/s72-c/Mavuno%2BJumamosi%2B28%2BNov%2B2015.jpg)
Karibuni Ibada ya Sikukuu ya Mavuno | Jumamosi 28 Novemba 2015 Saa Kumi kamili jioni!
![](http://3.bp.blogspot.com/-4Wgg-l_LesY/VkpA6iFuPHI/AAAAAAAAAyw/IxYjRJMaUrs/s1600/Mavuno%2BJumamosi%2B28%2BNov%2B2015.jpg)
10 years ago
Mwananchi17 Jul
Eid el Fitr ni siku ya furaha, kufanya ibada
>Waislam dunia nzima wamekamilisha ibada muhimu ya kufunga Mwezi Mtukufu wa Ramadhan. Furaha zimetawala kila kona, si kwa sababu sasa wameachiwa huru bali kwa sababu wamefaulu kutekeleza amri ya kufunga.
5 years ago
BBCSwahili09 May
Tetesi za soka Ulaya Jumamosi tarehe 09.05.2020 : Victor ,Savic, Pjanic, Eriksen, Umtiti
Mashaka juu ya uwezo wa Victor Lindelof yamesababisha Manchester United kuwa na nia ya kujiimarisha katika safu ya ulinzi wa kati. (ESPN)
5 years ago
BBCSwahili11 May
Virusi vya corona: Wakenya wabuni mbinu tofauti ya kufanya ibada nyumbani
Ibada ya roshani yaandaliwa nchini Kenya kama njia ya kujilinda na maambukizi ya virusi vya corona.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-gTcb5MleN6E/U42DjcJBVmI/AAAAAAAAOyE/hlQx4T5_J_o/s72-c/FOU1.jpg)
TAASISI YA FARIDA FOUNDATION KUFANYA UZINDUZI TAREHE 28/06/2014
![](http://1.bp.blogspot.com/-gTcb5MleN6E/U42DjcJBVmI/AAAAAAAAOyE/hlQx4T5_J_o/s1600/FOU1.jpg)
Taasisi ya Faridas foundation inatarajia kufanya uzinduzi wake rasmi siku ya tar 28/6/2014 siku ya jumamosi katika ukumbi wa crystal hall, blue pearl hotel, ubungo plaza kuanzia saa 6 hadi 12 jioni. Katika siku hyo taasisi itatoa misaada mbali mbali kwa walemavu ikiwemo baiskeli za walemavu, vyerehani, vifaa vya shule na vifaa vingine muhimu kwa walemavu ukiwa kama mdau au mtanzania unayeguswa na walemavu na ungependa kuhudhuria siku hyo maalumu kadi zinapatikana kwa mchango wa...
5 years ago
BBCSwahili21 Mar
Tetesi za soka Ulaya Jumamosi tarehe 21.03.2020: Matic, Zaha, Willian, Soumare, Boga, Pjanic, Alaba
Ligi ya Primia kwa mara nyingine tena inachunguza jinsi ya kucheza michoze ndani ya nyumba wakati huu wa mzozo wa coronavirus ili kukamilisha msimu wa soka . (Independent)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania