Makocha wapania makubwa
>Makocha wa timu zinazoiwakilisha Tanzania katika mashindano ya Ligi ya Mabingwa Afrika na Kombe la Shirikisho wamesema maandalizi mazuri kwa timu zao ndiyo silaha pekee ya kufanya vyema katika mashindano husika.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziWASANII WAPANIA MAKUBWA TAMASHA LA AMANI
Taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa wiki hii na Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya tamasha hilo,Alex Msama ilieleza kuwa wasanii hao wamesema kuna mambo mazuri watayafanya siku hiyo.
Baadhi ya wasanii waliotajwa kwamba watatumbuiza siku hiyo ni Sarah K, John Lissu, Rose Muhando, Upendo...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-1i8muMJJfgA/U9t7JDECmlI/AAAAAAAF8Ok/ArMmA_yaWH0/s72-c/unnamed+(24).jpg)
makocha wa Timu ya Barcelona kutoa mafunzo ya makocha wa Tanzania
![](http://3.bp.blogspot.com/-1i8muMJJfgA/U9t7JDECmlI/AAAAAAAF8Ok/ArMmA_yaWH0/s1600/unnamed+(24).jpg)
11 years ago
Tanzania Daima27 Jul
Matokeo makubwa sasa bila maandalizi makubwa
ILI kupata matokeo yoyote makubwa na mazuri katika jambo lolote, lazima uwe umefanya maandalizi makubwa kabla. Hii ndiyo hali halisi ukiachilia mbali miujiza ya Mwenyezi Mungu anayeweza kufanya chochote. Tanzania...
9 years ago
Habarileo30 Dec
Simba wapania Kombe la Mapinduzi
TIMU za Simba na Azam zimepania kuchukua ubingwa wa Kombe la Mapinduzi kwa kuhakikisha zinapambana mwanzo hadi mwisho na kushinda kila mchezo ulioko mbele yao.
11 years ago
Habarileo30 Mar
Wapania kusimamia mchakato wa Katiba
UMOJA wa Wabunge Wanawake kutoka vyama vya Upinzani wameapa kusimamia mchakato wa Katiba mpya ili kuondoa uwezekano wa kuzuka kwa machafuko ya kisiasa ambayo waathirika wakubwa watakuwa ni wanawake, watoto na walemavu.
10 years ago
Mtanzania16 Feb
Chadema wapania kumng’oa Mkuchika
NA FLORENCE SANAWA, NEWALA
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Wilaya ya Newala, Mkoa wa Mtwara, kimepania kumng’oa madarakani Mbunge wa Newala, George Mkuchika (CCM) wakati wa uchaguzi mkuu ujao.
Akizungumza na MTANZANIA nyumbani kwake jana, Katibu wa Chadema wilayani hapa, Rashid Mhunzi, alisema wananchi wa Newala wanahitaji mabadiliko makubwa ili kuondokana na umasikini unaowakabili kwa miaka mingi.
“Sisi Newala ni kama hatuna mbunge japokuwa anajiona yupo kwa sababu amekuwa...
10 years ago
Tanzania Daima01 Nov
Embukoi wapania mapinduzi sekta ya elimu
MWENYEKITI wa Kijiji cha Embukoi wilayani Siha Mkoa wa Kilimanjaro, Lazaro Lengere, amesema kwamba wamejipanga kuleta mapinduzi kwenye sekta ya elimu kwa kujali usawa wa kijinsia, kitu ambacho miaka ya...
10 years ago
BBCSwahili25 Mar
Ukanda wa Kati wapania kukuza uchumi
9 years ago
Mwananchi13 Dec
Kiapo cha jasho, mawaziri wapania kazi