Mshambuliaji wa kwanza wa Paris azikwa
Mmoja wa watu ambao wanatuhumiwa kutekeleza mauaji ya kigaidi katika mji mkuu wa Ufaransa Paris mwezi uliopita amezikwa katika kaburi iliyofichika
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog15 Nov
SHAMBULIZI LA PARIS: Polisi wasema kuna mshambuliaji mmoja wa tukio hilo alitaka kuingia uwanjani!
Wanahabarina mashabiki wa soka wakiwa wamejikusanya ndani ya uwanja huo wa mpira ambao nje kulitokea mlipuko huo wa mabomu uliouwa watu zaidi ya 120 usiku wa Novemba 13.2015 katika jiji la Paris.
Na Rabi Hume na mashirika ya habari
Polisi waliokuwa wakikagua mashabiki wa mpira waliokuwa wakiingia uwanjani katika mchezo wa kirafiki kati ya Ufaransa na Ujerumani wameuambia mtandao wa Wall Street Journal kuwa kuna mshambuliaji wa tukio hilo alitaka kuingia uwanjani.
Polisi wamesema kuwa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SRbpV0Al75owCBECvsE8fVgBV4ozNxG*RdTn6m7uks4YaD1sJUatt4pQz3*XCH7DXVjz6EB3L05FNrNVhZCWt7wh5TpGhmKX/MAZISHI.jpg?width=650)
PICHA YA KWANZA: MZEE SMALL AZIKWA MAKABURI YA SEGEREA, DAR
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-RHseAp-jPcg/XlUHJieyD4I/AAAAAAALfQY/cTo8TM8yRfsYzSB1z7fYaEWwmSEAsaXAACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200225-WA0006.jpg)
TANZANIA YASHIRIKI KWA MARA KWANZA MAONESHO YA KIMATAIFA YA BIDHAA ZA KILIMO YA PARIS 2020, UFARANSA
![](https://1.bp.blogspot.com/-RHseAp-jPcg/XlUHJieyD4I/AAAAAAALfQY/cTo8TM8yRfsYzSB1z7fYaEWwmSEAsaXAACLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200225-WA0006.jpg)
Balozi wa Tanzania nchini Ufaransa, Mhe. Samwel Shelukindo (katikati) akiwa kwenye picha ya pamoja na Ujumbe wa Tanzania unaoshiriki kwa mara ya kwanza katika Maonesho ya Kimataifa ya Bidhaa za Kilimo ya Paris yanayofanyika mjini humo kuanzia tarehe 22 Februari 2020 hadi tarehe 1 Machi 2020.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/IMG-20200225-WA0007.jpg)
Wageni mbalimbali wakipata maelezo kuhusu fursa za bidhaa za kilimo zinazopatikana Tanzania walipotembelea Banda la la Tanzania wakati wa Maonesho ya Kimataifa ya Bidhaa za Kilimo yanayofanyika jijini...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-PvNtkUyR8po/XlUHUPRbFdI/AAAAAAACzYw/OaQ0wCFw360AKmyq23086MHCPsS8MN8DwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
TANZANIA YASHIRIKI KWA MARA YA KWANZA KATIKA MAONYESHO YA KIMATAIFA YA BIDHAA ZA KILIMO YA PARIS 2020, UFARANSA
![](https://1.bp.blogspot.com/-PvNtkUyR8po/XlUHUPRbFdI/AAAAAAACzYw/OaQ0wCFw360AKmyq23086MHCPsS8MN8DwCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Tanzania inashiriki kwa mara ya kwanza katika Maonesho ya Kimataifa ya Bidhaa za Kilimo ya Paris 2020 yanayofanyika jijini Paris, Ufaransa kuanzia tarehe 22 Februari 2020 hadi tarehe 1 Machi 2020.
Maonesho hayo ambayo yalifunguliwa na Mhe. Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa, yanatarajiwa kutembelewa na zaidi ya watu 600,000.
Wakati wa maonesho hayo, Tanzania itapata fursa ya kuonyesha bidhaa zake yakiwemo mazao ya kimkakati. Ujumbe wa Tanzania katika maonyesho hayo unaongozwa na Bw. Victor...
5 years ago
Contactmusic.Com10 Apr
Paris Hilton | Paris Hilton's family donate $10M towards Covid-19 relief efforts
10 years ago
Habarileo13 Aug
Kerr asaka mshambuliaji
KOCHA Mkuu wa Simba, Dylan Kerr anasaka mshambuliaji kwa ajili ya kuimarisha kikosi chake. Simba ipo kwenye mchakato wa kufanya usajili kuimarisha kikosi chake kwa ajili ya msimu mpya wa Ligi Kuu Tanzania Bara unaotarajiwa kuanza Septemba 22 mwaka huu.
9 years ago
BBCSwahili19 Oct
Mshambuliaji auawa Israel
9 years ago
BBCSwahili19 Aug
Picha ya mshambuliaji yatolewa Thailand
10 years ago
BBCSwahili29 Jun
Mshambuliaji Tunisia alikuwa na washirika