Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Soka la Bongo lawakataa Wakenya

Wakati pazia la usajili Tanzania likitarajiwa kufunguliwa Novemba 15, wachezaji kutoka Uganda na Burundi wamekuwa lulu kulinganisha na wale wa kutoka Kenya.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Duka lawakataa wateja wa kichina

Duka moja la nguo nchini Uchina limezua mjadala baada ya kuweka maelezo yanayopiwapiga marufuku wateja wa kichina

 

10 years ago

Bongo Movies

Alichokisema JB kuhusu soka la bongo. Asikitishwa na uchovu wa wachezaji.

Kupitia mtandao mmoja wa kijamii nchini, mwigizaji nguli Jacob Steven – JB ameamua kufunguka haya yake ya moyoni kuhusu mpira wa kibongobongo

“Wapenda kandanda kama mimi hembu tujadili kidogo nyinyi mnaonaje? hivi mbona mimi sielewi? ni kweli hata mimi nafurahia ujio wa wachezaji wa kigeni kwamba wataleta changamoto lakini hawa wa kwetu wamekumbwa na nini? mbona mchezaji anacheza msimu mmoja tu kwisha? leo hii angalia timu ya taifa ukiacha kina Samatta hatuna mshambuliaji, hamuoni wivu...

 

10 years ago

Bongo Movies

Maneno Haya ya JB Kuhusu ‘Soka la Bongo’ Yaungwa Mkono na Wengi

Kutoka mitandaoni, JB amendika haya kuhusiana na timu yetu ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’

Timu nzuri ya Taifa inaanzia kwenye vilabu...ili upate wachezaji wazuri ni lazima uwekeze.mpira ni kama shule unaanzia cheke chea.Watoto hawa wakati wako huko camp wanafundishwa mpira na shule pia wanaenda.viwanja na waalimu.uwekezaji huu ni rahisi kufanywa na mtu binafsi kama Azam kulikotimu zinazomilikiwa na wanachama....Naamini wawekezaji wanamna hii wakiongezeka na kupata sapoti kutoka kwa...

 

5 years ago

MillardAyo

PICHA 10: Mastaa wa soka Bongo Niyonzima, Kaseja, Okwi, Manula na Himid wakiwa na wake zao

Imekuwa ni kawaida kwa baadhi ya mastaa wa muziki kuonekana hadharani au katika mitandao ya kijamii wakiwa na wapenzi wao, inawezekana pia umewahi kuwasikia au kuwaona mastaa mbalimbali wa soka Tanzania lakini hujawahi kupata nafasi ya kuwaona wakiwa na wake zao. Leo February 17 2018 naomba nikusogezee upande wa pili wa maisha binafsi ya mastaa […]

 

10 years ago

Vijimambo

MAMBO YA SOKA LA BONGO HAYO YANI KI DIGITAL ZAIDI PITIA HII NA MEZA AU TEMA KWAHERI.

LISTI YA SIMBA VS MGAMBO...LISTI YA BARCELONA VS MAN CITY....Licha ya TFF kuingiza pesa nyingi kupitia mpira wa miguu hii ni haki kweli?

 

10 years ago

Bongo5

Kikwete: Wasanii wa Bongo Fleva wanatuliwaza kwa kuitangaza Tanzania pale tunapofanya madudu kwenye soka

Rais Jakaya Kikwete amesema wasanii wa muziki wa Bongo Fleva wameipeleka Tanzania mbali kwa kazi nzuri wanayoifanya na hivyo kuwaliwaza watanzania kwakuwa nchi bado inaendelea kufanya ‘madudu’ kwenye soka la kimataifa. Akihutubia bunge mjini Dodoma jioni hii, Kikwete amesema wasanii wanaliletea taifa heshima kubwa hivyo ni lazima wawezeshwe zaidi. Rais Kikwete amedai kuwa kwa kutambua […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani