Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MKUCHIKA -HALMASHAURI ZIJIFUNZE URASIMISHAJI SINGIDA


Afisa Biashara wa Manispaa ya Singida, Erick Sinkwembe akitoa maelezo mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa kuhusu kituo cha Urasimishaji na Uendelezaji wa Biashara.(Picha na John Mapepele)
Kwaya ya Chuo cha Utumishi wa Umma ikitumbuiza mbele ya ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa walipotembelea Kampasi ya Singida.(Picha na John Mapepele)
Wanafunzi wa Sekondari ya Mwenge Mjini Singida wakiwasikiliza wabunge wa Kamati ya Kudumu ya...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

SINGIDA YAADHIMISHA MIAKA 43 YA CCM KWA KISHINDO, YATOA MSIMAMO ENEO LINASTAHILI KUJENGWA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI YA SINGIDA VIJIJINI

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Singida, Alhaji Juma Kilimba, akizungumza kwenye sherehe za maadhimisho ya miaka 43 ya chama hicho yaliyofanyika kimkoa Wilaya ya Singida Vijijini hivi karibuni. Wengine ni viongozi mbalimbali wa chama hicho na Serilikali na Wabunge. KWA PICHA ZA MAADHIMISHO YA MIAKA 43 YA CCM >> BOFYA HAPA

Na Godwin Myovela, Singida
Baada ya mvutano mkubwa ambao umekuwepo baina ya madiwani, viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na viongozi wa Serikali kuhusu...

 

11 years ago

Dewji Blog

Halmashauri ya Singida yapata Makamu Mwenyekiti

DSC06664

Makamu Mwenyekiti Mpya wa Halmashauri ya Singida ambaye pia ni Diwani wa Kata ya Msange tarafa ya Ilongero, Elia Digha.

Na Nathaniel Limu, Singida

Kikao cha baraza la madiwani halmashauri ya wilaya ya Singida, kimemchagua Elia Digha kuwa makamu mwenyekiti kwa kipindi cha mwaka moja,baada ya kupata kura zote 28 za ndio zilizopigwa.

Digha ambaye ni diwani wa kata ya Msange tarafa ya Ilongero kupitia tiketi ya CCM, alipigiwa kura za ndio na hapana kutokana na halmashauri hiyo kutokuwa na...

 

10 years ago

Dewji Blog

Halmashauri ya Singida yakusanya mapato ya sh bil 11/-

DSC05520

Makamu mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Singida vijijini, Elia Digha, akitoa taarifa ya mapato na matumizi kwa kipindi cha kuanzia Julai mwaka jana hadi Machi 30 mwaka huu mbele ya kikao cha kawaiada cha madiwani. Digha alisema kuwa halmashauri hiyo ilikusanya zaidi yashilingi bilioni 11.4 ikiwa ni sawa na asilimia 49 ya  lengo la kukusanya zaidi ya shilingi bilioni 22.1.

DSC05514

Mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Singida vijijini, Iddi Mnyampanda, akizungumza kwenye ufunguzi wa kikao...

 

9 years ago

Dewji Blog

Mlangi mgombea pekee nafasi ya Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Singida!!

DSC02266

Mgombea nafasi ya mwenyekiti halmashauri ya wilaya ya Singida,Elia Digha Mlangi,akizungumza kwenye moja ya mikutano yake ya kazi.Digha aliyetetea vema nafasi yake ya udiwani kata ya Msange,ni mugombea pekee katika nafasi hiyo kutokana na halmashauri hiyo kutokuwa na diwani kutoka upande wa upinzani.Picha  na Nathaniel Limu. Na Nathaniel Limu [SINGIDA] Diwani  mteule (CCM) kata ya Msange tarafa ya Ilongero wilaya ya Singida,Elia Digha Mlangi,ni mgombea pekee katika  nafasi ya...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mchina aiomba Serikali Bilioni 3 kujenga jengo la Halmashauri Singida

DSC03668

Mkurugenzi wa halmashauri ya manispaa Singida, Joseph Mchina, akizungumza kwenye kikao maalum cha kupitisha bajeti ya 2015/2016 kilichofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa kanisa la katoliki mjini Singida. Wa pili aliyeketi ni mstahiki meya wa manispaa ya Singida na sheikh wa mkoa wa Singida, Salum Mahami na wa kwanza kushoto ni Makamu meya, Hassan Mkatana wa kwanza kulia ni Katibu tawala wilaya ya Singida.

Na Nathaniel Limu, Singida

HALMASHAURI ya manispaa ya Singida, imetoa  maombi maalum...

 

10 years ago

Dewji Blog

Halmashauri ya wilaya ya Singida yatoa chanjo ya Vitamin “A” kwa watoto 39,166

SAM_0130

Wanafunzi wa shule za msingi na sekondari za tarafa ya Mtinko wakiwa kwenye na mabango yenye ujumbe wa maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika iliyofanyika kiwilaya kata ya Ughandi, Singida vijijini.

SAM_0132

SAM_0134

Vikundi vya ngoma vilivyokuwa vikitumbuiza kwenye sherehe za siku ya mtoto wa Afrika.

SAM_0135

Kikundi cha kwaya kilichokuwa kikitoa burudani ya nyimbo mbali mbali zilizokuwa na ujumbe unaoashiria kupiga vita mimba na ndoa za utotoni.

SAM_0136

Wanafunzi wa shule mbali mbali za msingi na sekondari...

 

9 years ago

Dewji Blog

CCM Singida yazoa viti vyote vya Halmashauri ya Ikungi na Mkalama

IMG_1029

Katibu wa CCM mkoa wa Singida, Mary Maziku, akitoa tamko la kukanusha mbele ya waandishi wa habari (hawapo kwenye picha) taarifa zinazoenezwa kwamba CCM mkoa ilikata jina la mgombea nafasi ya Mwenyekiti halmashauri ya wilaya ya Mkalama, kutokana na ulemavu wake wa miguu. Kulia ni Katibu msaidizi CCM mkoa wa Singida, Adamu.(Picha na Nathaniel Limu).

Na Nathaniel Limu, Singida

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Singida, kimekanusha vikali uzushi unaoenezwa kwamba kilikata jina la mgombea nafasi...

 

11 years ago

Dewji Blog

Halmashauri Mkoa na Manispaa Singida zadaiwa zaidi shilingi 6.3 bilioni na wakandarasi

Waziri Mkuu Akiongea na Waandishi wa Habari 2

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Mizengo Pinda.

Na Nathaniel Limu, Singida

SEKRETARIETI ya Mkoa na Halmashauri za wilaya na manispaa mkoani Singida zinadaiwa na wakandarasi,wazabuni na watumishi wa umma zaidi ya shilingi 6.3 bilioni hadi novemba mwaka jana.

Madeni hayo yameainishwa kwenye taarifa ya madeni ya mkoa wa Singida iliyotolewa mbele ya kikao cha kamati ya ushauri wa mkoa (RCC) kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa chuo cha VETA mjini Singida.

Taarifa hiyo...

 

11 years ago

Dewji Blog

Halmashauri ya manispaa ya Singida yaweka taa kandokanodo ya barabara zake kuimarisha ulinzi

DSC00245

Halmashauri ya manispaa ya Singida, yaweka taa kando kando ya barabara zake katika kuimarisha ulinzi na kupendezesha mji.

Taa hizo ambazo katika awamu ya kwanza zimewekwa kwenye barabara ya Arusha inayoanzia Bomani hadi nyumba za kulala ya Victoria karibu na Mwenge sekondari na ile ya Karume Arusha, zote zikiwa na urefu wa kilometa 2.720.(Picha na Nathaniel Limu).

Na Nathaniel Limu, Singida

Halmashauri ya manispaa ya Singida, imeweka taa kando kando ya barabara zake za mjini Singida zenye...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani