Chadema wapania kumng’oa Mkuchika
NA FLORENCE SANAWA, NEWALA
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Wilaya ya Newala, Mkoa wa Mtwara, kimepania kumng’oa madarakani Mbunge wa Newala, George Mkuchika (CCM) wakati wa uchaguzi mkuu ujao.
Akizungumza na MTANZANIA nyumbani kwake jana, Katibu wa Chadema wilayani hapa, Rashid Mhunzi, alisema wananchi wa Newala wanahitaji mabadiliko makubwa ili kuondokana na umasikini unaowakabili kwa miaka mingi.
“Sisi Newala ni kama hatuna mbunge japokuwa anajiona yupo kwa sababu amekuwa...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi23 Feb
10 years ago
Tanzania Daima20 Sep
CHADEMA wajipanga kumng’oa Majimarefu 2015
CHAMA cha Demokrasi na Maendeleo (CHADEMA) kupitia kwa Mwenyekiti mpya wa Chama hicho wilayani Korogwe, Aulerian Nziku, amesema wamejipanga kumng’oa Mbunge wa Korogwe vijijini, Stephen Ngonyani, maarufu kama Profesa Majimarefu...
11 years ago
Tanzania Daima17 Jun
Waziri Mkuchika aipongeza NHIF
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais Utawala Bora, George Mkuchika, ameupongeza Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) kwa kutoa elimu ya kujikinga na magonjwa yasiyoambukiza. Mkuchika alisema hayo...
11 years ago
Habarileo09 Apr
Mkuchika akemea wanaochukua sheria mkononi
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Utawala Bora, George Mkuchika amewataka wananchi kuacha kujichukulia sheria mkononi.
5 years ago
MichuziMKUCHIKA -HALMASHAURI ZIJIFUNZE URASIMISHAJI SINGIDA
Afisa Biashara wa Manispaa ya Singida, Erick Sinkwembe akitoa maelezo mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa kuhusu kituo cha Urasimishaji na Uendelezaji wa Biashara.(Picha na John Mapepele)
Kwaya ya Chuo cha Utumishi wa Umma ikitumbuiza mbele ya ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa walipotembelea Kampasi ya Singida.(Picha na John Mapepele)
![](https://1.bp.blogspot.com/-qWzxJVmFIxM/Xmyjv6u6VOI/AAAAAAAAgFM/LZaLIpUEay0vgqRjdUw_Bww3OvXVrnFagCLcBGAsYHQ/s640/ccc.jpg)
Wanafunzi wa Sekondari ya Mwenge Mjini Singida wakiwasikiliza wabunge wa Kamati ya Kudumu ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3BUwwLuJMnQjGI0JHNQ8aOI9-0dC2-UuY9rfhY6f86KnT15fXrsDD*co5OkVkc6ou*6KqlxBx0gqp6YrIbiq146CPfhA2dJo/Dr.Mukangara.jpg?width=650)
MKUCHIKA, MUKANGARA WAALIKWA TAMASHA LA PASAKA
11 years ago
Tanzania Daima11 Dec
Mkuchika ataka Afrika iungane kupigania rasilimali
SERIKALI za Afrika zimetakiwa kuungana katika kupigania kurejeshwa kwa rasilimali za Afrika zilizoibwa zikiwemo fedha haramu zilizofichwa nje ya bara hilo. Hayo yalisemwa juzi na Waziri wa Utawala Bora, George...
11 years ago
Mwananchi18 Dec
Makocha wapania makubwa
11 years ago
Habarileo30 Mar
Wapania kusimamia mchakato wa Katiba
UMOJA wa Wabunge Wanawake kutoka vyama vya Upinzani wameapa kusimamia mchakato wa Katiba mpya ili kuondoa uwezekano wa kuzuka kwa machafuko ya kisiasa ambayo waathirika wakubwa watakuwa ni wanawake, watoto na walemavu.