Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MALAYSIA: JESHI LAINGIZWA MITAANI KUIMARISHA MARUFUKU YA WIKI MBILI YA WATU KUTOSAFIRI

  Nchini Malaysia leo hii serikali imetawanya jeshi mitaani kuimarisha marufuku ya wiki mbili ya watu kutosafiri katika taifa hilo ambalo lina idadi kubwa ya maambukizi ya virusi katika eneo la Kusini-mashariki mwa Asia.

Mengi mwa maambukizi hayo yanaunganishwa na mikusanyiko ya ibada za kidini. Hadi sasa nchini humo kumeripotiwa vifo tisa na maambukizi 1,183.

Kwa ujumla, eneo la Asia ya Kusini-mashariki limerekodi maambukizi 3,200, ambapo maeneo mengine ni Thailand, Indonesia, Singapore na...

CCM Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Dar yapiga marufuku vyakula mitaani kudhibiti kipindupindu

SaidiMeckSadickNa Waandishi wetu, Dar es Salaam

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadiki, amepiga marufuku uuzwaji wa vyakula na matunda katika maeneo yasiyorasmi.

Agizo hilo limelenga kukabiliana na ugonjwa wa kipindupindu unaoendelea kusambaa katika jiji la Dar es Salaam, ambapo hadi sasa watu watatu wameripotiwa kupoteza maisha.

Sadick alitoa amri hiyo jijini Dar es Salaam jana wakati alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari na kusema wagonjwa wa kipindupindu wamefikia 56.

“Wagonjwa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Malaysia:Msako waingia wiki ya 3

Msako wa ndege ya Malaysia iliyopotea umeingia wiki yake ya tatu bila mafanikio ya kupata kilichosemekana kuwa mabaki ya ndege hiyo

 

5 years ago

Habarileo

Kamati za uvuvi zapewa wiki kuimarisha usafi

IDARA ya Maendeleo ya Uvuvi imetoa muda wa wiki kwa kamati za uvuvi za shehia kuimarisha mazingira ya usafi katika masoko yanayotumika kwa ajili ya kutoa huduma za kunadi samaki.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Jinsi ya kuimarisha afya yako ya akili wakati wa marufuku ya kutotoka nje

Taarifa za mara kwa mara kuhusu janga la coronavirus linavyowaathiri ulimwengu zimesababisha baadhi ya watu kuwa na hofu

 

9 years ago

Michuzi

JESHI LA POLISI KUIMARISHA ULINZI SIKU YA KUPIGA KURA

  Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Ernest Mangu akionyesha waandishi wa habari leo (hawapo pichani) kitabu cha maadili ya uchaguzi kilichosainiwa na viongozi wa vyama vya siasa waliosimamisha wagombea katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 25.

 Akizungumza na waandishi wa habari Makao Makuu ya Jeshi la Polisi leo Mkuu wa Jeshi hilo IGP Ernest Mangu amesema kuwa ulinzi utaimarishwa maeneo yote kwa kushirikiana na vyombo vingine vya ulinzi na usalama ili kuhakikisha kuwa taifa linapita...

 

10 years ago

GPL

LUCY KOMBA: NIMEISHI NA MR. WIKI MBILI TU!

NaGladness Mallya
MSANII mkongwe katika gemu la filamu Bongo, Lucy Komba amefunguka kwamba baada ya kufunga ndoa  hivi karibuni ameishi na mumewe Janus kwa wiki mbili tu. Msanii mkongwe katika gemu la filamu Bongo, Lucy Komba akiwa na mume wake mumewe Janus. Akizungumza na paparazi wetu, Lucy alisema kwa sasa amebaki Bongo peke yake ikiwa ni baada ya mumewe kwenda kwao Denmark ambapo alitakiwa kurudi kazini lakini bado...

 

10 years ago

BBCSwahili

IGAD yaipa S-Sudan wiki mbili.

Jumuia ya Pembe ya Afrika yataka vita vimalizwe Sudan Kusini katika siku 15 zijazo la sivyo nchi itawekewa vikwazo

 

10 years ago

GPL

MKUDE ATENGEWA WIKI MBILI SAUZ

Na Hans Mloli Dar es Salaam Kiungo mkabaji wa Simba SC, Jonas Mkude. HATIMAYE sasa yametimia na rasmi kiungo mkabaji wa Simba SC, Jonas Mkude, anatarajia kuondoka nchini Alhamisi ya wiki hii kwa ajili ya kwenda kufanya majaribio ya wikimbili kwenye kikosi cha Bidvest Wits ya Afrika Kusini ‘Sauz’. Mipango hiyo ya mchezaji huyo ilianza kuiva tangu akiwa kambini nchini Ethiopia na kikosi cha timu ya taifa, Taifa Stars...

 

9 years ago

Mtanzania

Leicester City kumkosa Vardy wiki mbili

VardyLONDON, ENGLAND

MSHAMBULIAJI nyota wa klabu ya Leicester City, Jamie Vardy, atakuwa nje ya uwanja kwa wiki mbili kutokana na kufanyiwa upasuaji.

Mchezaji huyo wa nchini England, amefanyiwa upasuaji mdogo wa mtoki, hivyo utamfanya apumzike kwa wiki mbili.

Vardy amekuwa na makali msimu huu kutokana na kuongoza katika upachikaji mabao ambapo hadi sasa ana mabao 15 aliyoyafunga kwenye michuano ya Ligi Kuu na kuifanya klabu hiyo kushika nafasi ya pili katika msimamo wa ligi.

Kocha wa timu ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani