Mamelodi kuvunja benki kwa Ngoma
*Yaanza kumfuatilia, Yanga kunufaika dili likifanikiwa
ABDUCADO EMMANUEL NA JENNIFER ULLEMBO, DAR
NYOTA ya mshambuliaji wa timu ya Yanga, Donald Ngoma, inazidi kung’ara kila kukicha baada ya taarifa kutoka nchini Afrika Kusini kudai kuwa yupo kwenye rada za moja ya vigogo wa Ligi Kuu ya huko, Mamelodi Sundowns.
Mzimbabwe huyo pia inadaiwa yupo kwenye rada za timu nyingine za Asia na Ulaya, ikiwemo moja kutoka Denmark, anakokipiga nyota wa zamani wa Simba, Emmanuel Okwi.
Inadaiwa Mamelodi...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog06 Oct
Benki ya CRDB yampa tunzo Mohammed Dewji ‘MO’ kwa ushiriki mkubwa wa benki hiyo katika wiki ya huduma kwa wateja
Meneja wa Benki ya CRDB wa tawi la Water Front, Donath Shirima akimpa tunzo pamoja na barua ya kumshukuru Afisa Mtendaji mkuu wa Mohammed Enterprises Tanzania Limited (MeTL GROUP), Mohammed Dewji ‘Mo’ kuwa ni mshiriki mkubwa wa benki ya CRDB katika tawi la Water Front wakati wa kuadhimisha wiki ya huduma kwa wateja iliyofanyika katika ofisi za MeTL GROUP, jijini Dar es Salaam.
Afisa Mtendaji mkuu wa Mohammed enterprises Tanzania Limited (MeTL GROUP), Mo dewji akionyesha barua ya...
5 years ago
BBC21 May
Ugandan and Mamelodi Sundowns goalkeeper Denis Onyango on how he is working to keep fit.
9 years ago
BBCSwahili20 Nov
Je,unataka kuvunja uhusiano wako kwa urahisi?
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3QWN5yhdbad2VRXD9ZcfmZzhD6vSeXde*vBiNXxqP8JKH89K3nBDxLRHV0tvPlY8wtnGb-xcc0EYIqGEMxntgsOvX3YcZBcS/magari.jpg)
HAYA NDIYO MAGARI VINARA KWA KUVUNJA SHERIA!
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yZ-qbTWMN4M/XvB6veGemlI/AAAAAAALu5M/qJxtOsimPD8PLmaw8W0ltBCMKCJOMC4CwCLcBGAsYHQ/s72-c/800x800_5304470ddd432.jpg)
TAARIFA YA KUUNGANA KWA BENKI YA NIC TANZANIA NA BENKI YA COMMECIAL BANK OF AFRICA TANZANIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-yZ-qbTWMN4M/XvB6veGemlI/AAAAAAALu5M/qJxtOsimPD8PLmaw8W0ltBCMKCJOMC4CwCLcBGAsYHQ/s200/800x800_5304470ddd432.jpg)
Kibali cha kuungana kutoka kwa mamlaka husika tayari vimeshapokelewa
Benki ya NIC Bank Tanzania Limited (NIC) na benki ya Commercial Bank of Africa (Tanzania) Limited (CBA) imeshapokea vibali vyote kuungana na kuanza kutoa huduma kuanzia tarehe 8 mwezi Julai mwaka 2020 kama benki ya NCBA Bank Tanzania Limited.
Uunganaji utafanyika kwa...
9 years ago
Bongo526 Aug
Nemo kuvunja ukimya kwa kuachia ‘Hero’ hivi karibuni
10 years ago
StarTV04 Feb
Watatu washikiliwa kwa tuhuma za kuvunja kituo cha Polisi.
Na Jackson Monela,
Morogoro.
Polisi mkoani Morogoro inawashikilia wakazi watatu wa Mgeta wilayani Kilombero mkoani Morogoro kwa tuhuma za kujihusisha na uvunjaji wa kituo kidogo cha Polisi Mgeta na kuiba baadhi vya vielelezo vya jeshi hilo pamoja Bunduki aina ya SMG yenye risasi 30.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro Kamishna Msaidizi wa Polisi Leonard Paul amewataja watuhumiwa wanaoshikiliwa na jeshi hilo kuwa ni pamoja na Ramadhan Shewele mwenye miaka 20, Khamis Ahmed miaka 45 na Ignas...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-9Ijhbs1O3x0/Xs_TO6ns7QI/AAAAAAALr6Q/uq2W606rk3QlnDWXK4pMT4dIYiyx1ZdHQCLcBGAsYHQ/s72-c/A.png)
Wadau wapambana kuvunja tamaduni ya usiri wa hedhi kwa wasichana katika jamii
Na Amiri kilagalila,Njombe
Jamii nchini imetakiwa kuvunja tamaduni ya usiri na kuona hedhi ni kitu cha kawaida kwa watoto wa kike hali itakayowafanya wasichana kujiamini na kujivunia wanapokuwa hedhi.
Hayo yamebainishwa na kiongozi mkuu wa mradi kutoka shirika la hamble unemployment solution in tanzania Faraja Eliezer ambaye ni mkuu wa idara ya afya na mazingira kutoka shirika hilo,walipofika kituo cha kulea watoto yatima cha Familia ya Upendo Uwemba kilichopo kijiji cha uwemba kwa ajili ya...
10 years ago
Vijimambo18 Dec
Real Madrid wako tayari kuvunja rekodi ya usajili kwa kumsajili mlinda mlango David De Gea
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2014/10/07/141007144536_david_de_gea_640x360_reuters_nocredit.jpg)
Real Madrid wako tayari kuvunja rekodi ya usajili kwa kumsajili mlinda mlango David De Gea toka klabu ya Man United usajili huu utavunja rekodi ya uhamisho iliyowekwa na kipa Gianluigi Buffon aliehamia Juventus toka Parma.Huku kukiwa na taarifa De Gea anafuraha kubaki na kikosi cha Manchester United na atasaini mkataba mpya .
Timu ya Liverpool imefikia makubaliano ya kumsajili kipa Guillermo Ochoa toka klabu ya Malaga kwa dau la £3milion ili kuwa mbadala wa Simon Mignolet ambae...