Mambo ya msingi katika Kiswahili
Kabla ya kuanza makala yangu, napenda kuwafahamisha wasomaji wangu kuwa baadhi yao wameniletea  maoni na mawazo kuhusu mambo mbalimbali ya msingi katika lugha. Ni jambo jema kama nitawaleteeni  mawazo hayo ili nanyi muweze kuyatafakari. Kwa mfano mwandishi mmoja mwenye simu na. 0713 614058 aliniandikia, akisema, “ Ndugu, Mtanzania huyu asiyejiamini katika biashara za kimataifa kwa sababu...
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi15 Oct
Mambo ya msingi katika uandishi wa Kiswahili
10 years ago
Mwananchi19 May
Mambo ya msingi katika uandishi wa lugha ya Kiswahili
10 years ago
Mwananchi25 Dec
Mambo ya msingi kuzingatia katika uchanganuzi wa masoko
10 years ago
Mwananchi11 Dec
Mambo ya msingi ya kuzingatia katika upangaji bei za bidhaa
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UeiAtiGk5fnhPT7Y4aX3i36ZMjTPYohlPiZv7UYqM3hM8GkE0wvI5zjubmdGmMlWVo8DxwO*wb6ZX9Jzrj7sm*uypQZ3VA*m/3KATIBA3.jpg?width=650)
TASWIRA ZA MDAHALO WA UMUHIMU WA KUZINGATIA MAMBO YA MSINGI KATIKA KATIBA JIJINI D
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-XS_AGWOg2TU/VFaKSIQeXlI/AAAAAAAGvF8/qy3vHAWfgLo/s72-c/IMG-20141102-WA0010.jpg)
NEWS ALERT: Mdahalo wa kujadili umuhimu wa kuzingatia Mambo ya msingi katika katiba wavunjika kwa tafrani kubwa
Chanzo cha Tafrani hiyo, inaelezwa kuwa ni Baada ya Mh. Warioba katika taarifa yake kueleza kwamba Muungano sio tunu ila ni urithi ulioachwa na Waasisi,ndipo baadhi ya watu waliokuwepo...
10 years ago
VijimamboDARASA LA KISWAHILI DMV KUWAKILISHA LUGHA YA KISWAHILI KATIKA SIKU YA MAONYESHO YA WHITE OAK CENTER
240-777-6940FAX 240-777-6941
KUTAKUWA NA NA MOON BOUNCE,FIRE MAN,FIRE TRUCKS, CLOWNS, ICE CREAM ,HOT DOGS,PIZZA,COTTON CANDY, NA MENGINE MINGINE .
KIINGILIO BUREEEEE
![](http://www.columbiaengineering.com/Lists/Photos/Community/White%20Oak%20Community%20Center.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-X2DNaxarANM/VFUHYeseI1I/AAAAAAAGun0/dCwZg7UqNpw/s72-c/images.jpg)
MDAHALO WA KUJADILI UMUHIMU WA KUZINGATIA MAMBO YA MSINGI KATIKA KATIBA INAYOPENDEKEZWA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA UTAKAOFANYIKA KWENYE HOTELI YA BLUE PEARL, UBUNGO PLAZA DAR ES SALAAM JUMAPILI TAREHE 2 NOVEMBA 2014 KUANZIA SAA 9.00 MCHANA MPAKA
![](http://1.bp.blogspot.com/-X2DNaxarANM/VFUHYeseI1I/AAAAAAAGun0/dCwZg7UqNpw/s1600/images.jpg)
Lengo ni kutoa fursa kwa washiriki wa mdahalo na wananchi kwa ujumla kujielimisha kuhusu...
10 years ago
Habarileo21 Aug
Waandishi wakumbushwa kuandika mambo ya msingi
WAANDISHI wa habari nchini wamekumbushwa kuwa wajibu wao si kuilaumu serikali kunapokuwa na mkanganyiko fulani, badala yake wanapaswa kusahihisha kwa kuandika mambo ya msingi yanayosaidia kujenga.