MAMA ZITTO; MATESO MIEZI TISA, KIFO
![](http://api.ning.com:80/files/3QWN5yhdbacSIzOS2U7VVRxynZmziwuUEfR62**qXFMUu3YXV9GnVELhN25e7rePt0HBJIzz47EajdQYGYOzCOJFFXMaWH1C/MAMAZITTO.jpg?width=650)
Stori: Waandishi wetu Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha Walemavu Tanzania (Chawata), Shida Salum Mohamed, aliyefariki dunia juzi (Jumapili) wakati akiendelea kupatiwa matibabu kwenye Hospitali ya Ami, Masaki, Dar es Salaam, aliteseka kwa miezi tisa kabla ya kifo chake. Rais Kikwete alipokwenda kumjulia hali mama mzazi wa Zitto Kabwe, Bi. Shida Salum Mohamed alipokuwa ICU kwenye Hospitali ya Ami, Masaki, Dar es Salaam. ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/q*0FqWTixVIP19hT7jVJMM2eKu7yAL*O3HKcCf7-wbu4EEqLpWiFhH*HTl79TbiTgQWg3GftCP9ZoNOLM3NS4IGRKpy3C08I/nyerere.jpg?width=650)
KIFO CHA MWALIMU BAADA YA MATESO-4
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2Tkrz8bmcYh8yBenSJhi2NkvKA96NrRaRAmHLASsH*drGb6HkksJJca2yqoyKidV*JpZbgnZvOClkC89vaCzqjHF8ZvYISe-/president_julius_nyerere.jpg?width=650)
KIFO CHA MWALIMU BAADA YA MATESO- 2
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bt5BWlmh0GYGxPKcv9GJP1Fr7sxB0bC9NLD9-0X9HDfBZ2p7WFW2otSZ*Nd6GprSsb6zG-dVeKRsU2LIL7h2SaYSqpeh76yM/BANZA.gif?width=650)
BANZA SIKU167 ZA MATESO HADI KIFO!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/G*FQiZBcgZ3VeZsCJoz8c5oEiWiJrjTvnVTs95LtVuavFsyjh*-oL8rlSDny8PkcJDxPOt6d*fnpt7OCTttUqdlLw0T5p89l/president_julius_nyerere.jpg?width=650)
KIFO CHA MWALIMU BAADA YA MATESO-5
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/MGONJWA-SHY-3.jpg?width=650)
MIAKA 10 YA MATESO KITANDANI, KIJANA ASEMA: NAKIONA KIFO HIVIHIVI
10 years ago
Mwananchi31 Jul
Kutonyonyesha mtoto maziwa ya mama miezi 6 ni kumkatili
10 years ago
GPLIDD AZZAN, MAMA TUNU PINDA KUSHUHUDIA UZINDUZI WA ‘MATESO YANGU UGHAIBUNI’
10 years ago
CloudsFM17 Feb
Baada ya kuugua kwa miezi kadhaa,mama yake Diamond aendelea vizuri
Mwanafamilia huyo alisema kwamba, Diamond na mama yake walirejea nchini...
11 years ago
Tanzania Daima02 Jun
Mama Zitto Kabwe afariki
BUNGE Maalum la Katiba limepata pigo baada ya kuondokewa na mjumbe wake, Shida Salum (64), ambaye ameugua kwa muda mrefu. Shida ambaye pia ni mama mzazi wa mbunge wa Kigoma...