Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ALIENS WAHUSISHWA NA UPOTEVU WA NDEGE YA MALAYSIA

ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA: Mpenzi msomaji wangu wiki iliyopita nilieleza namna ambavyo Wamarekani waliamua kusitisha safari za kwenda mwezini kwa sababu ya tishio la viumbe wa ajabu wanaodaiwa kuweka kambi mwezini.
Kuhusu viumbe hao wa Aliens na UFO, tayari watu zaidi ya nusu bilioni duniani kote wamefuatilia na wanaendelea kufuatilia habari hizo ambazo zimekuwa na msisimko mkubwa kwenye Vyombo vya Habari vya Magharibi.
SASA...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

NI ALIENS; WAHUSISHWA NA UPOTEVU WA WATU, NDEGE

Makala: Sifael Paul
Duniani kuna mambo mengi ya ajabu ambayo umewahi au hujawahi kusikia. Gazeti hili linapanda milima na kushuka mabondeni kisha kupaa angani kukuletea simulizi ya undani wa viumbe wa ajabu waishio au waonekanao angani. Ungana nami katika simulizi hii. Huko nyuma niliwahi kudokeza kwenye gazeti tumbo moja na hili, Ijumaa Wikienda lakini sikuingia ndani ili kupata ukweli juu ya viumbe hao wa ajabu waishio...

 

11 years ago

GPL

SIKU YA 17 KUPOTEA NDEGE YA MALAYSIA: NDEGE YA MALAYSIA ILIRUKA CHINI YA FUTI 12,000

Naibu Waziri Mkuu wa Malaysia, Warren Truss, kulia, akizungumza na ofisa wa juu ya kikosi cha uokoaji na mratibu wa operesheni ya kuitafuta ndege iliyopotea, John Rice. Wataalamu wa Rada wakiwa wamepigwa picha ndani ya ndege ya Kijeshi ya New Zealand wakiwa katika msako wa chombo hicho kilichopotea Kusini mwa bahari ya…

 

9 years ago

GPL

ALIENS WAHUSISHWA NA MAAJABU YA PEMBETATU YA SHETANI

Kama nilivyoeleza wiki iliyopita, Bermuda Triangle au Pembetatu ya Shetani ni eneo la uso wa dunia ambalo limekuwa likihusishwa na masuala mbalimbali ya nguvu za kimaajabu. Ni eneo ambalo maelfu ya watu wamepoteza maisha, ndege na meli nyingi zimepotea, pasipo kujulikana zilipokwenda. Bermuda Triangle inapatikana Pwani ya Kusini-Mashariki mwa Marekani na iko katika Bahari ya Atlantiki. SASA ENDELEA… Yapo mataifa yaliyoamua...

 

9 years ago

Global Publishers

Aliens wahusishwa na chapa ya mnyama siku za mwisho

Scary_Movie_Aliens.jpgILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA

Wiki iliyopita nilieleza namna ambavyo kuna kila dalili kwamba viumbe hawa wa ajabu waishio angani wa Aliens wamekuwepo enzi na enzi tangu Agano la Kale. Mbali na Aliens lakini viumbe wasioonekana wapo wengi mno na bado kuna jamii kubwa sana ya virusi ambavyo bado havijagundulika. SASA ENDELEA…

Katika hali kama hiyo, kuna andiko kutoka kwenye Aliens Encounters kuwa viumbe hawa pamoja na vitu vinavyoonekana angani visivyoeleweka almaarufu kwa jina la Ufo ni viumbe...

 

11 years ago

GPL

PICHA SI ZA MABAKI YA NDEGE YA MALAYSIA - MAOFISA WA MALAYSIA

Waziri wa ulinzi Hishammuddin Hussein (katikati) akikanusha madai ya ndege kukaa masaa manne hewani kabla ya kupotea.…

 

11 years ago

GPL

SIKU YA KUMI NA MOJA BAADA YA NDEGE KUPOTEA: NDUGU WA ABIRIA WA NDEGE YA MALAYSIA ILIYOPOTEA WAISHUTUMU SERIKALI

Wanawake wawili (mmoja hayupo pichani) wakiondolewa kwa nguvu kwenye mkutano wa waandishi wa habari ambao ulipangwa kufanyika leo mjini Kuala Lumpur.  Wanawake hao ni baadhi ya ndugu ‘waliopotea’ katika ndege aina ya Boeing 777 namba MH370 iliyopotea zaidi ya siku 10 zilizopita ambao wameilaumu serikali ya Malaysia kwa kutowaambia ukweli na kuwazungusha kuhusu juhudi za kweli kuhusiana na ndugu zao.… ...

 

10 years ago

Vijimambo

MABAKI YA NDEGE YANAYOSEMEKANA NI YA NDEGE YA MALAYSIA

Ndege ya Malaysia iliyopotea yaBoing 777 , MH370
Mamlaka ya usafirishaji nchini Ufaransa imesema inachunguza mabaki ya ndege ya yanayodaiwa kupatikana ndani ya Bahari ya Hindi yanachunguzwa ili kubaini kama ni ya ndege ya Malaysia ya MH370 iliyopotea bila kuwa na taarifa zozote kwa muda mrefusasa.

Taarifa kutoka Marekani zinasema wachunguzihao ambao wameona picha za mabaki hayo wana uhakika mkubwa kwamba ni ya ndege hiyo ya Malaysia ambapo mabaki hayo ni sehemu ya bawa la ndege.

Hata hivyo,...

 

9 years ago

GPL

ALIENS WATENGENEZA NDEGE KAMA SAHANI

Wiki iliyopita nilianza kuliangalia Eneo la Area 51 ambalo linahusishwa na hawa viumbe wa ajabu waishio angani wa Aliens. Eneo hili lipo katika Jimbo la Nevada nchini Marekani ambapo kama ilivyokuwa kwa Bermuda Triangle, nalo limejaa mauzauza ya kila aina. SASA ENDELEA… Japo ni siri kubwa lakini inaaminika kuwa wapo Aliens wanaoishi eneo hilo ambalo lina ngome kubwa ya kijeshi ambayo mlango wake wa kuingilia umetengenezwa kamba...

 

11 years ago

BBCSwahili

Ndege ya Malaysia haijapatikana

Maafisa nchini Malysia wanaendelea kuitafuta ndege iliyotoweka wakati ikitoka Kuala Lumpur kuelekea Beijing Jumamosi iliyopita

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani