Aliens wahusishwa na chapa ya mnyama siku za mwisho
ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA
Wiki iliyopita nilieleza namna ambavyo kuna kila dalili kwamba viumbe hawa wa ajabu waishio angani wa Aliens wamekuwepo enzi na enzi tangu Agano la Kale. Mbali na Aliens lakini viumbe wasioonekana wapo wengi mno na bado kuna jamii kubwa sana ya virusi ambavyo bado havijagundulika. SASA ENDELEA…
Katika hali kama hiyo, kuna andiko kutoka kwenye Aliens Encounters kuwa viumbe hawa pamoja na vitu vinavyoonekana angani visivyoeleweka almaarufu kwa jina la Ufo ni viumbe...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vOQMXCMD5182jwWWiEiIzObtD9v8UlqLYyTB65o9CIh8vcA7Ehqk3vjRfxKpXprxHvgaLAN0DR7PbBsxrj33LFDSW2b1gdDr/Roswell_Space_Alien.jpg?width=650)
NI ALIENS; WAHUSISHWA NA UPOTEVU WA WATU, NDEGE
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3ydo-rPuK9omfA3bOPWE8qKdwFTFfUeEs05Q4XOaBB3DRYig4d6Cwl8nU5svxv6DnZQIfgcBfytbJhizqLEuV*g8YXyo3Vx4/aliensET.jpg?width=650)
ALIENS WAHUSISHWA NA MAAJABU YA PEMBETATU YA SHETANI
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9aQf-qs4m5wx5C1LvVdnxgJd*NHby5vVlJqJ9IPt7g-W8vYO7qPdzrj65KrOE5RBIY8ZaqPl55r5DbSTKOwqlCa6m1dH-OC1/Aliensextraterrestrials.jpg?width=650)
ALIENS WAHUSISHWA NA UPOTEVU WA NDEGE YA MALAYSIA
9 years ago
Raia Mwema20 Sep
Manabii Wa Siku Za Mwisho..!
"NATAMKA mbele ya Bwana. Sikiliza kwa makini, Abrakadabra! Abrakadabra!
Maggid Mjengwa
9 years ago
Mwananchi01 Sep
Usajili siku ya mwisho Ulaya
11 years ago
BBCSwahili09 Dec
Siku za mwisho za maisha ya Mandela
10 years ago
Dewji Blog04 Dec
SUMATRA yatahadharisha wanaosafiri kipindi cha msimu wa siku kuu za mwisho wa mwaka
Katibu Mtendaji wa Baraza la Ushauri la Watumiaji Huduma za Usafi wa nchi kavu na Majini, Dk Oscar Kikoyo akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake Dar es salaam jana juu ya hali ya usafiri kipindi cha siku kuu za Krismas na mwaka mpya ambapo ametahadharishja abiria kuto kukubali kutozwa nauri za juu na pindi ikitokea hivyo Sumatra ipewe taarifa haraka. Soma taarifa kamili hapa chini. (Source Father Kidevu Blog).
NAURI HALALI ZA MABASI YA MIKOANI
10 years ago
Dewji Blog10 Oct
LEO NI SIKU YA MWISHO: Piga kura uboreshe maisha ya watu wenye ulemavu wa ngozi
Shirika linalojibidisha na kutetea na kulinda watu wenye ulemavu wa ngozi nchini Under the Same Sun, (UTSS) limeteuliwa kushindania Tuzo ya Haki za Binadamu ijulikanayo kama “Tulip” itolewayo nchini Uholanzi. Iwapo UTSS watashinda tuzo hiyo, ni dhahiri kwamba kutakuwa na mapinduzi makubwa katika uboreshaji wa maisha ya watu wenye ulemavu wa ngozi. Shiriki kwa kupiga kura ili UTSS washinde Tuzo hii na kulinda ndugu zetu wenye Ulemavu wa Ngozi Tanzania kwa kupiga kura hapa chini na...
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Daniel Toroitich Arap Moi: Wakenya watoa heshima za mwisho kwa siku ya pili mfululizo