Mohamed Said Abdallah na Saadan Abdu Kandoro
Tunaendelea na maelezo kuhusu mchango wa Hayati Kaluta Amri Abeid, gwiji wa mashairi ya Kiswahili. Alikuwa pia na kipaji cha kusoma mashairi ya Kiingereza, Kiarabu, Kiajemi na Kiurdu. Mchango wake katika lugha ya Kiswahili ni mkubwa. Mwandishi mashuhuri Mathias Eugen Mnyampala akiandika juu ya maisha yake, alimtaja Kaluta  Amri Abeid kama mtu hodari wa kutumia lugha ya Kiswahili katika fani ya kuimba Tajiwidi, mashairi na tenzi kwa mahadhi ya namna mbalimbali ya maghani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi29 Sep
Kaluta Amri Abeid na Saadan Abdu Kandoro
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Libj3OwXRSU/XutZuZrz6iI/AAAAAAABMfQ/622pzjw7HuYoYomX-THjQeUXsDo_V7cwgCLcBGAsYHQ/s72-c/MMM.jpeg)
MOHAMED HIJA MOHAMED ACHUKA FOMU ZA KUOMBA KUWANIA URAIS WA ZANZIBAR KUPITIA CCM
![](https://1.bp.blogspot.com/-Libj3OwXRSU/XutZuZrz6iI/AAAAAAABMfQ/622pzjw7HuYoYomX-THjQeUXsDo_V7cwgCLcBGAsYHQ/s400/MMM.jpeg)
5 years ago
MichuziIDADI YA WATALII HIFADHI YA TAIFA SAADAN WAONGEZEKA
5 years ago
CCM BlogIDADI YA WATALII HIFADHI YA TAIFA SAADAN WAONGEZEKA
10 years ago
Mwananchi15 Sep
Kandoro awavaa madereva alfajiri
11 years ago
Tanzania Daima21 Mar
AQRB iwafute wababaisha — Kandoro
MKUU wa Mkoa wa Mbeya, Abbas Kandoro, ameishauri Bodi ya Usajili wa Wabunifu na Wakadiriaji Majenzi (AQRB), kuwafuta wabunifu na wakadiriaji majenzi wababaishaji. Kandoro alisema watu hao wamekuwa wakichafua sifa...
11 years ago
Tanzania Daima01 Jan
RC Kandoro ajitwika zigo Sokoine
HATUA ya Chama cha Soka mkoani hapa (MREFA), kwa kushirikina na wamiliki wa Uwanja wa Sokoine kushindwa kuukarabati umeishtua Kamati ya Siasa ya CCM Mkoa na kuamua kuingilia kati kwa...
11 years ago
Tanzania Daima28 Apr
Kandoro aonya waharibifu miundombinu
MKUU wa Mkoa wa Mbeya, Abbas Kandoro, amekemea tabia inayofanywa na baadhi ya wananchi wasio wazalendo, ambao hubomoa kwa makusudi kingo za madaraja katika barabara kuu kwa lengo la kupata...
10 years ago
Habarileo04 Jun
Kandoro aingilia kati sakata la mjamzito
SAKATA la unyanyasaji aliofanyiwa mjamzito Judith Komba siku ya kujifungua katika hospitali ya Rufaa kitengo cha wazazi cha Meta, limechukua sura mpya baada ya Mkuu wa mkoa wa Mbeya, Abbas Kandoro kuagiza wauguzi waliokuwa zamu siku ya tukio wachukuliwe hatua stahiki.