Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MALALAMIKO: Wafugaji Wakenya wavamia Rombo

>Wafugaji wa jamii ya Kimasai kutoka Kenya, wamevamia makazi ya wakulima wilayani hapa na kuingiza mifugo yao kwenye mashamba hali inayosababisha uharibifu wa mazao.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Majaji waendesha mahakama ya wazi kusikiliza na kupokea malalamiko ya wakulima walionyang’anywa Ardhi,Wafugaji na Migogoro ya wakulima na wafugaji

IMG_0113   Jaji Mh. Richard Mziray akitoa hukumu katika Mahakama ya wazi  katika Kesi zote Mbili ya Kiteto na Kilosa ,ambapo katika Kesi ya Wilaya ya Kiteto alitoa Maamuzi kwamba kulikuwa na umuhimu wa utekelezeji wa Amri ya Mahakama na kuheshimu Amri za Mahakama kuwa Mahakama ilisha tamka kuwa ile ni Hifadhi hivyo inatakiwa kulindwa na kuheshimiwa na ameongeza kuwa kama kungekuwa na kuzingatiwa kwa Sera za Ardhi basi kusingekuwa na Migogoro yote hiyo ametolea mfano pia maeneo ambayo yanatakiwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wafugaji wavamia Pori la Akiba la Selous

MOROGORO ni miongoni mwa mikoa iliyogubikwa na migogoro ya wakulima na wafugaji. Hali hiyo imesababisha mapigano ya mara kwa mara huku baadhi yao wakibaki na ulemavu na wengine kupoteza maisha....

 

10 years ago

Michuzi

WAFUGAJI WAVAMIA ENEO LA MWEKEZAJI ,WACHOMA NYUMBA ,MAGARI


Mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Siha ,Rashid Kitambulilo akimuongoza mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Leonidas Gama wakati akitembelea eneo la mwekezaji la Tanganyika Film and Safari ambako wafugaji jamii ya Masai wanadaiwa kufanya uharibifu mkubwa.

Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Leonidas Gama pamoja na kamati ya ulinzi na usalama wakitizama uharibifu  uliofanywa na wafugaji jamii ya Masai.Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Leonidas Gama akitizama moja ya gari lililochomwa moto na watu wanaodaiwa...

 

10 years ago

Daily News

Rombo on right course to formalise 'bodaboda'


Rombo on right course to formalise 'bodaboda'
Daily News
ROMBO District has embarked on a move to formalise operations of 'bodaboda' as well as safeguarding their health. Rombo District Commissioner (DC), Mr Lembris Kipuyo, said here recently that his office has dished out 1.5m/- so that all legally ...

 

10 years ago

TheCitizen

Rombo MP wants apology over ‘imported sex’

>The Rombo MP yesterday asked the government to apologise over remarks he alleged to have been made by the District Commissioner of that area over excessive drinking of people in that community.

 

10 years ago

Mwananchi

Pombe yaathiri uchumi Rombo

Wakati serikali imefunga viwanda 21 vya pombe kutokana na kutokidhi viwango, imebainika kuwa unywaji wa kilevi umesababisha uchumi wilayani Rombo kushuka.

 

10 years ago

Daily News

Rombo land dispute heats up


Rombo land dispute heats up
Daily News
SPEAKER of the National Assembly Anne Makinda has tasked the Ministry of Land, Housing and Human Settlements Development to find a solution to a brewing land row in Rombo District and present a report in the House before the end of the ongoing ...

 

10 years ago

Mwananchi

Ya Rombo na yatufumbue macho sote

Wenye kufuatilia taarifa za habari mbalimbali naamini wamesikia habari za wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro katika nchi yetu hii ya Tanzania. Tumepata taarifa ya kwamba huko unywaji wa pombe haramu ya gongo umekithiri na kwamba tayari idadi kubwa ya watu haswa wanaume wameathirika.

 

10 years ago

Mwananchi

Harusi yaacha gumzo Rombo

Maharusi wilayani hapa wameacha gumzo baada ya kukodi helikopta kutoka Kenya kunogesha harusi yao na kuruka angani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani