Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Siku za mwisho za maisha ya Mandela

Mwanawe mkubwa wa kike Hayati Nelson Mandela, Makaziwe Mandela ameambia BBC kuhusu siku za mwisho za maisha ya babaake.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

LEO NI SIKU YA MWISHO: Piga kura uboreshe maisha ya watu wenye ulemavu wa ngozi

Untitled

Shirika linalojibidisha na kutetea na kulinda watu wenye ulemavu wa ngozi nchini Under the Same Sun, (UTSS) limeteuliwa kushindania Tuzo ya Haki za Binadamu ijulikanayo kama “Tulip” itolewayo  nchini Uholanzi.  Iwapo UTSS watashinda tuzo hiyo, ni dhahiri kwamba kutakuwa na mapinduzi makubwa  katika uboreshaji wa maisha ya watu  wenye ulemavu wa ngozi.  Shiriki kwa kupiga kura ili UTSS washinde Tuzo hii na kulinda ndugu zetu wenye Ulemavu wa Ngozi Tanzania kwa kupiga kura hapa chini na...

 

11 years ago

GPL

NELSON MANDELA MWISHO WA ENZI!

Nelson Rolihlahla Mandela ‘Mzee Madiba’ enzi za uhai wake. SHUJAA na mwamba wa Afrika, Nelson Rolihlahla Mandela ‘Mzee Madiba’ amefariki dunia Desemba 5, mwaka huu akiwa na umri wa miaka 95 kwa maradhi ya mapafu.
Hakuna ngozi nyeusi na hata nyeupe anayeweza kubisha kuwa rais huyo mstaafu wa Afrika Kusini na mtetezi wa watu weusi amepitia mambo mengi. Tukiacha kukua kwake, ujana na mengine, tujikumbushe...

 

11 years ago

Habarileo

Picha ya mwisho ya Mandela yaoneshwa

PICHA ya mwisho ya Kiongozi wa zamani wa Afrika Kusini, Nelson Mandela akiwa hai imetolewa akionekana mwenye tabasamu huku ameshika mkono wa kitukuu chake.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mandela amiminiwa heshima za mwisho

Mamia ya watu hii leo wamepata fursa ya mwisho kutoa heshima zao za mwisho kwa Hayati Nelson Mandela ambaye

 

11 years ago

BBCSwahili

Nyakati na Maisha ya Mandela

Hayati Mandela amefariki baada ya kuugua homa ya mapafu kwa muda mrefu. Je Mandela atakumbukwa vipi?

 

11 years ago

BBCSwahili

Maisha ya Nelson Mandela

Nelson Mandela aaga dunia baada ya kuugua homa ya mapafu kwa muda mrefu. Je utamkumbuka vipi Mandela

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dunia yaadhimisha Siku ya Mandela

KATIKA kutambua na kukumbuka mchango wa aliyekuwa Rais wa kwanza mweusi Afrika Kusini, hayati Nelson Mandela, dunia imeadhimisha siku yake ya kuzaliwa kwa mara ya kwanza tangu kifo chake. Katika...

 

9 years ago

Raia Mwema

Manabii Wa Siku Za Mwisho..!

"NATAMKA mbele ya Bwana. Sikiliza kwa makini, Abrakadabra! Abrakadabra!

Maggid Mjengwa

 

11 years ago

BBCSwahili

Mandela:Siku ya maombi Afrika Kusini

Wananchi na viongozi wa Afrika Kusini wanashirki maombi ya kitaifa ya kumuenzi na kumkumbuka hayati Nelson Mandela

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani