Mamia ya Wakenya ‘wajiondoa’ al-Shabab
Watu 700 waliokuwa wamejiunga na makundi ya wapiganaji Somalia wametoroka na kurejea Kenya, ripoti ya IOM inasema.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili14 Aug
Al-Shabab yasajili wakenya Eastleigh
Kundi la wapiganaji wa Kisomali wa Alshabab limeanza kuwasajili vijana katika mtaa wa Eastleigh Nairobi.
10 years ago
BBCSwahili28 May
Wakatoliki wajiondoa kwenye uchaguzi Burundi
Kanisa Katoliki nchini Burundi limejiondoa katika mchakato mzima wa uchunguzi na uongozi wa aina yoyote katika uchaguzi huo.
10 years ago
Tanzania Daima19 Sep
Wajiondoa vicoba kwa imani za kishirikina
WANANCHI mkoani Iringa, huenda wakakwama kufikia lengo la kuanzisha Benki ya wananchi waishio vijijini (Vicoba) kutokana na baadhi ya wanachama kujiondoa katika vikundi hivyo kutokana na imani za ushirikina. Hatua...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-mEXzqN-5B8c/VI1WxhFNMHI/AAAAAAAABb8/yJ3xQlK0ECI/s72-c/20141214_100646.jpg)
BUSEGA HAPAKARIKI, WAGOMBEA CCM WAJIONDOA DAKIKA ZA MWISHO.
Wakati zoezi la kupiga kura uchaguzi wa viongozi wa serikali za mitaa kwa ngazi za vijiji, vitongoji pamoja na mitaa ukiendelea leo nchi nzima hali si shwari mkoani Simiyu katika wilaya ya Busega.
Taarifa zilizotolewa na jeshi polisi Mkoani hapa pamoja na Mkuu wa Wilaya hiyo Paul Mzindakaya zinaeleza kuwa katika mji wa Lamadi viongozi walikuwa wanagombea katika uchaguzi huo kupitia CCM wamejiondoa katika dakika za mwisho.
Taarifa hizo zilieleza kuwa viongozi hao wamejiondoa kwa madai ya...
Taarifa zilizotolewa na jeshi polisi Mkoani hapa pamoja na Mkuu wa Wilaya hiyo Paul Mzindakaya zinaeleza kuwa katika mji wa Lamadi viongozi walikuwa wanagombea katika uchaguzi huo kupitia CCM wamejiondoa katika dakika za mwisho.
Taarifa hizo zilieleza kuwa viongozi hao wamejiondoa kwa madai ya...
10 years ago
BBCSwahili16 Dec
Wanariadha wakenya wapigwa marufuku
Wanariadha wawili wa Kenya Viola Chelangat Kimetto na Joyce Jemutai Kiplimo, wamepataikana na hatia ya kutumia dawa za kusisimua misuli na kupigwa marufuku kwa miaka 2
10 years ago
BBCSwahili16 Apr
Al Shabaab inaendelea kuwasajili Wakenya
Al Shabaab inaendelea kuwasajili wapiganaji katika miji mikuu nchini Kenya kulingana na ushahidi uliobanika na BBC
10 years ago
BBCSwahili08 May
Wakenya wafwatilia uchaguzi Uingereza
Uchaguzi wa Uingereza umekuwa ukifuatilia kwa makini nchini Kenya ambapo hafla maalum imeandaliwa na ubalozi wa nchi hiyo
9 years ago
Mwananchi05 Nov
Soka la Bongo lawakataa Wakenya
Wakati pazia la usajili Tanzania likitarajiwa kufunguliwa Novemba 15, wachezaji kutoka Uganda na Burundi wamekuwa lulu kulinganisha na wale wa kutoka Kenya.
11 years ago
BBCSwahili20 May
Wakenya 12 wauawa mpakani na Somalia
Kenya imethibitisha kuwa watu 12 wameuawa katika mpaka wa nchi hiyo na Somalia, katika shambulio lililofanywa na Al shabaab.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania