Mali za Zitto hadharani
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
UKWASI wa Kiongozi Mkuu wa Chama Cha Alliance for Change and Transparency(ACT Wazalendo), Zitto Kabwe umeongezeka kutoka umiliki wa shamba moja na Sh milioni 30 alizokuwa amezihifadhi katika akaunti za benki mbili tofauti hapa nchini, na sasa anamiliki mali na fedha zinazofikia Sh milioni 690, MTANZANIA Jumamosi linaripoti.
Kwa mujibu wa taarifa hizo mpya alizoziweka hadharani wiki hii katika fomu maalum ya kuonyesha mali zinazomilikiwa na viongozi wa chama...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cZ399qCqOaEPLC9urPPVblqod4uIVVDTfsReP7k9DmhWzInPcnDNaLwr4OTwX3ZhLnj7D*h0VKuy1QpVlr1siZEW-FGcSVVA/mandela.jpg?width=650)
MALI ZA NELSON MANDELA HADHARANI
11 years ago
Tanzania Daima02 Jul
Zitto: Fedha za Escrow ni mali ya umma
MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (CHADEMA), amesema kuwa dola za Marekani milioni 250 zilizopaswa kuendelea kuwapo katika akaunti ya ‘Tegeta Escrow’ ni mali ya serikali na hivyo ni mali...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-kDCHfRO1NbY/VR5nLPmMSHI/AAAAAAAAdeg/34NBmlnVWxo/s72-c/1-94df6d17ab.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dM6a4AYRwJOu26l9X6TYGFawZr7IkIYk9PC1pWRkE*qV3p45qlPrSg6mLEkSaLgadOsgi-eAh03A*y4HfL6jSE1jl6A3xVnI/FRONTJUMAMOSI.jpg)
MAMBO HADHARANI
11 years ago
Mwananchi19 Dec
Wabunge waumbuana hadharani
10 years ago
Habarileo28 Apr
Ajira za walimu hadharani
SERIKALI imetenga Sh bilioni tisa kwa ajili ya posho ya kujikimu na nauli kwa ajili ya walimu 31,056 na mafundi sanifu maabara 10,625, ambao ajira zao zimetangazwa jana huku wakitakiwa kuanza kazi Mei Mosi mwaka huu.
11 years ago
Habarileo15 Apr
Hati ya Muungano hadharani
HATIMAYE baada ya upotoshwaji mkubwa wa baadhi ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, hasa waliojiundia kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kuwa Hati ya Muungano haipo, sasa Serikali imeweka hati hiyo hadharani. Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue alisema kuwa Rais Jakaya Kikwete ameridhia hati hiyo ioneshwe na waandishi wa habari walikuwa wa kwanza kuiona hati halisi jana.