Nyakati na Maisha ya Mandela
Hayati Mandela amefariki baada ya kuugua homa ya mapafu kwa muda mrefu. Je Mandela atakumbukwa vipi?
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili08 Dec
Maisha ya Nelson Mandela
Nelson Mandela aaga dunia baada ya kuugua homa ya mapafu kwa muda mrefu. Je utamkumbuka vipi Mandela
11 years ago
BBCSwahili09 Dec
Siku za mwisho za maisha ya Mandela
Mwanawe mkubwa wa kike Hayati Nelson Mandela, Makaziwe Mandela ameambia BBC kuhusu siku za mwisho za maisha ya babaake.
11 years ago
Mwananchi07 Feb
Hatari ya kufanya kazi nyakati za usiku
>Zipo ajira za aina mbalimbali katika jamii zikiwamo za kupokezana (shift) na nyingine zikiwamo za muda mrefu.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sNGui7dfNNaGJN-c9ArQ3kLq8StQ0kaw*v2YZRF66Q7OK7Yizys6CLTB5dWbhRf69igO7keWiNkPkel0j65nLM1gNzb4HwEX/mahaba.jpg?width=650)
MAPENZI KATIKA SURA PANA YA NYAKATI
UNAPOANZA safari ya mapenzi, shika muongozo huu na uuamini. Amini katika mapenzi siku zote. Siyo tu yenyewe kama maneno, bali mapenzi katika maana na mzani wake sahihi. Amini kuwa zipo nyakati ngumu kwenye safari yako lakini simamia ushindi wako. Ni lazima uyashinde mapenzi, yaani uvuke salama kwenye nyakati ngumu. Iwe kwa utengano au kuvuka pamoja, unachopaswa kuangalia ni kipi salama kwako. Kuvuka salama ni turufu ya kwanza,...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/czF6wJsbSj3dfnUc6Bqkcg9ExlQIDf8RCq2CORR638ZRXLD68yRlF2lu8Bd*2YwYAfmHruJT9RyavdzPeCB-Y1ZQRLuTtzv0/mahaba.jpg?width=650)
MAPENZI KATIKA SURA PANA YA NYAKATI NGUMU-2
Tupo kwenye mada yetu, somo hapo ni mapenzi katika maana pana ya nyakati ngumu. Kimsingi hizi zipo na huwezi kuishi siku zote za maisha yako bila kukabiliana nazo. Noa kichwa na ujiweke mkao wa kushinda. Changamoto zisikudondoshe, unatakiwa kuzishinda kwa tabasamu. Unapoingia katika nyakati ngumu siyo kila mtu unaweza kumweleza matatizo yako. Bora usimwambie yeyote. Jitahidi kulala na kuamka ukitafakari, pengine ukapata ufumbuzi...
10 years ago
Mwananchi31 Aug
Wafundisheni watoto kuheshimu chakula nyakati za kula
Leo nina mada ambayo ni nyepesi lakini ina faida na maana kubwa kwenu wajukuu zangu. Najua kila mmoja wenu anapenda kula chakula ingawa wapo baadhi ya watoto hawapendi kula chakula.
11 years ago
Habarileo07 Feb
8 kizimbani kwa mauaji ya watu nyakati tofauti
WATU wanne wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Tarime kwa mashitaka ya mauaji ya watu wanne katika maeneo na nyakati tofauti wilayani hapa. Walisomewa mashitaka mbele ya Hakimu Mkazi wa Wilaya ya Tarime, Adrian Kilimi.
10 years ago
Mwananchi23 Dec
Ajali zaua watu 11 Mbeya, Mbozi kwa nyakati tofauti
Watu 11 wamefariki dunia katika matukio tofauti, ikiwamo ajali ya mabasi mawili yaliyogongana mjini Tunduma wilayani Momba juzi jioni na kusababisha vifo vya watu tisa na majeruhi 24.
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/yj37h91QkAg/default.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania