Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Makatibu 20 Chadema kumng’oa Maghembe

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Chadema wapania kumng’oa Mkuchika

george-mkuchika-akiNA FLORENCE SANAWA, NEWALA

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Wilaya ya Newala, Mkoa wa Mtwara, kimepania kumng’oa madarakani Mbunge wa Newala, George Mkuchika (CCM) wakati wa uchaguzi mkuu ujao.

Akizungumza na MTANZANIA nyumbani kwake jana, Katibu wa Chadema wilayani hapa, Rashid Mhunzi, alisema wananchi wa Newala wanahitaji mabadiliko makubwa ili kuondokana na umasikini unaowakabili kwa miaka mingi.

“Sisi Newala ni kama hatuna mbunge japokuwa anajiona yupo kwa sababu amekuwa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA wajipanga kumng’oa Majimarefu 2015

CHAMA cha Demokrasi na Maendeleo (CHADEMA) kupitia kwa Mwenyekiti mpya wa Chama hicho wilayani Korogwe, Aulerian Nziku, amesema wamejipanga kumng’oa Mbunge wa Korogwe vijijini, Stephen Ngonyani, maarufu kama Profesa Majimarefu...

 

9 years ago

Raia Mwema

Chadema, NCCR kumnufaisha Profesa Maghembe

HALI ya kuvurugana kati ya wagombea wawili wa vyama vya vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (

Paul Sarwatt

 

10 years ago

Dewji Blog

Balozi Sefue afungua mkutano wa mwaka wa makatibu wakuu, makatibu tawala wa mikoa na naibu makatibu wakuu leo mjini Dodoma

1

Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akizungumza wakati wa kufungua mkutano wa faragha wa mwaka cha makatibu wakuu, makatibu tawala wa mikoa na naibu makatibu wakuu mapema leo mjini Dodoma. Kaulimbiu ya mkutano wa mwaka huu ni “Nafasi na Wajibu wa Watendaji wa Wakuu wa Serikali kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2015 na Kuingia Madarakani Serikali ya Awamu ya Tano.”

2

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mh. Chiku Gallawa akizungumza kumkaribisha mkoani Dodoma Katibu Mkuu Kiongozi, Makatibu Wakuu,...

 

9 years ago

TheCitizen

Chadema candidate to challenge Prof Maghembe’s victory

Chadema candidate for Mwanga parliamentary seat Mr Henry Kileo, who was defeated by minister for water Professor Jumanne Maghembe, will contest defeat in court.

 

10 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU KIONGOZI BALOZI OMBENI SEFUE AFUNGUA MKUTANO WA MWAKA WA MAKATIBU WAKUU, MAKATIBU TAWALA WA MIKOA NA NAIBU MAKATIBU WAKUU LEO MJINI DODOMA

 Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akizungumza wakati wa kufungua mkutano wa faragha wa mwaka cha makatibu wakuu, makatibu tawala wa mikoa na naibu makatibu wakuu mapema leo mjini Dodoma. Kaulimbiu ya mkutano wa mwaka huu ni “Nafasi na Wajibu wa Watendaji wa Wakuu wa Serikali kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2015 na Kuingia Madarakani Serikali ya Awamu ya Tano.” Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mh. Chiku Gallawa akizungumza kumkaribisha mkoani Dodoma Katibu Mkuu Kiongozi, Makatibu Wakuu,...

 

10 years ago

Mwananchi

Makatibu, wajumbe wajiuzulu Chadema

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) mkoani hapa, kimepata pigo baada ya makatibu wawili na wajumbe tisa wa kamati ya utendaji, kujiuzulu na kujiunga na Alliance for Change and Transparence (ACT-Tanzania).

 

11 years ago

Michuzi

SEMINA YA MAKATIBU WA MIKOA NA MAKATIBU WASAIDIZI WA TUICO YAFANYIKA MJNI MOROGORO.

 Katibu wa TUICO mkoa wa Pwani Kassim Matewele akitoa hoja katika semina ya makatibu wa mikoa na makatibu wasaidizi wa tuico mkoani morogoro.  Nyuso za furaha, baadhi ya makatibu wasaidizi wa TUICO wakiwa katika semina hiyo.  Katibu wa TUICO kanda ya kaskazini Hussen Ngowi akitoa hoja katika semina hiyo.  Baadhi ya makatibu wasaidizi wa TUICO wakiwa katika semina inayofanyika katika hotel ya New Savoy mjini Morogoro. Makatibu wakuu wa mikoa na wasaidizi wa TUICO wakiwa katika picha ya...

 

10 years ago

Michuzi

BALOZI SEFUE AFUNGUA MKUTANO WA MAKATIBU WAKUU NA MAKATIBU TAWALA WA MIKOA ,MJINI DODOMA LEO

Katibu Mkuu Kiongozi,Balozi Ombeni Sefue akizungumza wakati wa kufungua Mkutano wa Siku mbili wa Makatibu Wakuu na Makatibu Tawala wa Mikoa hapa Nchini.Mkutano huu wa siku Mbili unafanyika katika Hoteli ya St.Gaspar Mjini Dodoma unawashirikisha pia Manaibu makatibu wakuu wa Wizara zote.Makatibu Wakuu na Makatibu Tawala wa Mikoa Hapa Nchini wakimsikiliza Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue wakati akifungua Mkutano wa siku Mbili wa watendaji hao katika Hoteli ya St.Gaspar Mjini Dodoma. Na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani