Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Manabii Wa Siku Za Mwisho..!

"NATAMKA mbele ya Bwana. Sikiliza kwa makini, Abrakadabra! Abrakadabra!

Maggid Mjengwa

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Usajili siku ya mwisho Ulaya

Manchester United yamnasa Martial Manchester United imemnasa mshambuliaji wa Monaco, Anthony Martial baada kupewa ruhusu kuondoka katika kambi ya Ufaransa na kusafiri kwenda England, lilithibisha Shirikisho la Soka la Ufaransa (FFF).

 

11 years ago

BBCSwahili

Siku za mwisho za maisha ya Mandela

Mwanawe mkubwa wa kike Hayati Nelson Mandela, Makaziwe Mandela ameambia BBC kuhusu siku za mwisho za maisha ya babaake.

 

9 years ago

Global Publishers

Aliens wahusishwa na chapa ya mnyama siku za mwisho

Scary_Movie_Aliens.jpgILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA

Wiki iliyopita nilieleza namna ambavyo kuna kila dalili kwamba viumbe hawa wa ajabu waishio angani wa Aliens wamekuwepo enzi na enzi tangu Agano la Kale. Mbali na Aliens lakini viumbe wasioonekana wapo wengi mno na bado kuna jamii kubwa sana ya virusi ambavyo bado havijagundulika. SASA ENDELEA…

Katika hali kama hiyo, kuna andiko kutoka kwenye Aliens Encounters kuwa viumbe hawa pamoja na vitu vinavyoonekana angani visivyoeleweka almaarufu kwa jina la Ufo ni viumbe...

 

10 years ago

Dewji Blog

SUMATRA yatahadharisha wanaosafiri kipindi cha msimu wa siku kuu za mwisho wa mwaka

SUMATRA

Katibu Mtendaji wa Baraza la Ushauri la Watumiaji Huduma za Usafi wa nchi kavu na Majini, Dk Oscar Kikoyo akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake Dar es salaam jana juu ya hali ya usafiri kipindi cha siku kuu za Krismas na mwaka mpya ambapo ametahadharishja abiria kuto kukubali kutozwa nauri za juu na pindi ikitokea hivyo Sumatra ipewe taarifa haraka.  Soma taarifa kamili hapa chini. (Source Father Kidevu Blog).

NAURI HALALI ZA MABASI YA MIKOANI

 

10 years ago

Dewji Blog

LEO NI SIKU YA MWISHO: Piga kura uboreshe maisha ya watu wenye ulemavu wa ngozi

Untitled

Shirika linalojibidisha na kutetea na kulinda watu wenye ulemavu wa ngozi nchini Under the Same Sun, (UTSS) limeteuliwa kushindania Tuzo ya Haki za Binadamu ijulikanayo kama “Tulip” itolewayo  nchini Uholanzi.  Iwapo UTSS watashinda tuzo hiyo, ni dhahiri kwamba kutakuwa na mapinduzi makubwa  katika uboreshaji wa maisha ya watu  wenye ulemavu wa ngozi.  Shiriki kwa kupiga kura ili UTSS washinde Tuzo hii na kulinda ndugu zetu wenye Ulemavu wa Ngozi Tanzania kwa kupiga kura hapa chini na...

 

10 years ago

Michuzi

TASWIRA KATIKA SIKU YA MWISHO YA MAONESHO YA WIKI YA UTUMISHI MNAZI MMOJA DAR ES SALAAM LEO

 Msanii maarufu wa ngoma za utamaduni Mfalme Siboma akiwa katika banda la Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa kimataifa alilotembelea katika siku ya mwisho ya Maonesho ya Wiki ya Utumishi katika bustani ya Mnazi Mmoja jijini Dar es salaam leo. Pamoja naye ni wafanyakazi katika banda hilo Wadau wa Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi wakijidai na vyeti vyao vya ushiriki katika siku ya mwisho ya Maonesho ya Wiki ya Utumishi katika bustani ya Mnazi Mmoja jijini Dar es salaam leo. Pamoja naye ni...

 

5 years ago

BBCSwahili

Daniel Toroitich Arap Moi: Wakenya watoa heshima za mwisho kwa siku ya pili mfululizo

Milolongo mirefu yashuhudiwa katika majengo ya bunge Kenya kuutazama mwili wa Daniel Arap Moi

 

10 years ago

Vijimambo

MWANADIASPORA DMV AHUTUBIA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE NA KUWATIA MOYO SIKU 2 KABLA YA MTIHANI WA MWISHO

Akiongea na watahiniwa wa kidato cha nne siku mbili kabla ya mtihani wa Taifa 2014, shule ya secondary Montfort iliyopo Rujewa, Mbarali, Mwana-diaspora na "alumni" wa Montfort kutoka Washington, D. C., Marekani, Liberatus Mwang'ombe "Libe" alianza kwa kusema, Montfort ni shule aliyo soma na anajisikia faraja akiyaona mazingira yale. Aliendelea kwa kusema, maamuzi ya mwisho ya kila binadamu yapo chini ya himaya yake. Alisema "huwezi kutegemea mtu baki au mwingine aongoze au arutubishe maisha...

 

10 years ago

Michuzi

KANISA LA YESU CHRISTO LA WATAKATIFU WA SIKU ZA MWISHO WAFANYA UKARABATI JENGO LA YATIMA GROUP TRUST FUND MBAGALA CHAMANZI

Baadhi ya waumini wa Kanisa la Yesu Cristo la watakatifu wa siku za mwisho wakipaka rangi bweni la kituo cha watoto yatima cha yatima group trust fund kilichopo mbagala chamanzi ambapo waumini hawo walitumia siku hiyo kufanya usafi wa mazingira mbalimbali ikiwemo kukata kuni pamoja na kucheza na watoto wanaoishi katika kituo hicho kama njia moja ya kuwafarijiBaadhi ya waumini wa Kanisa la Yesu Cristo la watakatifu wa siku za mwisho wakipaka rangi bweni la kituo cha watoto yatima cha yatima...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani