Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAMA ZITTO; MATESO MIEZI TISA, KIFO

Stori: Waandishi wetu
Mwenyekiti  wa Taifa wa Chama cha Walemavu Tanzania (Chawata), Shida Salum Mohamed, aliyefariki dunia juzi (Jumapili) wakati akiendelea kupatiwa matibabu kwenye Hospitali ya Ami, Masaki, Dar es Salaam, aliteseka kwa miezi tisa kabla ya kifo chake. Rais Kikwete alipokwenda kumjulia hali mama mzazi wa Zitto Kabwe, Bi. Shida Salum Mohamed alipokuwa ICU kwenye Hospitali ya Ami, Masaki, Dar es Salaam.
...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

KIFO CHA MWALIMU BAADA YA MATESO-4

Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Naendelea kukuletea mambo yaliyojiri wakati Mwalimu Nyerere alipokuwa akiugua nchini Uingereza hadi alifariki dunia. Awali, madaktari walitaka kibali cha familia ili mashine hizo zizimwe au ziachwe.
“Madaktari walitupatia muda wa kuamua kuhusu nini kifanyike. Ulikuwa uamuzi mgumu sana kwa familia. Hapakuwapo na mgawanyiko isipokuwa ulikuwapo mjadala ambalo ni jambo la kawaida katika...

 

10 years ago

GPL

KIFO CHA MWALIMU BAADA YA MATESO- 2

Naendelea kuwaletea mambo yaliyojiri wakati Mwalimu Nyerere alipotoka kijijini kwake Mwitongo, Butiama kwenda kutibiwa nchini Uingereza hadi kifo chake. Agosti 26 na 27, 1999, vyombo vya habari Tanzania, kwa mara ya kwanza viliripoti wazi kwa umma kuwa hali ya Mwalimu Nyerere haikuwa nzuri, lakini wasaidizi wake walipata kigugumizi kusema ukweli, kwa kusingizia kuwa wao hawakuwa madaktari. MWANZO HADI MWISHO
Septemba, Mosi...

 

10 years ago

GPL

BANZA SIKU167 ZA MATESO HADI KIFO!

Gladness Mallya
Duniani sisi sote ni wasafiri! Ndiyo msemo ninaoweza kuanza nao katika makala haya maalum kwa aliyekuwa mwanamuziki wa Dansi Bongo, Ramadhan Masanja ‘Banza Stone’ aliyefariki dunia Ijumaa iliyopita baada ya kuugua kwa muda mrefu. Mwanamuziki wa Dansi Bongo, Ramadhan Masanja ‘Banza Stone’ enzi za uhai wake. TUJIKUMBUSHE
Banza alizaliwa Oktoba 20, 1972 katika Hospitali ya Ocean Road...

 

10 years ago

GPL

KIFO CHA MWALIMU BAADA YA MATESO-5

Naendelea kuwaletea mfululizo wa matukio ya kuumwa kwa Mwalimu Nyerere hadi kifo chake.
Mwalimu alikuwa na desturi ya kufanya mazoezi na alikuwa mtu aliyefuata masharti na ushauri aliokuwa akipewa na madaktari. Daktari wa kwanza aliyekuwa anamhudumia Mwalimu baada ya Uhuru alikuwa ni Profesa Mhonoli. Kuanzia mwaka 1979 alihudumiwa na Profesa Makene akisaidiwa na Profesa Mtulia na Profesa Mwakyusa. Mwalimu alipostaafu mwaka 1985...

 

9 years ago

GPL

MIAKA 10 YA MATESO KITANDANI, KIJANA ASEMA: NAKIONA KIFO HIVIHIVI

Mustapha Haruna akiwa amevimba tumbo na kulazwa hospitali ya rufaa Bugando, Mwanza. Gabriel Ng’osha na Haruni Sanchawa Eeh! Mungu tenda miujiza! Ni maneno ambayo unaweza kuyasema ukimuona Mustapha Haruna (32), mkazi wa Ndala mkoani Shinyanga anayesumbuliwa na tumbo kujaa maji baada ya moyo wake kupanuka. CHANZO CHA UGONJWA Akizungumza na Uwazi, kwa njia ya simu kutoka mkoani Shinyanga mama mzazi wa Mustapha,  Hidaya Mrisho...

 

10 years ago

Mwananchi

Kutonyonyesha mtoto maziwa ya mama miezi 6 ni kumkatili

Agosti mosi hadi saba kila mwaka, Tanzania inaungana na nchi nyingine ulimwenguni kuadhimisha wiki ya unyonyeshaji maziwa ya mama. Ni wiki iliyoanza kuadhimishwa tangu 1992.

 

10 years ago

GPL

IDD AZZAN, MAMA TUNU PINDA KUSHUHUDIA UZINDUZI WA ‘MATESO YANGU UGHAIBUNI’

Mbunge wa Jimbo la Kinondoni, Mheshimiwa Idd Azzan. Mke wa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Mizengo Pinda, Mama Tunu Pinda. MBUNGE wa Jimbo la Kinondoni, Mheshimiwa Idd Azzan,  na mke wa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Mizengo Pinda, Mama Tunu Pinda, ni miongoni mwa wageni…

 

10 years ago

CloudsFM

Baada ya kuugua kwa miezi kadhaa,mama yake Diamond aendelea vizuri

Mama mzazi wa Supastaa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz', Sanura Kassim 'Sandra', amerejeshwa Bongo kutoka India ambapo afya yake imetengemaa. Habari kutoka chanzo cha kuaminika ndani ya familia ya jamaa huyo, kililieleza gazeti hili kwamba, tayari Sandra amesharejea katika hali yake ya kawaida na ndiyo maana akarudi Bongo baada ya kulazwa hospitalini nchini India kwa kusumbuliwa na ugonjwa wa kupooza.
Mwanafamilia huyo alisema kwamba, Diamond na mama yake walirejea nchini...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mama Zitto Kabwe afariki

BUNGE Maalum la Katiba limepata pigo baada ya kuondokewa na mjumbe wake, Shida Salum (64), ambaye ameugua kwa muda mrefu. Shida ambaye pia ni mama mzazi wa mbunge wa Kigoma...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani