Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Makundi ya urais yaibukia ALAT

Waziri Mkuu Mizengo Pinda

Waziri Mkuu Mizengo Pinda

NA ELIZABETH HOMBO, DAR ES SALAAM

MAKUNDI yanayosaka urais mwakani, yameibukia katika Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT), ambako mmoja wa wanaotajwa kuwania nafasi hiyo anadaiwa kumwaga fedha ili afanyiwe kampeni.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Katibu Mkuu wa ALAT, Habraham Shamumoyo, alisema taarifa zilizosambazwa kwenye mitandao ya kijamii zinadai kuwa Waziri Mkuu Mizengo Pinda ametoa fedha kwa jumuiya hiyo ili iweze...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Alat yatoa msimamo urais 2015

Jumuiya ya Serikali za MitaaTanzania (Alat), imetangaza kumuunga mkono mgombea urais atakayeonyesha kwa dhati kuwa tayari kuimarisha utendaji serikali za mitaa kwa kutekeleza sera ya ugatuaji madaraka kutoka juu kwenda kwa wananchi.

 

10 years ago

KwanzaJamii

ALAT yakana kumbeba Pinda urais wa 2015

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda Na Salome Kitomary Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (Alat), imemkana Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, na kueleza kuwa hawahusiki kwa namna yoyote katika mbio zake za urais au kupewa fedha kwa ajili ya kuzigawa kwa Halmashauri Mkuu ya Taifa ya (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) pamoja na wanachama wa Chama hicho. Katibu Mkuu wa Alat, Habraham Shamumoyo, alisema hayo jana  ijini Dar es Salaam jana, katika mkutano na waandishi wa habari kuhusiana na habari ...

 

11 years ago

Habarileo

ALAT kuunga mkono mgombea Urais anayejali ugatuaji

MWENYEKITI wa Jumuiya ya Tawala za Mikoa Tanzania (ALAT), Dk Didas Masaburi amesema kuwa jumuiya hiyo itamuunga mkono Rais ambaye atahakikisha anagatua madaraka kwenda ngazi za chini pamoja na kusimamia sheria zake.

 

11 years ago

Mwananchi

Makundi ya Urais yaivuruga CCM

 Makundi ya Urais wa 2015 yanaendelea kuivuruga CCM baada ya Mwenyekiti wa chama hicho Mkoa wa Singida, Mgana Msindai kuibuka na kusema atamburuta mahakamani Mwenyekiti mwenzake wa Mkoa wa Geita, Joseph Kasheku ‘Msukuma’ asipomwomba radhi kwa kumchafua kwa kumwita mpuuzi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Makundi ya urais yamtisha Sitta

USHINDI wa Samuel Sitta kuwa Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, umeanza kuwatia hofu wabaya wake kisiasa ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na sasa ameundiwa zengwe la kumchafua. Tanzania...

 

11 years ago

Tanzania Daima

UKAWA: Makundi ya urais yamtesa JK

UMOJA wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), unaoundwa na vyama vya CHADEMA, CUF na NCCR-Mageuzi, umesema kuwa Rais Jakaya Kikwete anayumbisha nchi katika mchakato unaoendelea wa kuandikwa kwa katiba mpya kutokana...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kificho asisimua makundi ya urais CCM

MZAHA wa Mwenyekiti wa muda wa Bunge Maalumu la Katiba, Pandu Ameir Kificho, kwa wajumbe wa Bunge hilo kuhusu kuwepo kikao cha makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wanaotajwa kuutaka...

 

10 years ago

Raia Mwema

Makundi matatu ya wagombea urais CCM

KAMA ilivyokuwa katika makala zangu kadhaa zilizopita, wiki hii ninaendelea na mjadala kuhusu Uch

Evarist Chahali

 

11 years ago

Mwananchi

CCM kuyagwaya au kuyavaa makundi yake ya urais?

>Nini hatima ya Chama Cha Mapinduzi wakati huu tunapoelekea kwenye Uchaguzi Mkuu wa 2015? Swali hili ndilo linalotawala vichwani mwa watu wengi – wafuasi wa CCM, viongozi wake na hata wapinzani wa chama hicho.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani