Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Moravian wabariki ibada kufanyika Jumamosi

KANISA la Moravian Jimbo la Mashariki na Pwani Tanzania (KMJ – MPT) limetoa kibali kwa shirika zote na vituo vyote katika jimbo hilo kufanya ibada Jumamosi Oktoba 24 ili waumini wake wawe huru kupiga kura Jumapili ya Oktoba 25.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Pinda ahudhuria ibada ya kumweka wakfu Askofu wa Moravian Jimbo la Rukwa

PG4A0458

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimpongeza Askofu Conrad Ernest Nguvumali baada ya kuwekwa Wakfu kuwa Askofu wa Kanisa la Moravian jimbo la Rukwa katika ibada iliyofanyika kwenye uwanja wa Nelson Mandela mjini Sumbawanga  May 25, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

PG4A0514

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akimkabidhi zawadi ya picha, Askofu wa Kanisa la Moraviani jimbo la Rukwa, Conrad Ernest katika ibada ya kumwapisha  askofu huyo iliyofanyika  kwenye uwanja wa Nelson Mandela mjini...

 

11 years ago

Michuzi

MH. PINDA AHUDHURIA IBADA UA KUMWEKA WAKFU ASKOFU WA MORAVIAN JIMBO LA RUKWA

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimpongeza Askofu Conrad Ernest Nguvumali baada ya kuwekwa Wakfu kuwa Askofu wa Kanisa la Moravian jimbo la Rukwa katika ibada iliyofanyika kwenye uwanja wa Nelson Mandela mjini Sumbawanga May 25, 2014. Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimkabidhi zawadi ya picha, Askofu wa Kanisa la Moraviani jimbo la Rukwa, Conrad Ernest katika ibada ya kumwapisha askofu huyo iliyofanyika kwenye uwanja wa Nelson Mandela mjini Sumbawanga May 25,2014.. (Picha na Ofisi ya Waziri...

 

10 years ago

Michuzi

PINDA ASHIRIKI IBADA YA UZINDUZI WA MAKAO MAKUU YA JIMBO LA MASHARIKI YA KANISA LA MORAVIAN TANZANIA

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza katika uzinduzi wa Makao Makuu ya Jimbo la Mashariki la Kanisa la Moravian Tanzania eneo la Chamazi jijini Dar es salaam Mei 3, 2015 (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

 

11 years ago

Michuzi

BARAZA LA WAZEE KANISA LA MORAVIAN TABATA LAWATOA HOFU WAUMINI, LAKANUSHA TAARIFA YA KUZUILIWA KWA IBADA

Wakili wa kujitegemea wa Baraza la wazee wa kanisa la Moravian Usharika wa Tabata Bw. Benjamin Mwakambe akiongea na waandishi wa habari kuhusu amri ya iliyotolewa na mahakama kuzuia Bodi ya wadhamini wa kanisa la Moravian Kanda ya Kusini kusimamisha huduma za kiroho na kijamii katika eneo hilo. Wengine ni Mzee Kiongozi wa Usharika huo Bw.Ernest Isakwisa(kulia) na Hamphrey Mgema (kushoto) Baadhi ya Wazee wa Kanisa la Moravian usharika wa Tabata wakifuatilia masuala mbalimbali wakati wa...

 

9 years ago

BBCSwahili

Makanisa kufanya ibada jumamosi tarehe 24

Huku Tanzania ikijiandaa kwa uchaguzi mkuu, baadhi ya makanisa nchini Tanzania yametoa ruhusa maalum kwa viongozi wa kanisa kuendesha ibada Jumamosi tarehe 24

 

11 years ago

Mwananchi

Usaili uchaguzi TBF kufanyika Jumamosi

Baraza la Michezo la Taifa (BMT) limesema usaili wa wagombea wa nafasi mbalimbali kwenye Uchaguzi Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Kikapu Tanzania (TBF) utafanyika keshokutwa Jumamosi.

 

9 years ago

Michuzi

Karibuni Ibada ya Sikukuu ya Mavuno | Jumamosi 28 Novemba 2015 Saa Kumi kamili jioni!

IYK-Columbus, Ohio | Karibuni Ibada ya Sikukuu ya Mavuno | Jumamosi 28 Novemba 2015 Saa Kumi kamili jioni!                          www.iykcolumbus.org

 

10 years ago

GPL

ROBO FAINALI DANSI 100% KUFANYIKA JUMAMOSI

Vijana wanaounda Kundi la Mob Squad  Kutoka Wilaya ya Temeke wakionyesha umahiri wao katika shindano la Dance miamia hivi karibuni,liloandaliwa na East Africa TV na kudhaminiwa na  Vodacom Tanzania.
Baadhi ya mashabiki waliofurika katika mashindano hayo hivi karibuni. Kinyang’anyiro cha mashindano yanayokuwa kwa kasi hapa nchini ya Dance 100% yanayoandaliwa  na kituo cha televisheni cha East ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani