Malaria: vifo vyapungua kwa 50%
Jitihada za kupambana na malaria zimefanikiwa kupunguza idadi ya vifo vitokanavyo na ugonjwa huo kwa kiasi cha asilimia hamsini.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo07 Jun
Vifo vya watoto sasa vyapungua kwa 7.2%
WIZARA ya Afya imesema akinamama wengi wamehamasika na kujifungua katika hospitali za Serikali na kufanikiwa kupunguza vifo vya watoto kwa asilimia 7.2.
9 years ago
StarTV04 Dec
Vifo kwa wajawazito, watoto vyapungua Kigoma
Kasi ya vifo vinavyotokana na uzazi kwa wajawazito na watoto vimepungua mkoani Kigoma kutokana na kuanzishwa na kutekelezwa kwa mpango mkakati wa huduma ya upasuaji katika vituo vya afya vijijini.
Mpango huo umewezesha wanawake wengi wajawazitio kuondokana na adha ya kusafirishwa umbali mrefu kufuata huduma hiyo pindi inapohitajika katika hospatali za wilaya ama mkoa.
Kwa mujibu wa taarifa za Afya mkoani Kigoma, wanawake 62 walipoteza maisha mwaka 2014 kutokana na matatizo ya uzazi na...
10 years ago
Habarileo15 Aug
Vifo vya uzazi Mbinga vyapungua
SERIKALI wilayani Mbinga imepunguza vifo vya wajawazito kutoka 79 kati ya 100,000 mwaka 2010 hadi kufikia idadi ya vifo 65 mwaka 2013, ikiwa ni mkakati wake wa kupunguza vifo hivyo vinavyotokana na uzazi.
5 years ago
MichuziVIFO VYA BARABARANI VYAPUNGUA TANGA
Takwimu hizo zimetokewa na Mkuu wa kikosi cha usalama barabara mkoa wa Tanga Solomon Mwangamilo wakati wa uzinduzi wa mradi wa usalama barabara kwa shule za msingi na sekondari Jijini Tanga.
Alisema kuwa ukaguzi wa Mara kwamara ya vyombo vya moto pamoja na elimu ya usalama barabara ndio imeweza kusaidia kupunguza ajali...
11 years ago
Mwananchi11 Jul
Kinga dhidi ya malaria hupunguza vifo kwa wajawazito
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-t4-_lTIAdBU/XlPc0xQASyI/AAAAAAALfHQ/Y8SnoR-tCgE7W2yiNMftXk5250ycVExVwCLcBGAsYHQ/s72-c/1957d4df-5889-4637-af7a-f06ce6af5d15.jpg)
VIFO VYA WAJAWAZITO KIPINDI CHA KUJIFUNGUA VYAPUNGUA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA TEMEKE
![](https://1.bp.blogspot.com/-t4-_lTIAdBU/XlPc0xQASyI/AAAAAAALfHQ/Y8SnoR-tCgE7W2yiNMftXk5250ycVExVwCLcBGAsYHQ/s640/1957d4df-5889-4637-af7a-f06ce6af5d15.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/4d33d7b4-f238-47c6-9594-ee54581f5a66.jpg)
9 years ago
MichuziAJALI NA VIFO VITOKANAVYO NA AJALI MKOA WA DAR ES SALAAM VYAPUNGUA
10 years ago
BBCSwahili09 Dec
Vifo kutokana na Malaria vimepungua
10 years ago
Dewji Blog13 Nov
Novartis and Malaria No More help fulfill malaria treatment goal in Zambia by raising funds for three million treatments through Power of One
-Power of One campaign, supported by exclusive treatment sponsor Novartis, raises funds for three million treatments for children with malaria
-Novartis associates rallied behind Power of One to fund close to 500,000 antimalarial treatments for Zambia
-Company reaches delivery landmark with 700 million antimalarial treatments supplied without profit in 60 malaria-endemic countries since 2001
Novartis (http://www.novartis.com) announced today that, through Power of One, enough funds have...