Wafundisheni watoto kuheshimu chakula nyakati za kula
Leo nina mada ambayo ni nyepesi lakini ina faida na maana kubwa kwenu wajukuu zangu. Najua kila mmoja wenu anapenda kula chakula ingawa wapo baadhi ya watoto hawapendi kula chakula.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo510 Nov
Mr Nice azungumzia tukio la kula chakula chenye sumu
![11821809_1675578409323823_1553764896_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/11821809_1675578409323823_1553764896_n-300x194.jpg)
Mr Nice amesema hakupenda kulichukulia tukio la kula chakula chenye sumu kama kiki ya muziki kutokana na tukio hilo kutaka kumtoa maisha yake.
Akizungumza na Nje ya Box ya Planet Bongo, EA Radio jana, Mr Nice alisema mpaka anapona hakujua ni nani aliyefanya tukio hilo na ni kwa nia gani.
“Yeah sikutaka kuongea na vyombo za habari kwa sababu ni kitu ambacho kilikuwa moja kwa moja kinaathiri maisha yangu,” alisema.
“Nikaona huu ni wakati wa kukaa na kutatua matatizo yangu kwa kuangalia ni...
9 years ago
Bongo Movies14 Nov
JB Afunguka Kula Chakula Chenye Sumu Yeye na Steve Nyerere
Wasanii wa filamu za Kibongo, Jacob Steven ‘JB’ na Steve Nyerere wikiendi iliyopita inasemekana walikula chakula chenye sumu,ambapo mpaka sasa Steve Nyerere bado amelazwa hospitali.
B amezungumza na 255 kupitia XXL na kusema hivi:
‘’Siku ya Ijumaa tulikula kitimoto na vyakula tofauti tofauti sasa asubuhi yake ndio tumbo likaanza kuniuma niliendesha sana nikaenda hospitali nikapewa dawa nilivyokunywa hazikunisaidia usiku wake tumbo likaniuma sijawahi kuumwa tumbo kama nilivyoumwa siku ile...
9 years ago
MillardAyo01 Jan
Mambo ni rahisi zaidi.. utaweza kupima chakula kwa simu yako kabla ya kula, hapo vipi?.. (+Video)
Tunasema asante kwa teknolojia kila siku kwa sababu ya vitu vizuri ambavyo tunakutana navyo vikikufikia na kurahisisha mambo mengi kwa sababu tu wataalam wamekaa na wamebuni kitu kizuri !! Unaambiwa ni suala la kukaa tayari wakati wowote kuanzia sasa tutakuwa na simu zenye uwezo wa kufanya scanning chakula na kutoa majibu kwamba kwenye chakula kuna […]
The post Mambo ni rahisi zaidi.. utaweza kupima chakula kwa simu yako kabla ya kula, hapo vipi?.. (+Video) appeared first on...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-0wKk8nRDSK8/VYE8VxFRmgI/AAAAAAABQT0/8tYL2mnu0_I/s72-c/IMG_8689.jpg)
BANZA STONE YUKO HOI, HAZUNGUMZI, AMEGOMA KULA CHAKULA NA KUNYWA DAWA, WASANII WENGI WAMEMTENGA — MAMA MZAZI
![](http://1.bp.blogspot.com/-0wKk8nRDSK8/VYE8VxFRmgI/AAAAAAABQT0/8tYL2mnu0_I/s640/IMG_8689.jpg)
Akiongea na Ripoti ya kipindi cha Ubaoni cha EFM juzi, mama huyo alisema hadi siku hiyo Banza alikuwa amegoma kula kwa siku tatu mfululizo.Aliongea kuwa pamoja na kuugua hivyo bado wasanii wenzake wameshindwa kwenda kumjulia hali.“Mpaka sasa sijamuona mtu yeyote aliyekuja kumshughulikia na kumwangalia, wamemwacha hivi hivi. Na mimi siwezi kuwalaumu...
10 years ago
Mwananchi18 Jan
Tatizo la kutopenda kula kwa watoto
5 years ago
MichuziJohari Rotana washerekea siku ya wanawake duniani kwa kula chakula cha mchana na wanawake
10 years ago
CloudsFM17 Dec
DIVA LOVENESS KULA X-MASS NA WATOTO YATIMA
Diva alisema kuwa pamoja na kula nao pia atatoa misaada na vifaa mbalimbali vya shule kwa watoto hao.
Mtangazaji huyo ambaye ameandaa tukio maalum kwa ajili ya kuwakumbuka na kusherehekea maisha ndugu zetu waliotutangulia mbele iitwayo lighters itakayofanyika Club Maisha amesema asilima 25 ya mapato itapelekwa kwa...
10 years ago
Tanzania Daima09 Oct
‘Wafundisheni wanafunzi matumizi bora ya mitandao’
WALIMU mkoani hapa wametakiwa kushirikiana na wazazi katika kuwafundisha wanafunzi matumizi mazuri ya mitandao hususan simu za mikononi katika mazingira yasiyoharibu maadili yao. Akizungumza katika mahafali ya kuhitimu darasa la...