Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


mambo ya gado


Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

11 years ago

Michuzi

10 years ago

GPL

KOMBE LA SHIRIKISHO: YANGA KAMILI GADO

Na Louis Ngwako, Gaborone
YANGA iko tayari kwa lolote! Kama haukubali, subiri leo saa 2:30 usiku uone wakiwa kazini dhidi ya BDF XI.
Yanga inahitaji sare ya aina yoyote ili kusonga mbele, au ikiwezekana ushindi, pia poa tu!
Kikosi kizima cha Yanga kimemaliza mandalizi yake kwa ajili ya mechi ya marudiano ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya timu hiyo ya Jeshi la Ulinzi Botswana, mechi itakayopigwa kwenye Uwanja wa...

 

11 years ago

Michuzi

DMV na New York watambiana kuwa kila timu wako gado

Timu kabambe ya DMV
Mazoezi yanaendelea kesho Alhamisi  May 15, 2014 kwa maandalizi ya mechi na New York itakayofanyika Jumamosi May 24, 2014 kwenye Memorial Weekend ukipata taarifa hii mtaarifu na mwenzio.
Kikosi cha kwanza  cha  New York Team
Hiki ndicho kikosi  kitakachoanza tarehe 24 jumamosi Memorial weekend.  DC hawachomoki siku hiyo team itaingia DC mapema na kuwa mafichoni hili kupata fursa ya kupata massage maalum kwa kutumia mafuta ya karafuu mambo ya nakish nakish za kipwani...

 

10 years ago

Bongo Movies

Picha: Sio Mdomo tu Hata Mkono Nipo Gado- Wastara

Staa wa Bongo Movies Wastara Juma ame-share nasi picha hizi akiwa gym anafanya mazoezi huku akiandika maneno kuelezea kuwa yupo kwenye maandalizi ya filamu mpya inayofanyika chini ya kampuni  ya  WAJEY Film Company ambapo atakuja kivingine.

Hii ni mistari aliyondika kwenye picha hizo;

WAJEY Film Company Back Soon, New Project New Style

WAJEY, sio mdomo tu hta mkono upo gado

WAJEY....ila ninawashwa kumchapa mtu kichapo cha mbwa mwizi

Mdau, unautabiri vipi ujio huu wa Wastara kwenye...

 

10 years ago

Bongo5

Flaviana Matata na Gado watajwa miongoni mwa Waafrika wenye ushawishi 2014

Mwanamitindo wa kimataifa, Flaviana Matata na mchoraji mahiri wa vibonzo anayefanyia kazi nchini Kenya, Godfrey ‘Gado’ Mwampembwa, wametajwa na jarida la New Africa kwenye orodha ya mwaka 2014 ya Waafrika wenye ushawishi zaidi. Flaviana ameungana na muigizaji wa Kenya, Lupita Nyong’o kwenye orodha hiyo yenye wanawake 40. Thanks,I am humbled"@CNsekela: @iGaddo FlavianaMatata Congrats to our […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani