Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mamia ya Wakenya ‘wajiondoa’ al-Shabab

Watu 700 waliokuwa wamejiunga na makundi ya wapiganaji Somalia wametoroka na kurejea Kenya, ripoti ya IOM inasema.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Al-Shabab yasajili wakenya Eastleigh

Kundi la wapiganaji wa Kisomali wa Alshabab limeanza kuwasajili vijana katika mtaa wa Eastleigh Nairobi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wakatoliki wajiondoa kwenye uchaguzi Burundi

Kanisa Katoliki nchini Burundi limejiondoa katika mchakato mzima wa uchunguzi na uongozi wa aina yoyote katika uchaguzi huo.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wajiondoa vicoba kwa imani za kishirikina

WANANCHI mkoani Iringa, huenda wakakwama kufikia lengo la kuanzisha Benki ya wananchi waishio vijijini (Vicoba) kutokana na baadhi ya wanachama kujiondoa katika vikundi hivyo kutokana na imani za ushirikina. Hatua...

 

10 years ago

Vijimambo

BUSEGA HAPAKARIKI, WAGOMBEA CCM WAJIONDOA DAKIKA ZA MWISHO.

Wakati zoezi la kupiga kura uchaguzi wa viongozi wa serikali za mitaa kwa ngazi za vijiji, vitongoji pamoja na mitaa ukiendelea leo nchi nzima hali si shwari mkoani Simiyu katika wilaya ya Busega.

Taarifa zilizotolewa na jeshi polisi Mkoani hapa pamoja na Mkuu wa Wilaya hiyo Paul Mzindakaya zinaeleza kuwa katika mji wa Lamadi viongozi walikuwa wanagombea katika uchaguzi huo kupitia CCM wamejiondoa katika dakika za mwisho.

Taarifa hizo zilieleza kuwa viongozi hao wamejiondoa kwa madai ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanariadha wakenya wapigwa marufuku

Wanariadha wawili wa Kenya Viola Chelangat Kimetto na Joyce Jemutai Kiplimo, wamepataikana na hatia ya kutumia dawa za kusisimua misuli na kupigwa marufuku kwa miaka 2

 

10 years ago

BBCSwahili

Al Shabaab inaendelea kuwasajili Wakenya

Al Shabaab inaendelea kuwasajili wapiganaji katika miji mikuu nchini Kenya kulingana na ushahidi uliobanika na BBC

 

10 years ago

BBCSwahili

Wakenya wafwatilia uchaguzi Uingereza

Uchaguzi wa Uingereza umekuwa ukifuatilia kwa makini nchini Kenya ambapo hafla maalum imeandaliwa na ubalozi wa nchi hiyo

 

9 years ago

Mwananchi

Soka la Bongo lawakataa Wakenya

Wakati pazia la usajili Tanzania likitarajiwa kufunguliwa Novemba 15, wachezaji kutoka Uganda na Burundi wamekuwa lulu kulinganisha na wale wa kutoka Kenya.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wakenya 12 wauawa mpakani na Somalia

Kenya imethibitisha kuwa watu 12 wameuawa katika mpaka wa nchi hiyo na Somalia, katika shambulio lililofanywa na Al shabaab.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani