Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mambo 10 yanayolazimisha mtu awe na kitambi

Miongoni mwa maswali ya wasomaji wetu ni juu ya watu ambao wametumia njia mbalimbali ili kuondoa uzito au unene kupita kiasi bila mafanikio. Leo daktari wetu atajadili hilo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MAMBO 6 YANAYOMFANYA MTU AWE KIONGOZI BORA NA SIO BORA KIONGOZI‏

Tukiacha mbali picha ambayo mara nyingi au kwa miaka mingi imekuwa ikijengwa  vichwani mwa wengi wanapoona na kudhani kwamba fulani ni kiongozi bora [pengine kwa muonekano tu], au kwa sababu anashuka kutoka kwenye gari kwa mbwembwe, tabasamu baada ya kufunguliwa mlango na mkanda na kisha kupokelewa briefcase yake, yapo mambo kadhaa ambayo yanamfanya mtu awe kiongozi bora na sio bora kiongozi. Na kadri siku zinavyokwenda,...

 

11 years ago

Michuzi

MAMBO 6 YANAYOMFANYA MTU AWE KIONGOZI BORA NA SIO BORA KIONGOZI

Tukiacha mbali picha ambayo mara nyingi au kwa miaka mingi imekuwa ikijengwa  vichwani mwa wengi wanapoona na kudhani kwamba fulani ni kiongozi bora [pengine kwa muonekano tu], au kwa sababu anashuka kutoka kwenye gari kwa mbwembwe, tabasamu baada ya kufunguliwa mlango na mkanda na kisha kupokelewa briefcase yake, yapo mambo kadhaa ambayo yanamfanya mtu awe kiongozi bora na sio bora kiongozi. Na kadri siku zinavyokwenda, taswira ya kiongozi kwa muonekano tu inazidi kupotea....

 

10 years ago

Michuzi

FAHAMU JINSI KITAMBI KINAVYO PATIKANA NA JINSI DAWA ASILIA YA MKATAA KITAMBI INAVYO ONDOA KITAMBI

Kitambi  ni  ile  hali  ya  tumbo  kuwa kubwa  na  kuchomoza  kwa  mbele  na  wakati mwingine  kufikia  hatua  ya  kunin’ginia. JINSI  KITAMBI  KINAVYO  PATIKANAKwa  mujibu  wa  tafiti  mbalimbali  za  kitaalamu, mwili wa binadamu una seli kati  ya bilioni 50  hadi 200 za mafuta zilizogawanyika katika  sehemu  mbalimbali  za  mwili wa binadamu. Kwa wanawake  seli hizo  zipo sana katika maeneo ya matiti, kwenye  nyonga, kiunoni na kwenye makalio.
Kwa upande  wa  wanaume seli  hizo...

 

10 years ago

Mwananchi

UBONGO: Njia zinazohamasisha mtu awe na uwezo mkubwa kiakili

Yapo mambo ambayo ubongo wa binadamu unatakiwa kuyafanya kwa ufanisi ili mtu aonekane kuwa ana akili.

 

9 years ago

GPL

MUME WA MTU AFANYA MAMBO YA AIBU!

Richard Bukos Mwanaume mmoja ambaye jina lake halikuweza kupatikana mara moja aliyedaiwa kuwa ni mume wa mtu, hivi karibuni alifanya mambo ya aibu ikiwemo kuvua nguo na kukata mauno mbele za wasichana. Baba huyo akisakata rumba. Tukio hilo lilijiri ndani ya Ukumbi wa Highway Night Park uliopo Ukonga jijini Dar wakati Bendi ya Mashujaa Musica ilipokuwa ikiporomosha burudani.Awali, mwanaume huyo ambaye ilidaiwa siku nyingine...

 

10 years ago

Mwananchi

Mazoezi ya kuondoa kitambi

Kutokuwa na kitambi ndio ndoto ya watu wengi kwa sasa wanaojali afya zao. Kutokana na kufumka kwa maradhi mbalimbali baadhi ya watu wamekuwa wakihangaika kutafuta njia rahisi za kupunguza ama kuondoa vitambi hivyo na uzito uliopitiliza.

 

10 years ago

GPL

KITAMBI KINAVYOWEZA KUSABABISHA MAGONJWA -2

LEO tunaendelea kuelezea madhara ya kitambi na tutafafanua jinsi mafuta yanavyozidi mwilini na kuathiri ini pia tutaeleza tiba yake, endelea: Utambuzi wa steatosisi hufanywa wakati mafuta yaliyo kwenye ini yanazidi asilimia 5 hadi 10 kwa uzito.
Kuwa na mafuta kwenye ini ni tatizo au linaweza kuchukuliwa kama ugonjwa mmoja ambao hutokea kwa wale hasa wanaokunywa pombe kupita kiasi. Tatizo hili licha ya kusababisha unene pia...

 

10 years ago

GPL

KITAMBI KINAVYOWEZA KUSABABISHA MAGONJWA

Kitambi ni hali ya mtu kuwa mnene na tumbo kuchomoza ambapo mafuta ya ziada mwilini huongezeka eneo hilo kwa kiasi kikubwa. Mtu akiwa na kitambi anapata athari kubwa kama tutakavyoona.Hata hivyo, tatizo la kitambi kiafya linarekebishika. Zamani hata sasa baadhi ya watu wanaamini kuwa mtu akiwa na kitambi basi hali yake kiuchumi ni nzuri au ni tajiri.
Watu wengi, wamekuzwa kwa kula chipsi-mayai, mikate na vyakula vya sukari na...

 

9 years ago

GPL

MREMBO AMTIBU AUNT KITAMBI

Imelda mtema MREMBO aliyejulikana kwa jina la Fatina Deus, ‘Fettylicious’ amesema amempa bure tiba ya kitambi staa wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel ili kumuondolea kero aliyokuwa akiipata. Akipiga stori na gazeti hili, Fettylicious alisema miongoni mwa watu waliokuwa wakisumbuka na tatizo la kuwa na kitambi ni Aunt lakini kwa kuwa yeye lengo lake ni kuwasaidia mastaa wengi, amempa Aunt bure dawa hiyo ili wengine wamtafute....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani