ALIENS WAHUSISHWA NA MAAJABU YA PEMBETATU YA SHETANI
![](http://api.ning.com:80/files/3ydo-rPuK9omfA3bOPWE8qKdwFTFfUeEs05Q4XOaBB3DRYig4d6Cwl8nU5svxv6DnZQIfgcBfytbJhizqLEuV*g8YXyo3Vx4/aliensET.jpg?width=650)
Kama nilivyoeleza wiki iliyopita, Bermuda Triangle au Pembetatu ya Shetani ni eneo la uso wa dunia ambalo limekuwa likihusishwa na masuala mbalimbali ya nguvu za kimaajabu. Ni eneo ambalo maelfu ya watu wamepoteza maisha, ndege na meli nyingi zimepotea, pasipo kujulikana zilipokwenda. Bermuda Triangle inapatikana Pwani ya Kusini-Mashariki mwa Marekani na iko katika Bahari ya Atlantiki. SASA ENDELEA… Yapo mataifa yaliyoamua...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9aQf-qs4m5wx5C1LvVdnxgJd*NHby5vVlJqJ9IPt7g-W8vYO7qPdzrj65KrOE5RBIY8ZaqPl55r5DbSTKOwqlCa6m1dH-OC1/Aliensextraterrestrials.jpg?width=650)
ALIENS WAHUSISHWA NA UPOTEVU WA NDEGE YA MALAYSIA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vOQMXCMD5182jwWWiEiIzObtD9v8UlqLYyTB65o9CIh8vcA7Ehqk3vjRfxKpXprxHvgaLAN0DR7PbBsxrj33LFDSW2b1gdDr/Roswell_Space_Alien.jpg?width=650)
NI ALIENS; WAHUSISHWA NA UPOTEVU WA WATU, NDEGE
9 years ago
Global Publishers24 Dec
Aliens wahusishwa na chapa ya mnyama siku za mwisho
ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA
Wiki iliyopita nilieleza namna ambavyo kuna kila dalili kwamba viumbe hawa wa ajabu waishio angani wa Aliens wamekuwepo enzi na enzi tangu Agano la Kale. Mbali na Aliens lakini viumbe wasioonekana wapo wengi mno na bado kuna jamii kubwa sana ya virusi ambavyo bado havijagundulika. SASA ENDELEA…
Katika hali kama hiyo, kuna andiko kutoka kwenye Aliens Encounters kuwa viumbe hawa pamoja na vitu vinavyoonekana angani visivyoeleweka almaarufu kwa jina la Ufo ni viumbe...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-KF0sOwXvc1I/Vox2hxiCTNI/AAAAAAAIQtM/krBkxIpzoPU/s72-c/unnamed.jpg)
Mandhari ya Zuhura-Mwezi-Zohali Pembetatu Pacha Alfajiri Alhamisi
11 years ago
BBCSwahili12 Feb
70 wahusishwa na Al Shabaab Kenya
11 years ago
Uhuru Newspaper16 Jun
Vigogo wahusishwa ajali za barabarani
Na Mwandishi Wetu
BAADHI ya vigogo nchini wanadaiwa kukwamisha mchakato wa kuzuia matumizi ya mabasi chakavu ya abiria, ambapo huingilia kati pindi sheria inapotaka kuchukua mkondo wake.
Pia, baadhi wamekuwa wakilazimisha askari wa usalama barabarani kutojaribu kuyakamata mabasi hayo, hatua inayodaiwa kukwamisha utendaji kazi wa askari.
Kwa mujibu wa sheria, magari yote yaliyochakaa hayaruhusiwi kubeba abiria ili kupunguza ajali ambazo kwa kiasi kikubwa huchangiwa na uchakavu.
Mwanzoni mwa...
10 years ago
Mwananchi26 Feb
18 mbaroni, wahusishwa na vurugu Ilula
10 years ago
Habarileo21 Jan
Ushirikina wahusishwa kuteketea kwa bweni
WANAFUNZI wa kike 64 wa shule ya sekondari Mpwapwa hawana mahali pa kuishi baada ya bweni lao kuteketezwa kwa moto unaosadikiwa na wanafunzi ni wa kishirikina.
10 years ago
Habarileo06 Mar
Walimu wahusishwa na ubakaji kwa wanafunzi
KESI za kulawiti watoto mashuleni imeelezwa kuwa wanaofanya ukatili huo wa kijinsia kwa watoto hao baadhi yao ni walimu wanaowafundisha na kwamba kutokana na walimu hao kuhitajika shuleni hapo baadhi ya uongozi wa shule umekuwa ukishindwa kuwachukulia hatua ikiwa ni pamoja na kushindwa kuripoti katika dawati hilo.