Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RC Kandoro ajitwika zigo Sokoine

HATUA ya Chama cha Soka mkoani hapa (MREFA), kwa kushirikina na wamiliki wa Uwanja wa Sokoine kushindwa kuukarabati umeishtua Kamati ya Siasa ya CCM Mkoa na kuamua kuingilia kati kwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Joachim Low ajitwika zigo la matokeo Brazil

KOCHA wa timu ya taifa ya Ujerumani, Joachim Low amesema anataka kuona akikamilisha mkataba wake na timu hiyo, huku akiwataka wanaomkosoa kumuhukumu kutokana na matokeo yatakayovunwa na kikosi chake. Low,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

AQRB iwafute wababaisha — Kandoro

MKUU wa Mkoa wa Mbeya, Abbas Kandoro, ameishauri  Bodi ya Usajili wa Wabunifu na Wakadiriaji Majenzi (AQRB), kuwafuta  wabunifu na wakadiriaji majenzi wababaishaji. Kandoro alisema watu hao  wamekuwa wakichafua sifa...

 

10 years ago

Mwananchi

Kandoro awavaa madereva alfajiri

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Abbas Kandoro mwishoni mwa wiki alifanya jambo la aina yake baada ya kufanya mkutano wa hadhara saa 11.00 alfajiri, katika kituo kikuu cha mabasi uliowahusha abiria na madereva wa mabasi makubwa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kandoro aonya waharibifu miundombinu

 MKUU wa Mkoa wa Mbeya, Abbas Kandoro, amekemea tabia inayofanywa na baadhi ya wananchi wasio wazalendo, ambao hubomoa kwa makusudi kingo za madaraja katika barabara kuu kwa lengo la kupata...

 

9 years ago

Mwananchi

Mohamed Said Abdallah na Saadan Abdu Kandoro

Tunaendelea na maelezo kuhusu mchango wa Hayati Kaluta Amri Abeid, gwiji wa mashairi ya Kiswahili. Alikuwa pia na kipaji cha kusoma mashairi ya Kiingereza, Kiarabu, Kiajemi na Kiurdu. Mchango wake katika lugha ya Kiswahili ni mkubwa. Mwandishi mashuhuri Mathias Eugen Mnyampala akiandika juu ya maisha yake, alimtaja Kaluta  Amri Abeid kama mtu hodari wa kutumia lugha ya Kiswahili katika fani ya kuimba Tajiwidi, mashairi na tenzi kwa mahadhi ya namna mbalimbali ya maghani.

 

10 years ago

Habarileo

Kandoro aingilia kati sakata la mjamzito

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Abbas KandoroSAKATA la unyanyasaji aliofanyiwa mjamzito Judith Komba siku ya kujifungua katika hospitali ya Rufaa kitengo cha wazazi cha Meta, limechukua sura mpya baada ya Mkuu wa mkoa wa Mbeya, Abbas Kandoro kuagiza wauguzi waliokuwa zamu siku ya tukio wachukuliwe hatua stahiki.

 

11 years ago

Mwananchi

Kandoro aikataa taarifa ya fedha Mbozi

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Abbas Kandoro aikataa taarifa ya matumizi ya fedha zaidi ya Sh174 milioni za miradi miwili ya bwawa la maji katika Kijiji cha Iyula na Msia wilayani hapa na kutoa wiki moja kwa halmashauri ya wilaya kutoa maelezo sahihi ya miradi hiyo.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Kandoro: Viongozi wanakwamisha uhifadhi mazingira

MKUU wa Mkoa wa Mbeya, Abbas Kandoro, amesema kampeni ya uhifadhi wa mazingira inakuwa ngumu kufikia malengo kutoka na baadhi ya viongozi waliyopewa dhamana ya kusimamia kuwa vinara wa kuvunja...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Kandoro: Mawakala chanzo cha ajali

MKUU wa Mkoa wa Mbeya, Abbas Kandoro, amsema siri ya kukithiri kwa ajali za barabarani ni kutokana na mawakala wanaokatisha tiketi katika vituo vya mabasi  kutoa motisha ya fedha kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani