Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Man U yasema haitaongeza mshambuliaji

Kocha mkuu wa Manchester United Louis Van Gaal ametamba kuwa hatanunua mshambuliaji mwingine kwani alio nao kwa sasa wanatosha wakiongozwa na Wayne Rooney.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Van Gaal; Man U haihitaji mshambuliaji

Meneja wa Manchester United amesema kwamba hana haja ya kuimarisha washambuliaji wake

 

10 years ago

BBCSwahili

Van Gaal:Man U haina mshambuliaji mzuri

Kilabu ya Manchester United haiwezi kushinda taji la ligi kwa kuwa haina mshambuliaji mwenye uwezo wa kufunga mabao 20 kwa msimu.

 

10 years ago

Habarileo

Kerr asaka mshambuliaji

KOCHA Mkuu wa Simba, Dylan Kerr anasaka mshambuliaji kwa ajili ya kuimarisha kikosi chake. Simba ipo kwenye mchakato wa kufanya usajili kuimarisha kikosi chake kwa ajili ya msimu mpya wa Ligi Kuu Tanzania Bara unaotarajiwa kuanza Septemba 22 mwaka huu.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mshambuliaji auawa Israel

Raia mmoja wa Israel ameuawa katika mapambano ya kurushiana risasi na kuchomana visu katika kituo cha Basi kusini mwa mji wa Beersheva.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola:Mshambuliaji wa Guinea ajiondoa

Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Guinea Alhassane Bangoura ameijiondoa katika kikosi kitakachokabiliana na timu ya Ghana.

 

11 years ago

Mwananchi

Azam yasajili mshambuliaji wa Mali

 Vinara wa Ligi Kuu Bara, Azam FC wameanza kujipanga tayari kwa msimu ujao baada ya kumsainisha mshambuliaji kutoka Mali, Ismailla Diarra mkataba wa miaka miwili.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mshambuliaji wa Tunisia alikuwa Libya

Maafisa wanasema Seifeddine Rezgui alipokea mafunzo ya kivita ndani ya Libya sawa na washambuliaji wa makavazi mjini Tripoli

 

9 years ago

BBCSwahili

Mshambuliaji wa kwanza wa Paris azikwa

Mmoja wa watu ambao wanatuhumiwa kutekeleza mauaji ya kigaidi katika mji mkuu wa Ufaransa Paris mwezi uliopita amezikwa katika kaburi iliyofichika

 

10 years ago

BBCSwahili

Mshambuliaji wa Boston ahukumiwa kifo

Meya wa mji wa Boston amesema kuwa hukumu ya kifo aliyopewa mshambuliaji itawapa nafuu wale wote walioathiriwa

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani