Kandoro awavaa madereva alfajiri
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Abbas Kandoro mwishoni mwa wiki alifanya jambo la aina yake baada ya kufanya mkutano wa hadhara saa 11.00 alfajiri, katika kituo kikuu cha mabasi uliowahusha abiria na madereva wa mabasi makubwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi21 Sep
RC awavaa madereva bodaboda
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-n0oHh9p71B0/XqaQ5IF8wfI/AAAAAAACJ_o/mpknyuisUdI7qwZryVqgcwe-xrxexPwPQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200427_105547.jpg)
DC MTWARA EVOD MMANDA AFARIKI DUNIA ALFAJIRI YA LEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-n0oHh9p71B0/XqaQ5IF8wfI/AAAAAAACJ_o/mpknyuisUdI7qwZryVqgcwe-xrxexPwPQCLcBGAsYHQ/s200/IMG_20200427_105547.jpg)
Taarifa zinaeleza kuwa aliwahi kulazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar es Salaam miezi minne iliyopita akisumbuliwa na matatizo ya presha kisha baadaye akaruhusiwa.
Mmanda aliteuliwa kuwa mkuu wa Wilaya ya Mtwara na Rais John Magufuli, Desemba 19, 2016, akichukua nafasi ya Dkt. Khatib Kazungu ambaye alihamishiwa...
11 years ago
Tanzania Daima21 Mar
AQRB iwafute wababaisha — Kandoro
MKUU wa Mkoa wa Mbeya, Abbas Kandoro, ameishauri Bodi ya Usajili wa Wabunifu na Wakadiriaji Majenzi (AQRB), kuwafuta wabunifu na wakadiriaji majenzi wababaishaji. Kandoro alisema watu hao wamekuwa wakichafua sifa...
11 years ago
Tanzania Daima28 Apr
Kandoro aonya waharibifu miundombinu
MKUU wa Mkoa wa Mbeya, Abbas Kandoro, amekemea tabia inayofanywa na baadhi ya wananchi wasio wazalendo, ambao hubomoa kwa makusudi kingo za madaraja katika barabara kuu kwa lengo la kupata...
11 years ago
Tanzania Daima01 Jan
RC Kandoro ajitwika zigo Sokoine
HATUA ya Chama cha Soka mkoani hapa (MREFA), kwa kushirikina na wamiliki wa Uwanja wa Sokoine kushindwa kuukarabati umeishtua Kamati ya Siasa ya CCM Mkoa na kuamua kuingilia kati kwa...
10 years ago
Dewji Blog22 Jun
PSPF watoa elimu kwa madereva taxi wa wilaya ya Ilala na madereva kujiunga na mpango wa hiari
Afisa Masoko wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Ismail Juma akitoa maelezo ya kina kuhusu faida na huduma zitolewazo na Mfuko wa Pensheni wa PSPF hasa katika uchangiaji wa hiari ambapo mtu yeyote anaweza kujionga alipokuwa akiongea na madereva wa taxi wa wilaya Ilala jijini Dar
Mkuu wa Kitengo Cha Elimu wa Jeshi la Polisi, Kikosi cha Usalama Barabarani Makao Makuu, Abel Swai akizungumza na madereva wa taxi wa wilaya ya Ilala(Hawapo pichani) kuhusu kutii sheria za barabarani na...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-KF0sOwXvc1I/Vox2hxiCTNI/AAAAAAAIQtM/krBkxIpzoPU/s72-c/unnamed.jpg)
Mandhari ya Zuhura-Mwezi-Zohali Pembetatu Pacha Alfajiri Alhamisi
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-zgkNptFx19A/Vb71jxUufMI/AAAAAAABTEo/Vn98NeYoA_Y/s72-c/Bwana%2BRashidi%2BSalehe.jpg)
CHAMA CHA MADEREVA KIMETANGAZA MGOMO WA MADEREVA NCHI NZIMA KUANZIA AGOSTI TISA MWAKA HUU.
![](http://3.bp.blogspot.com/-zgkNptFx19A/Vb71jxUufMI/AAAAAAABTEo/Vn98NeYoA_Y/s640/Bwana%2BRashidi%2BSalehe.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima30 Aug
Kandoro: Viongozi wanakwamisha uhifadhi mazingira
MKUU wa Mkoa wa Mbeya, Abbas Kandoro, amesema kampeni ya uhifadhi wa mazingira inakuwa ngumu kufikia malengo kutoka na baadhi ya viongozi waliyopewa dhamana ya kusimamia kuwa vinara wa kuvunja...