Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Makocha weledi watavuta mashabiki

Michezo ni kitu muhimu sehemu yoyote duniani katika maisha ya jamii ya binadamu na inasaidia kwa kiasi kikubwa katika maendeleo ya nchi mbalimbali, pia husaidia kujenga urafiki, mshikamano na umoja wa kitaifa kwa taifa lolote lile.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

makocha wa Timu ya Barcelona kutoa mafunzo ya makocha wa Tanzania

Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Vijana kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bi Juliana Yassoda (Katikati) akiongea na Wanahabari (Hawapo pichani) kuhusu makocha wa Timu ya Barcelona kutoka nchini Hispania ambao wako nchini kwa ajili ya mafunzo ya makocha wa Tanzania yatakayofanyika kwa muda wa siku mbili.Wengine picha toka kulia ni Balozi wa Spain nchini Mh. Luis Manuel Ceuesta Civis, Mkurugenzi wa Masoko wa TBL,Kushila Thomas,Kocha Isaac Oriol Guerrero...

 

10 years ago

Habarileo

JK ataka weledi utumishi wa umma

UTUMISHI wa Umma nchini umetakiwa kubadilika katika utendaji wao ili kuwa wawezeshaji zaidi badala ya wakwamishaji katika kutoa maamuzi muhimu ya utendaji wa shughuli mbalimbali nchini.

 

11 years ago

Mwananchi

Weledi ndiyo kipaumbele chetu

Leo imetimia miaka minane tangu tulipoanza kutoa Jarida la Starehe. Hakika miaka minane siyo umri wa kubeza, kwani kama ni binadamu basi ni mtoto ambaye tayari akili zake zimetulia na ni mwelewa.

 

9 years ago

Michuzi

WAKAGUZI WATAKIWA KUZINGATIA WELEDI

Mkurugenzi wa msaidizi (Mafunzo) Bibi Felister Tirutangwa akizungumza wakati wa mafunzo ya program ya TEAMMATE kwa ajili ya wakaguzi kutoka NAOT na Wizara ya Fedha. Mafunzo hayo yanafanyika mkoani Morogoro kuanzia tarehe 02 hadi 06 Novemba, 2015.Baadhi ya watumishi wa Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi (NAOT) na Wizara ya Fedha wakifuatilia kwa umakini mafunzo  ya program ya TEAMMATE. Mafunzo hayo yanafanyika mkoani Morogoro kuanzia tarehe 02 hadi 06 Novemba, 2015.Mgeni rasmi wa mafunzo ya program ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

BUNGE LA LA KATIBA: Weledi, hekima na nidhamu

KWA tafsiri yoyote iwayo, Bunge la Katiba litakuwa chombo kikuu kitakachopewa mamlaka na madaraka kwa niaba ya wananchi, kuijadili rasimu ya pili ya Katiba mpya ya Jamhuri ya Muungano ya...

 

9 years ago

Habarileo

Majaliwa ataka weledi Serikali za Mitaa

WATUMISHI wa Serikali za Mitaa wametakiwa kufanya kazi kwa kujituma wakizingatia maadili na taaluma zao badala ya kufanya kazi kwa woga na kwamba hakuna mtumishi yeyote atakayeadhibiwa akifanya kazi yake kwa weledi.

 

10 years ago

Habarileo

Nape ahimiza weledi taaluma ya habari

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM – Taifa, Nape NnauyeWAANDISHI wa habari nchini wametakiwa kuendelea kuandika habari kwa weledi zisizoegemea upande mmoja.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Kova ataka polisi kuzingatia weledi

KAMANDA wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Kamishna (CP), Suleiman Kova, amewataka askari wa kanda hiyo kufanya kazi kwa weledi, kuzingatia haki za binadamu na kufuata maadili ya...

 

9 years ago

StarTV

Wanahabari wahimizwa kufanya kazi kwa weledi

 Waandishi wa habari wametahadharishwa juu ya ukiukaji mkubwa wa maadili unaofanywa hasa kipindi hiki cha kuelekea  uchaguzi  mkuu oktoba mwaka huu kwani  hali hiyo ikiendelea inaweza kusababisha kuwepo kwa machafuko nchini.

Aidha imeelezwa kuwa ukiukwaji mkubwa ni ule wa waandishi kuamua kuwa wasemaji wakuu wa wagombea kuandika  habari za kichochezi  bila kuchuja  na kubeba baadhi  ya  wagombea hata ambao hawana sifa kwa maslahi  yao  binafsi   hali inayofanya jamii kutokuwa na imani na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani