MALAYSIA: JESHI LAINGIZWA MITAANI KUIMARISHA MARUFUKU YA WIKI MBILI YA WATU KUTOSAFIRI
![](https://1.bp.blogspot.com/-fogH9ZYCGd0/XndeHlNENaI/AAAAAAAA-eY/1bd614LQI3IIRbOdUlVCbTuXv01wE3ttgCNcBGAsYHQ/s72-c/corona-virus-696x464.jpg)
Nchini Malaysia leo hii serikali imetawanya jeshi mitaani kuimarisha marufuku ya wiki mbili ya watu kutosafiri katika taifa hilo ambalo lina idadi kubwa ya maambukizi ya virusi katika eneo la Kusini-mashariki mwa Asia.
Mengi mwa maambukizi hayo yanaunganishwa na mikusanyiko ya ibada za kidini. Hadi sasa nchini humo kumeripotiwa vifo tisa na maambukizi 1,183.
Kwa ujumla, eneo la Asia ya Kusini-mashariki limerekodi maambukizi 3,200, ambapo maeneo mengine ni Thailand, Indonesia, Singapore na...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania21 Aug
Dar yapiga marufuku vyakula mitaani kudhibiti kipindupindu
Na Waandishi wetu, Dar es Salaam
MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadiki, amepiga marufuku uuzwaji wa vyakula na matunda katika maeneo yasiyorasmi.
Agizo hilo limelenga kukabiliana na ugonjwa wa kipindupindu unaoendelea kusambaa katika jiji la Dar es Salaam, ambapo hadi sasa watu watatu wameripotiwa kupoteza maisha.
Sadick alitoa amri hiyo jijini Dar es Salaam jana wakati alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari na kusema wagonjwa wa kipindupindu wamefikia 56.
“Wagonjwa...
11 years ago
BBCSwahili22 Mar
Malaysia:Msako waingia wiki ya 3
5 years ago
Habarileo16 Feb
Kamati za uvuvi zapewa wiki kuimarisha usafi
IDARA ya Maendeleo ya Uvuvi imetoa muda wa wiki kwa kamati za uvuvi za shehia kuimarisha mazingira ya usafi katika masoko yanayotumika kwa ajili ya kutoa huduma za kunadi samaki.
5 years ago
BBCSwahili04 May
Virusi vya corona: Jinsi ya kuimarisha afya yako ya akili wakati wa marufuku ya kutotoka nje
9 years ago
MichuziJESHI LA POLISI KUIMARISHA ULINZI SIKU YA KUPIGA KURA
Akizungumza na waandishi wa habari Makao Makuu ya Jeshi la Polisi leo Mkuu wa Jeshi hilo IGP Ernest Mangu amesema kuwa ulinzi utaimarishwa maeneo yote kwa kushirikiana na vyombo vingine vya ulinzi na usalama ili kuhakikisha kuwa taifa linapita...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NRpz*rV1U-ux0uZwioODkLn-kdBWSLy6izUPtRbVr5NetkXv0sCQQCTG7SK6iFuVuR9WEJbIwVEa7OyFftVMZVUEzbPOLXKE/lucy.jpg)
LUCY KOMBA: NIMEISHI NA MR. WIKI MBILI TU!
10 years ago
BBCSwahili08 Nov
IGAD yaipa S-Sudan wiki mbili.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SWXdzvDqQaJIsgaKtfGFt1K6kFSbItCwhrISwZWH*Q4UeXuPlSVuFGYPycPkFJjQrnMy5yc5jR96MiXvYgp*fEsGSltPz8oi/Mkude2.jpg?width=650)
MKUDE ATENGEWA WIKI MBILI SAUZ
9 years ago
Mtanzania05 Jan
Leicester City kumkosa Vardy wiki mbili
LONDON, ENGLAND
MSHAMBULIAJI nyota wa klabu ya Leicester City, Jamie Vardy, atakuwa nje ya uwanja kwa wiki mbili kutokana na kufanyiwa upasuaji.
Mchezaji huyo wa nchini England, amefanyiwa upasuaji mdogo wa mtoki, hivyo utamfanya apumzike kwa wiki mbili.
Vardy amekuwa na makali msimu huu kutokana na kuongoza katika upachikaji mabao ambapo hadi sasa ana mabao 15 aliyoyafunga kwenye michuano ya Ligi Kuu na kuifanya klabu hiyo kushika nafasi ya pili katika msimamo wa ligi.
Kocha wa timu ya...