Makosa ya kwenye madini yasirudiwe katika mafuta na gesi
UTAFITI uliofanywa katika sekta ya madini unaonyesha kuwa Tanzania ina aina 30 za madini mbalimbali ambapo ramani mpya ya madini kutoka wizara ya nishati na madini inaonyesha kuwa kila wilaya hapa nchini inakadiriwa kuwa na aina 30 za madini. Hata hivyo hali ya uchumi wa Tanzania na hali halisi ya maisha haifanani na watu wanaoishi katika nchi yenye madini na raslimali nyingi adimu kama vile madini ya dhahabu, almasi na Tanzanite ambapo miaka ya karibuni imegundulika uwepo mafuta na gesi...
KwanzaJamii
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi03 Jul
Makosa yaliyofanyika kwenye madini yasirudiwe kwingineko
11 years ago
Habarileo30 Mar
‘Tumieni ipasavyo fursa za madini, gesi, mafuta’
WATANZANIA wametakiwa kubadilika kifikra kwa kutumia ipasavyo fursa zilizopo katika tasnia ya madini, mafuta na gesi ili kujiletea maendeleo na kakabiliana na changamoto zake. Wito huo umetolewa na Mshauri Mwandamizi wa Kanda wa Masuala ya Mapato wa Taasisi ya Revenue Watch (RWI), Silas Ola'g .
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Su_28yGuUjc/VgB8OVLF4AI/AAAAAAAH6t0/U2PTRxiZ2YI/s72-c/g5.jpg)
Mikataba ya madini, gesi, mafuta kupitiwa na timu ya wataalam kabla ya kusainiwa
10 years ago
MichuziWANACHI WA LINDI NA MTWARA WAJADILIANA UWAZI KATIKA SEKTA YA MAFUTA NA GESI
11 years ago
Michuzi04 Mar
9 years ago
Dewji Blog01 Oct
Taasisi ya UONGOZI yaandaa warsha ya wadau wa Serikali katika usimamizi wa rasilimali za mafuta na gesi asilia
Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa Mtwara Bw. Johansen Bukwali akisoma hotuba ya ufunguzi wa warsha ya usimamizi wa rasilimali za mafuta na gesi asilia kwa niaba ya mgeni rasmi Waziri wa Nchi -TAMISEMI Mh. Hawa Ghasia katika ukumbi wa hoteli ya NAF Beach mkoani Mtwara.
Mkuu wa Idara ya Utafiti na Sera kutoka Taasisi ya UONGOZI Bw. Dennis Rweyemamu akizungumza kwa niaba ya Afisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya UONGOZI Profesa Joseph Semboja wakati wa warsha ya usimamizi wa rasilimali za mafuta na...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-eOpWTgt6Pkg/VSwL8oS-M-I/AAAAAAABrt4/jDmuF7Zo0nc/s72-c/picha%2B(smz).jpg)
Maafisa waandamizi wakiwa China katika mafunzo ya muda mfupi ya maendeleo ya mafuta na gesi asilia.
![](http://2.bp.blogspot.com/-eOpWTgt6Pkg/VSwL8oS-M-I/AAAAAAABrt4/jDmuF7Zo0nc/s640/picha%2B(smz).jpg)
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/04/CH2.jpg)
10 years ago
Dewji Blog06 May
Balozi Sefue azindua timu ya wataalam wa serikali wa kufanya mazungumzo katika mikataba ya gesi asilia na mafuta
Afisa Mtendaji Mkuu wa UONGOZI Institute...