MAMIA WAMZIKA MDAU NASELI JOSHUA DORIYE
Mwili wa marehemu Naseli Joshua Doriye ukitolewa nyumbani kwao Africana jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuanza ibada ya mazishi.
Jeneza lililokuwa na mwili wa marehemu Naseli.
Aliyekuwa Mkuu wa Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM) Dar es salaam, Prof. Joshua Doriye ambaye ni mzazi wa Naseli akiwa na mkewe wakati wa ibada ya mazishi nyumbani kwake Africana.Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima15 Jun
Mamia wamzika Iraq Hudu
MAMIA ya wakazi wa Jiji la Dar es Salaam na vitongoji vyake, wakiwemo wanamichezo, jana walijitokeza katika mazishi ya bondia wa zamani wa masumbwi ya kulipwa, Iraq Hudu (49). Hudu,...
11 years ago
Tanzania Daima10 Jun
Mamia wamzika Mzee Small
MAMIA ya wakazi wa Jiji la Dar es Salaam, jana jioni walijitokeza kwa wingi kumsindikiza gwiji wa vichekesho nchini, Said Ngamba ‘Mzee Small’ katika safari yake ya mwisho, ambapo alizikwa...
11 years ago
Habarileo15 Jan
Mamia wamzika mwandishi wa Habarileo
ALIYEKUWA mwandishi wa gazeti hili mkoani Manyara, Fortunata Ringo (29) ambaye alifariki dunia mwishoni mwa wiki alizikwa jana kijijini kwao Mdawi Kata ya Kimochi wilaya ya Moshi Vijijini.
9 years ago
Habarileo21 Oct
Mamia wamzika Makaidi Dar
MGOMBEA Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa anayeungwa mkono na vyama vinne vya upinzani (Ukawa), ameongoza mamia na wananchi katika maziko ya aliyekuwa Mwenyekiti wa chama cha National League for Democracy (NLD), Dk Emmanuel Makaidi (74).
10 years ago
Mwananchi18 Mar
Mamia ya wakazi wa Mwanza wamzika Marsh
10 years ago
BBCSwahili08 Aug
Mamia wamzika babake mtoto aliyetekezwa
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/d5hxC5etmnlP4NYMdoLNIeklHUUUx6KB1lyJhbvRKBOn5Vq5NVEZSI7duAzJz8EILwRi4Ucln5iEWUtndADgIvmIbMBoB2JL/MAZISHI2.jpg?width=650)
MAMIA WAMZIKA MSANII BI. NYAKOMBA JIJINI DAR
5 years ago
Bongo514 Feb
Picha: Mamia wamzika Baba yake Belle 9
Mastaa wa muziki pamoja na wadau mbalimbali wamejitokeza kwa wingi hapo jana, katika mazishi ya baba wa staa wa muziki, Belle 9 aliyefariki akiwa hospitalini mkoani humo usiku wa Machi 18 akipatiwa matibabu baada ya kugongwa na pikipiki.
Belle akiwa na wasanii pamoja na wadau mbalimbali mbele ya kaburi la marehemu baba yake baada ya mazishi.
Meneja wake, Jahz Zamba, aliiambia Bongo5 kuwa, Mzee Damian amefariki dunia baada ya kugongwa na boda boda iliyokuwa kwenye mwendo mkali huko mjini...