MAMA TUNU PINDA ATOA WITO KWA WAKULIMA KUTUMIA WATALAMU WA KILIMO
.jpg)
Mke wa Waziri Mkuu,Mama Tunu Pinda akiwaonyesha baadhi ya wake wa viongozi zabibu zilizolimwa kwa kufuata ushauri wa watalamu wa kilimo,zilizolimwa shambani kwa Waziri Mkuu Zuzu nje kidogo ya Dodoma mjini,wakati walipotembelea ili kupata utalaamu wa kulima kilimo cha Zabibu unavyo fanywa.kutoka kushoto ni Mama Malima,Mama Mashiba na Mama Lukuvi.
Mke wa Naibu Waziri wa Fedha,Mama Naima Malima akionyesha utaalamu wake wa kutumia kamera,wakati alipokuwa akimpiga picha Mke wa Waziri Mkuu,Mama...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi
MTAJI WA VICOBA NCHINI UNAKUA KWA KASI SANA - MAMA TUNU PINDA

Alisema hayo alipokuwa akizindua rasmi muungano wa VICOBA wenye vikundi 46 na vikundi 25 vyenye jumla ya wanachama 600 ambao ndio waliopo katika mchakato wa muungano huo, Jana Mchana Jumamosi, Februari 15, 2014 katika Kata ya Kimanga Jijini Dar es Salaam.
Mfumo wa VICOBA umeendelea kushamiri na kuenea katika maeneno mbalimbali nchini ambapo wananchi wengi hasa...
11 years ago
MichuziMama Tunu Pinda awasili jijini Mwanza tayari kwa ufunguzi wa Tamashsa la Wanawake
11 years ago
Michuzi
Mama Tunu Pinda Mgeni rasmi katika Mkutano wa akina mama wa Kitanzania waishio Uingereza
Mama Tunu Pinda alihudhuria Mkutano huo kwa mualiko wa mwenyeji wake Mrs Joyce Kallaghe Mke wa Balozi wa Tanzania Uk, Peter Kallaghe.
Mtoa mada aliyeongozana na Mama Tunu , alikuwa ni Mama Anna Matinde , mwanamke Mjasiriamali mahiri na aliyebobea ambaye ana kofia mbalimbali za Uwakilishi wa...
9 years ago
Michuzi
WAZIRI WA KILIMO ATOA SAA 48 KWA KAMPUNI YA SPARKWAY LTD KULIPA BILLION 3.4 KWA WAKULIMA WA KOROSHO


10 years ago
Dewji Blog18 Sep
Mama wa Mama Tunu Pinda azikwa Dar
Makamu wa Rais,Dkt. Mohamed Bilal akimfariji mke wa Waziri Mkuu,Mama Tunu Pinda wakati alipokwenda Tabata magengeni jijini Dar es salaam, nyumbani kwa marehemu, Hajjat Pili Mlolwa Rehani ambaye ni mama wa Mama Tunu, aliyefariki Septemba 17, 2015. Kulia ni Mama Hasina Kawawa,watatu kulia ni Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Sophia Simba na wanne kulia ni Naibu Waziri wake Pindi Chana. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi akimfariji mke wa Waziri...
11 years ago
Michuzi.jpg)
MAMA TUNU PINDA AMEZINDUA MFUKO WA ELIMU
.jpg)
11 years ago
Michuzi.jpg)
MAMA TUNU PINDA AOMBA WATU NA MASHIRIKA MBALIMBALI KUSAIDIA KUCHANGIA KATIKA KUENDELEZA ELIMU KWA WATOTO NA VIJANA WENYE ULEMAVU WA NGOZI (ALIBINO)
.jpg)
10 years ago
Dewji Blog02 Jun
Mama Tunu Pinda azindua Taasisi ya Manjano Foundation

Mgeni Rasmi kwenye halfa ua Uzinduzi wa Taasisi ya Manjano Foundation Pamoja na Vipodozi Pendwa Vijulikanavyo kama Luv Touch Manjano Mke wa Waziri Mkuu Mh Tunu Pinda akitoa Hotuba yake katika Uzinduzi huo .
Katika Hotuba yake Mh Mama Pinda Alisema amefurahishwa sana Kwa Mwanamke wa Kitanzania Kuanzisha Bidhaa amabyo imeweza kushindana na Bidhaa kama hizo kutoka mataifa Mengine.Halfa hiyo iliyofanyika kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee.
Hafla hiyo ya uzinduzi ilifunguliwa na mke wa Waziri...
10 years ago
Vijimambo18 May
HITIMA YA BABA MZAZI WA MAMA TUNU PINDA YAFANYIKA

