Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mandhari ya Zuhura-Mwezi-Zohali Pembetatu Pacha Alfajiri Alhamisi

Na Dkt. N T JiwajiMandhari ya kuvutia sana itaoneka angani alfajiri ya Alhamisi hii tarehe 7 Januari, jirani na upeo wa Mashariki kuanzia saa kumi na nusu alfajiri.  Sayari mbili, Zuhura (Venus) na Zohali (Saturn) zitaonekana pamoja na hilali nyembamba ya Mwezi katika umbo la pembe tatu pacha iliyolala.  Hilali itakuwa upande wa kushoto wakati sayari mbili Zuhura na Zohali zitakuwa karibu yake kwa umbali sawa zikitengeneza pembetatu pacha iliyolala.Zuhura itakuwa juu ikin'gaa mno wakati...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Mandhari ya Kuvutia Angani Jioni Weekend hii - Hilali, Zuhura na Mshtarii 20 na 21 Juni 2015


By Dr. Noorali T. JiwajiThe Open University of TanzaniaFaculty of Science Technology and Environmental StudiesLecturer in PhysicsHead of Department of Physical Sciences

 

9 years ago

GPL

ALIENS WAHUSISHWA NA MAAJABU YA PEMBETATU YA SHETANI

Kama nilivyoeleza wiki iliyopita, Bermuda Triangle au Pembetatu ya Shetani ni eneo la uso wa dunia ambalo limekuwa likihusishwa na masuala mbalimbali ya nguvu za kimaajabu. Ni eneo ambalo maelfu ya watu wamepoteza maisha, ndege na meli nyingi zimepotea, pasipo kujulikana zilipokwenda. Bermuda Triangle inapatikana Pwani ya Kusini-Mashariki mwa Marekani na iko katika Bahari ya Atlantiki. SASA ENDELEA… Yapo mataifa yaliyoamua...

 

11 years ago

Michuzi

MANDHARI ZA KUVUTIA KUZUNGUKA HIFADHI YA TAIFA YA KISIWA CHA SAANANE

KISIWA CHA SAANANE NI MOJA KATI YA VIVUTIO  VILIVYOKO CHINI YA HIFADHI ZA TAIFA ,TANZANIA (TANAPA) ,TIZAMA MANDHARI ZA KUVUTIA KUZUNGUKA HIFADHI HIYO ILIYOKO JIJINI MWANZA. Video imepigwa na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini

 

11 years ago

BBCSwahili

Zuhura Yunus akukaribisha Forodhani

Wakati wa sherehe za miaka 50 ya mapinduzi Zanizbar kuna eneo maarufu ambalo wengi hawathibutu kukosa kufika. Ikiwa hujafika huko,basi unakosa mengi Zuhura Yunus anakukaribisha Forodhani

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

Michuzi

MANDHARI MWANANA YAWAVUTIA WATALII WA NDANI HIFADHI YA TAIFA YA MLIMA KILIMANJARO

Afisa Masoko wa Hifadhi ya taifa ya Mlima Kilimanjaro akizungumza na watalii wa ndani kabla ya kuendelea na safari ya kutembelea vivutio mbalimbali viyoko katika uwanda wa Shira yakiwemo mapango ya Shira Caves.Watalii wa ndani wakichukua taswira mbalimbali mara baada ya kufika kilele cha Shira ndani ya Hifadhi ya taifa ya Mlima Kilimanjaro.

Wafanyakazi wa Benki ya CRDB tawi la Mwanga wakiongozwa na meneja wao ,Innocent Silayo(wa pili toka kulia) wakishuka mara baada ya kutembelea vivutio...

 

10 years ago

Mwananchi

Kandoro awavaa madereva alfajiri

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Abbas Kandoro mwishoni mwa wiki alifanya jambo la aina yake baada ya kufanya mkutano wa hadhara saa 11.00 alfajiri, katika kituo kikuu cha mabasi uliowahusha abiria na madereva wa mabasi makubwa.

 

11 years ago

Mwananchi

Zuhura Ally: Tunajihudumia wenyewe timu ya taifa

Huwezi kuitaja timu ya taifa ya mpira wa wavu ya wanawake bila kulitaja jina la nahodha wa timu hiyo, Zuhura Ally kwani ni mchezaji anayecheza bila kukata tamaa hata kama timu yake inafungwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani