Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nyakati na Maisha ya Mandela

Hayati Mandela amefariki baada ya kuugua homa ya mapafu kwa muda mrefu. Je Mandela atakumbukwa vipi?

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Maisha ya Nelson Mandela

Nelson Mandela aaga dunia baada ya kuugua homa ya mapafu kwa muda mrefu. Je utamkumbuka vipi Mandela

 

11 years ago

BBCSwahili

Siku za mwisho za maisha ya Mandela

Mwanawe mkubwa wa kike Hayati Nelson Mandela, Makaziwe Mandela ameambia BBC kuhusu siku za mwisho za maisha ya babaake.

 

11 years ago

Mwananchi

Hatari ya kufanya kazi nyakati za usiku

>Zipo ajira za aina mbalimbali katika jamii zikiwamo za kupokezana (shift) na nyingine zikiwamo za  muda mrefu.

 

11 years ago

GPL

MAPENZI KATIKA SURA PANA YA NYAKATI

UNAPOANZA safari ya mapenzi, shika muongozo huu na uuamini. Amini katika mapenzi siku zote. Siyo tu yenyewe kama maneno, bali mapenzi katika maana na mzani wake sahihi. Amini kuwa zipo nyakati ngumu kwenye safari yako lakini simamia ushindi wako. Ni lazima uyashinde mapenzi, yaani uvuke salama kwenye nyakati ngumu. Iwe kwa utengano au kuvuka pamoja, unachopaswa kuangalia ni kipi salama kwako. Kuvuka salama ni turufu ya kwanza,...

 

11 years ago

GPL

MAPENZI KATIKA SURA PANA YA NYAKATI NGUMU-2

Tupo kwenye mada yetu, somo hapo ni mapenzi katika maana pana ya nyakati ngumu. Kimsingi hizi zipo na huwezi kuishi siku zote za maisha yako bila kukabiliana nazo. Noa kichwa na ujiweke mkao wa kushinda. Changamoto zisikudondoshe, unatakiwa kuzishinda kwa tabasamu. Unapoingia katika nyakati ngumu siyo kila mtu unaweza kumweleza matatizo yako. Bora usimwambie yeyote. Jitahidi kulala na kuamka ukitafakari, pengine ukapata ufumbuzi...

 

10 years ago

Mwananchi

Wafundisheni watoto kuheshimu chakula nyakati za kula

Leo nina mada ambayo ni nyepesi lakini ina faida na maana kubwa kwenu wajukuu zangu. Najua kila mmoja wenu anapenda kula chakula ingawa wapo baadhi ya watoto hawapendi kula chakula.

 

11 years ago

Habarileo

8 kizimbani kwa mauaji ya watu nyakati tofauti

WATU wanne wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Tarime kwa mashitaka ya mauaji ya watu wanne katika maeneo na nyakati tofauti wilayani hapa. Walisomewa mashitaka mbele ya Hakimu Mkazi wa Wilaya ya Tarime, Adrian Kilimi.

 

10 years ago

Mwananchi

Ajali zaua watu 11 Mbeya, Mbozi kwa nyakati tofauti

Watu 11 wamefariki dunia katika matukio tofauti, ikiwamo ajali ya mabasi mawili yaliyogongana mjini Tunduma wilayani Momba juzi jioni na kusababisha vifo vya watu tisa na majeruhi 24.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani