Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ALIENS WAHUSISHWA NA MAAJABU YA PEMBETATU YA SHETANI

Kama nilivyoeleza wiki iliyopita, Bermuda Triangle au Pembetatu ya Shetani ni eneo la uso wa dunia ambalo limekuwa likihusishwa na masuala mbalimbali ya nguvu za kimaajabu. Ni eneo ambalo maelfu ya watu wamepoteza maisha, ndege na meli nyingi zimepotea, pasipo kujulikana zilipokwenda. Bermuda Triangle inapatikana Pwani ya Kusini-Mashariki mwa Marekani na iko katika Bahari ya Atlantiki. SASA ENDELEA… Yapo mataifa yaliyoamua...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

ALIENS WAHUSISHWA NA UPOTEVU WA NDEGE YA MALAYSIA

ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA: Mpenzi msomaji wangu wiki iliyopita nilieleza namna ambavyo Wamarekani waliamua kusitisha safari za kwenda mwezini kwa sababu ya tishio la viumbe wa ajabu wanaodaiwa kuweka kambi mwezini.
Kuhusu viumbe hao wa Aliens na UFO, tayari watu zaidi ya nusu bilioni duniani kote wamefuatilia na wanaendelea kufuatilia habari hizo ambazo zimekuwa na msisimko mkubwa kwenye Vyombo vya Habari vya Magharibi.
SASA...

 

10 years ago

GPL

NI ALIENS; WAHUSISHWA NA UPOTEVU WA WATU, NDEGE

Makala: Sifael Paul
Duniani kuna mambo mengi ya ajabu ambayo umewahi au hujawahi kusikia. Gazeti hili linapanda milima na kushuka mabondeni kisha kupaa angani kukuletea simulizi ya undani wa viumbe wa ajabu waishio au waonekanao angani. Ungana nami katika simulizi hii. Huko nyuma niliwahi kudokeza kwenye gazeti tumbo moja na hili, Ijumaa Wikienda lakini sikuingia ndani ili kupata ukweli juu ya viumbe hao wa ajabu waishio...

 

9 years ago

Global Publishers

Aliens wahusishwa na chapa ya mnyama siku za mwisho

Scary_Movie_Aliens.jpgILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA

Wiki iliyopita nilieleza namna ambavyo kuna kila dalili kwamba viumbe hawa wa ajabu waishio angani wa Aliens wamekuwepo enzi na enzi tangu Agano la Kale. Mbali na Aliens lakini viumbe wasioonekana wapo wengi mno na bado kuna jamii kubwa sana ya virusi ambavyo bado havijagundulika. SASA ENDELEA…

Katika hali kama hiyo, kuna andiko kutoka kwenye Aliens Encounters kuwa viumbe hawa pamoja na vitu vinavyoonekana angani visivyoeleweka almaarufu kwa jina la Ufo ni viumbe...

 

9 years ago

Michuzi

Mandhari ya Zuhura-Mwezi-Zohali Pembetatu Pacha Alfajiri Alhamisi

Na Dkt. N T JiwajiMandhari ya kuvutia sana itaoneka angani alfajiri ya Alhamisi hii tarehe 7 Januari, jirani na upeo wa Mashariki kuanzia saa kumi na nusu alfajiri.  Sayari mbili, Zuhura (Venus) na Zohali (Saturn) zitaonekana pamoja na hilali nyembamba ya Mwezi katika umbo la pembe tatu pacha iliyolala.  Hilali itakuwa upande wa kushoto wakati sayari mbili Zuhura na Zohali zitakuwa karibu yake kwa umbali sawa zikitengeneza pembetatu pacha iliyolala.Zuhura itakuwa juu ikin'gaa mno wakati...

 

11 years ago

BBCSwahili

70 wahusishwa na Al Shabaab Kenya

Mahakama imesema watu hao waliokamatwa Msikiti Musa mjini Mombasa wana makosa ya kujibu baada ya kuhusishwa na Al Shabaab

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Vigogo wahusishwa ajali za barabarani


Na Mwandishi Wetu
BAADHI ya vigogo nchini wanadaiwa kukwamisha mchakato wa kuzuia matumizi ya mabasi chakavu ya abiria, ambapo huingilia kati pindi sheria inapotaka kuchukua mkondo wake.
Pia, baadhi wamekuwa wakilazimisha askari wa usalama barabarani kutojaribu kuyakamata mabasi hayo, hatua inayodaiwa kukwamisha utendaji kazi wa askari.
Kwa mujibu wa sheria, magari yote yaliyochakaa hayaruhusiwi kubeba abiria ili kupunguza ajali ambazo kwa kiasi kikubwa huchangiwa na uchakavu.
Mwanzoni mwa...

 

10 years ago

Mwananchi

18 mbaroni, wahusishwa na vurugu Ilula

Tukio lilitokea juzi mkoani Iringa ambako mtu mmoja alifariki wakati wananchi walipopambana na polisi na baadaye kufunga barabara kwa saa tano, limeingia katika orodha ndefu ya matukio yanayozidi kuongezeka kila kona ya mapambano baina ya raia na askari wa Jeshi la Polisi.

 

10 years ago

Habarileo

Ushirikina wahusishwa kuteketea kwa bweni

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, David MisimeWANAFUNZI wa kike 64 wa shule ya sekondari Mpwapwa hawana mahali pa kuishi baada ya bweni lao kuteketezwa kwa moto unaosadikiwa na wanafunzi ni wa kishirikina.

 

10 years ago

Habarileo

Walimu wahusishwa na ubakaji kwa wanafunzi

KESI za kulawiti watoto mashuleni imeelezwa kuwa wanaofanya ukatili huo wa kijinsia kwa watoto hao baadhi yao ni walimu wanaowafundisha na kwamba kutokana na walimu hao kuhitajika shuleni hapo baadhi ya uongozi wa shule umekuwa ukishindwa kuwachukulia hatua ikiwa ni pamoja na kushindwa kuripoti katika dawati hilo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani